Fainali Mapinduzi Cup 2019: Azam FC 2 - 1 Simba SC

D

Simba Queen 7, Yanga Princes 0
Kwa hiyo hii ndio faraja yenu. By the way mganga wenu wa sasa hawafai kabisa maana mkishinda match na Timu ya Nje match muhimu za ndani zinazofuata mnafungwa. Mlimfunga Nkana baadae mkaja kucheza na combine ya Kigoma mkala 3,Jana mmemfunga Mwarabu wa Pemba Leo mmechezea kichapo kutoka kwa Azam.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmmh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…