Mkuu sababu za waislam kutokuwa na imani na Ndalichako ziko wazi kama kundi la mwanzo kuathirika na uongozi wake.Ikumbukwe akiwa Katibu Necta, kulitokea hitilafu katika matokea ya wanafunzi waislam na hilo likajenga hisia hasi juu yake na hasa sehem nyeti kama NECTA. Pengine ingetokea sasa basi vijana wanaomaliza elimu na walioko mashuleni na vyuoni na hata wazazi nao wangekuwa na mtazamo hasi kwake.Kweli kabisa mkuu.
Majibu ya udhaifu mkubwa hayo
Mkuu sababu za waislam kutokuwa na imani na Ndalichako ziko wazi kama kundi la mwanzo kuathirika na uongozi wake.Ikumbukwe akiwa Katibu Necta, kulitokea hitilafu katika matokea ya wanafunzi waislam na hilo likajenga hisia hasi juu yake na hasa sehem nyeti kama NECTA. Pengine ingetokea sasa basi vijana wanaomaliza elimu na walioko mashuleni na vyuoni na hata wazazi nao wangekuwa na mtazamo hasi kwake.
Watoto mnawakalisha madrasa kusoma Qouran tu alafu wenzao wanajisomea eti mwisho wa siku eti walingane katika ufaulu.
Mmeshawahi kuishi na jamii za Kiislamu hususani wa huku bara? Kama ndiyo... kutoka ndani kabisa ya moyo wenu huku mkifahamu Mungu anawaona.... kati ya vijana 10 wa Kiislamu uliokuwa unawafahamu; ni wangapi walikuwa wanasoma madrasa wakati wapo secondary school? Au angalau mnaweza kusema ni wangapi kati ya vijana wa Kiislamu 10 mnaowafahamu walikuwa wanasoma madrasa wakati wapo darasa la 5 hadi la 7?Ukweli ni kwamba ninyi wenzetu huwa mnaweka nguvu nyingi kwenye kujifunza Quaran kuliko masomo mengine ya darasani halafu kwenu ninyi nasikia ni heri mtoto afeli masomo mengine kuliko kufeli Elimu ya Kiislamu.
si kwel.halaf kwanin injili hamuifuati?Waislam tunaamini katika Taurati, Zaburi, Injili na Qur'an.
Tunasema kama kuna Old testament na new testament basi Qur'an ni final testament.
Unajuwa Biblia ni mkusanyiko wa vitabu vingi na kuna madhehebu mengine ya Wakristo kuna vitabu vingine vya biblia hawaviamini kabisa.
Pia hakuna ubishi kuwa kuna watu wanakaa na kuamua hiki kiongezwe, hiki kiondolewe, hiki kibadilishwe. Ndiyo sababu kubwa ya kuwa na versions nyingi sana za Biblia. Kumbuka versions, siyo translations.
Sisi tunaamini kuwa humo humo kwenye mkusanyiko wa hivyo vitabu kuna maneno machahe sana yamebaki kuwa ni kweli mafundisho ya Mwenyeezi Mungu. Na yale ambayo si ya Mwenyeezi Mungu na ni mikono ya watu tu ndiyo mengi zaidi.
On the other hand, Qur'an toka imetujia miaka zaidi ya 1,400 iliyopita haijabadilishwa na haitoweza kubadilishwa kwa sababu Allah ameahidi kuilinda, cha ajabu ni kuwa katupa uwezo sisi wenyewe wa kuilinda. Hakuna kitabu leo hii duniani kilichohifadhiwa kwenye mioyo ya watu kama Qur'an. Kama kipo nijulishe. Jee, kwanini?
sasa mbona wanaoa hadi wanne? please tuonyeshe ayaJee, unajuwa katika vitabu vyote vya dini ni Qur'an pekee iliyosema oeni "mmoja tu"?
ndioNisome tena.
Wewe unaifata injili?
Usipinge tuu bila maelezo.si kwel.halaf kwanin injili hamuifuati?
Mkuu unaweza ku-judge elimu ya mtu kwa kuangalia ufahamu,maarifa,uelewa wake na kile anachokizungumza.No offense sina mashaka na elimu ya mleta uzi ila nina mashaka na elimu yakolabda ana shahada ya kufuga majini
yalishaongelewa sana .Sina haja kurudiaWapi Yesu anasema, Mimi Mungu au niabuduni?
Acha kutetea mtu kwa ajili ya ukabila wakoAta ccm hii ni ya mfumo Kristo kwahiyo ni vitu ambavyo tumevizoea kutoka kinywani mwenu.
Sent from my HUAWEI Y530-U00 using JamiiForums mobile app
injili ipi hiyo ya kwenu.Na faiza kasema mnafuata vitabu vinne halafu unaji contradictUsipinge tuu bila maelezo.
Waislamu hawaifuati injili kwasababu wanayo Qur-aan.
Bali wanaamini kwamba Injili ni kitabu kitukufu alichokuja nacho Yesu. Mafundisho yake yalikoma pale tuu ilipokuja Qur-aan.
Kumbuka Injili tunayoizungumzia,si hii yakina Matayo,Marko,Luka na wenzao. Bali ni Injili ile yenyewe halisi. Si hii ilioingiwa na mikono ya waandishi na kuifanya uongo
halafu ili ni darasa la Faiza usipende kurukia gari kwa mbele.Usipinge tuu bila maelezo.
Waislamu hawaifuati injili kwasababu wanayo Qur-aan.
Bali wanaamini kwamba Injili ni kitabu kitukufu alichokuja nacho Yesu. Mafundisho yake yalikoma pale tuu ilipokuja Qur-aan.
Kumbuka Injili tunayoizungumzia,si hii yakina Matayo,Marko,Luka na wenzao. Bali ni Injili ile yenyewe halisi. Si hii ilioingiwa na mikono ya waandishi na kuifanya uongo
Tofautisha kuamini na kufuatainjili ipi hiyo ya kwenu.Na faiza kasema mnafuata vitabu vinne halafu unaji contradict
Sijamjibia nimechangia. Kama unaona mchango wangu haukufai unaweza kuupotezea tuu hulazimishwihalafu ili ni darasa la Faiza usipende kurukia gari kwa mbele.