ahsante.Wapo waliompinga mpaka kujaribu kumpindua zaidi ya mara moja lakini walishindwa.
Hata humu JF mbona zimejadiliwa sana pirika pirika za Nyerere kutaka kupinduliwa?, jisomee: Jaribio la kutaka kuangusha serikali ya Nyerere 1982
Hujajibu swali langu unaamini Mbowe anaweza kuongea tuhuma kubwa hizo bila kuwa na ushahidi? Wabunge wa CCM wametoa tamko gani kuhusiana na tuhuma hizo za kuhongwa milioni kila mbunge wapitishe muswada wa habari ambao wameupitisha?Kwani mara ya kwanza kwa Mbowe kuzuwa? Alisema aa ushahidi wa wao kupigwa mabomu Arusha, mpaka leo imeingia awamu nyingine, hatujauona.
Alisema anarudisha shangingi la KUB kumbe amerudisha la zamni mlango wa mbele akaenda nyuma akatoka na jipya brand new. Alikuwa eti hataki tu kwa kuwa lile lilitumiwa na KUB wa kabla yake.
Sasa kwa hayo, la maboovu hususa, watu wamepoteza maisha huo ushahidi kaukalia tu?
Haaminiki hata chembe.
Nimeiona.Soma post namba 748.
Hujajibu swali langu unaamini Mbowe anaweza kuongea tuhuma kubwa hizo bila kuwa na ushahidi? Wabunge wa CCM watoe tamko gani kuhusiana na tuhuma hizo za kuhongwa milioni kila mbunge wapitishe muswada wa habari ambao wameupitisha?
Kuhusu bomu la Soweto Arusha Mbowe alitoa masharti kwa raisi ambaye wakati huo alikuwa Jakaya Mrisho kuunda tume ya majaji ambayo Mbowe angepeleka ushahidi kwenye tume hiyo cha kushangaza mpaka Kikwete ameondoka madarakani hakuunda hiyo tume. Mbowe alisema asingeweza kupeleka ushahidi kwa polisi kwa sababu walikuwa wanahusika kwa namna moja.
Ndio ni kweli 100%je, ni kweli dini ya kiislamu ina mafungamano na makundi / matukio ya kigaidi?
Yes ni kweli kbsJe ni kweli kuna watu wanavaa mabomu kiunoni?
Mna ushahidi kuwa alikuwa anafelisha waislamu?Sina chuki na Joyce Ndalichako bali nnauhakika si kiongozi mzuri, alivurunda kama mkuu wa NECTA mpaka baadhi ya Waislam wa Tanzania wakaandamana kumkataa. Jikumbushe:
Yes ni buku sita mia tanoNi kweli unalipwa buku 7 na ccm?
Mwantumu kwao tanga, faiza kwao mkuranga, ukubaki kuambiwa ukweli usibishe kila kitu. Ulimuuliza faiza hilo swali kuwa yeye ndiye mwantumu mahiza, tunaomjua mwantumu lazma tumsaidie faiza kuwa si yeye, sifa zao ni mbingu na ardhi.wacha kurukaruka haya hongera kwa kukumjua babaye mamaye na yeye ...............
ila hoja yangu ni kwamba hili swali lilikuwa lake sawa mkuu..............
Unaonyesha kupaniki sana kuulizwa kuhusu swala la wabunge wenu kuhongwa milioni 10 kila mbunge wapitishe muswada wa habari ambao wameupitisha najua nagusa maslahi yako kwenye huo mgao mchana mwema kada wa CCM.Nimeshakujibu sasa unataka nijibu utakavyo wewe,majibu yangu ndiyo hayo kama umeridhika nayo, ahlan wasahlan na kama hukuridhika nayo ahlan wasahlan.
Si kila jibu litakuwa kwa mtazamo wako, hakuna faida ya kuuliza kama unataka tupange majibu utakavyo wewe.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Unaonyesha kupaniki sana kuulizwa kuhusu swala la wabunge wenu kuhongwa milioni 10 kila mbunge wapitishe muswada wa habari ambao wameupitisha najua nagusa maslahi yako kwenye huo mgao mchana mwema kada wa CCM.
Je Mungu anatoa adhabu mara mbili? Kwa nini Afrika hatukuletewa mtume wetu kwa lugha yetu, Je ni kweli lugha itakayotumika akhera ni Kiarabu ? yangu ni hayo tu Faiza Fox
Aisee... sasa ndo nimekuelewa manake mjadala wako na Mulhat Mpunga niliukutia katikati kwahiyo nikadhani ni wewe ndie unadai FF ndie Mwantum kwahiyo hana cha digrii wala nini bali diploma!!!! Ahsante kwa ufafanuziMwantumu kwao tanga, faiza kwao mkuranga, ukubaki kuambiwa ukweli usibishe kila kitu. Ulimuuliza faiza hilo swali kuwa yeye ndiye mwantumu mahiza, tunaomjua mwantumu lazma tumsaidie faiza kuwa si yeye, sifa zao ni mbingu na ardhi.
Samahani kama nilikukosea kukujibu mama. Niwie radhi sana
Porojo za hapa na pale za upinzani zinajulikana, siku hizi ngoma ya ufisadi ime flop?
FaizaFoxy Hapa nchini pametokea kudorora sana kwa elimu yetu kuanzia ngazi ya msingi hadi elimu ya juu. Leo hii kijana anayehitimu elimu ya darasa la saba hawezi hata kuandika barua ya kirafiki vijana wanaomaliza elimu ya juu wanaonekana hawana ujuzi ukilinganisha na vyeti vyao. Hili limekuja zaidi miaka kuanzia ya 2000 na kupanda juu
1. Unakubaliana na hili?
2. Nini sababu ya hili
3. Nini mapendekezo yako kunusuru hali hii?
Asante sana.