Abu Ubaidah Commando
JF-Expert Member
- Sep 8, 2016
- 7,591
- 6,946
Haijulikani inakuwaje katika timu zao zote yenyewe ipo inawawalilisha klabu bingwa?
Upuuzi mtupu, ayaa sherekeheni leo angalau azam kashinda maana ilikiwa kila timu mnayoishangilia dhidinya simba inapigwa.
Nyie subirini al ahali awatwange ndio mcheke vizuri