Faida na hasara nilizozipata kutokana na CASINO za mtandaoni

Nimgefungua pm watu wangejua kuwa ninalengo la kuleta utapeli, kumtangaza business n.k , yaani hata muda wa mujibu post za watu sina, naupata kwa taabu
Hapana ndugu, fungua tu tujr utupe maujanja, ukiweka hapa hao wenye website za betting watazidaka na kubadilisha settings zao, game litazidi kuwa gumu, bora Pm.
 
Kumbe wewe Ni zurri yule mbishi jukwaa la dini[emoji1787][emoji1787]
 
Mkuu hata hizi online virtula za sport zina pesa sana
 
Na mnajua kuroga sana na mnajua kufunga wakeze kwa majinn
 
Mkuu nacheza John hunter and Mayan gods aisee Jana imenibabimiza kisawa sawa Kama laki 5 hivi..
Nipo hapa napanga majeshi nirudi tena vitani no retreat...
[emoji15][emoji15][emoji15][emoji15][emoji15]laki 5
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…