Faiza Ally amjia juu mzazi mwenzie Sugu na anajuta kuzaa nae

Yaan huyu faiza Ni mamaJ mtupu[emoji22]
 
Ila maisha magumu nyieee
Mtu umeolewa lets say una kazi yako au biashara yako still maisha magumu,,sembuse mama anaefight kutunza familia na kusomesha watt 2 peke yake??
Kwan faiza alizaa na sugu watoto 2 ?
 
Demu hata hajui anachotaka,
Kumpeleka mtoto kule hataki anadai wabayaa watamtisha mwanae.
Sasa Sugu aache familia daily ashinde Dar kwa X wake.
Sugu nae kakojoa mazima akijua kapata mwarabu wa Dubei kuja kujua kaingia cha kike kumekucha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…