Faiza Ally (Ex wa Sugu) na battle isiyoisha kwa Mke wa Sugu


Una maana Happy nae anapitia humohumo kuongeza wafuasi wake jinga linajua linamkomesha kumbe linamuongezea followers
 
Lakini mbona anamtoto na Baba mwingine? Kama mwenzie kaolewa afanye yake, ilitakiwa apambane na kabla hajaoa! Atakuwa na watu wanamshika masikio.
 
Halafu tabia ya kutukana watu kuwa wagumba hakomi tu...karudia tena kwa diva....
Amuulize muna love alimnanga wema sasa hivi wapo sawa.
Kutangulia sio kufika atakwambia yeye alishasafisha utumbo, ila malipo yake huwa hapa hapa, tena wakati ndiyo utamu unaanza naye Mungu anafanya yake.
 
Kaka yangu alioa mrangi alikuwa mtu poa sana R.I.P wifi yangu kipenzi, huyo naye labda anayake
 
Nafikiri kinachosababisha yule step mom wa SASHA kutokumpost ni yale matusi ya faiza kwa happy, mara mgumba, mara zaa wako, yaan faiza ana hasira juu ya maisha ya sugu na mkewe bila sababu. Ukute happy anampenda tu mtoto wa mumewe ila faiza kichaa ndo tatizo
 
Umeona eehhh!huyu demu sijui Ana shida Wapi!anajiona yeye kwa kua kazaa baasi amepataa sana!anakera mnoo!
Mi binafsi namuonaga kichaa na wanaomsapoti pia siwaelewi
Hawamsapoti bali wanamuangamiza, bado hujawajuwa wabongo vizuri.

Wabongo wakikukwambia tupo nyuma yako ukigeuga huwaoni.

Hata jambazi Ole Sabaya na jambazi Makonda walikuwa na sapoti kubwa ya kina Le Mutuz.
 
ila kilichofumbua watu akaonekana ni mental case ni pale alipotunza nguo ya ndani iliyochakaa kisa alikua nayo toka akiwa kwenye mahusiano na Sugu.
Tanzania my beloved country, what is wrong with your people! Wenzetu wanashughulika na AI sisi tunazungumzia chupi
 
Mbona Dida aliolewa na Meya kabisa? Unapoona kuna vichaa wanawake basi ujuwe kuna wanaume wa hovyo pia huwa wanaoa majina na siyo mke.
 
Sugu anajuta sana.
Sasha akikua na kujitambua atamlaumu sana mama yake.
Nafikiri atamlaumu sana baba yake " baba hukuona wanawake wengine hadi mbegu zangu ukamwaga mule?"
 
Kuna jukwaa la Intelligence, kuna jukwaa la technology yote hayo hujayaona umeona uje umwage mauno huku kupangia watu cha kuandika?
Kwahiyo hili ni jukwaa la kuzungumzia chupi chakavu
 
Alisemaga mama Sugu alikua hampendi,Ila ht Mimi nisingemtaka mkwe ambae anavaa chupi anatoka nje kwa malezi yetu y kiafrica ni ngumu Sana,afu Faiza alishazoea maisha ya kujiuza Enzi hizo California na wazungu Leo hii kumbadilisha atake mwenyewe,Sugu tu alidhani anaweza akabadili jiwe kua mkate wakati muda wake bado!ni ngumu mnooo!

Life style ya Faiza watoto wa mjini wanaijua Yule ni kahaba mstaafu(jamani nimeacha umbea miye)binamu byeeeeee[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji122][emoji4][emoji4][emoji125][emoji1732][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Hata ningekua Mimi nisingemposti ni ngumu mtoto Kama wa Faiza mama wa kambo amchukie alivyo mtata vile na katoto kenyewe kanaone kambea mbea na kashankupe kale kashatiwa Sumu.
 
Umeona eehhh!huyu demu sijui Ana shida Wapi!anajiona yeye kwa kua kazaa baasi amepataa sana!anakera mnoo!
Mi binafsi namuonaga kichaa na wanaomsapoti pia siwaelewi
Kuna watu ni wapumbavu hivyo ukiona wanashanikia upumbavu uaishangae.
Faiza kama unasoma comments za wajumbe katika Uzi huu ni wakati wa kujirekebisha. Usikubali kuzeeka ukiwa mpumbavu.

Sent from my M2003J15SC using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…