Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Khaaa; huyo mwanaume hana wazazi au ndugu? Kweli mawifi tumeishiwa nguvu siku hizi🤣🤣
Mawifi wa siku hizi mnanunulika vizuri tu kwa vizawadi na tigo pesa.Kwamba mawifi wa siku hizi tumekuwa wa mchongo!
ahahahhahahahahhahahhahaha
Katoto kameanza kuwa mapema kashangingi mapema...In Sasha's voice " Dad...
I have only one mother and is Faiza Ally here, she should get to know that"
Malaya haolewiSugu mtoto wa kitaa kitambo hamuwezi huyo Malaya
Hawa mademu wa kibongo wa mitandaoni sio kweli kwamba wanapendaga mtu. Huyo pesa za Sugu zinamchanganya zaidi. Sugu asingekuwa nd mkwanja usingemuona anahangaika kama hivyoIssue ni kwamba yule dem anampenda sugu na hajakubali matokeo kabisa
Mrs Happiness Mbilinyi nimempenda kwa kweli; akamkaririshe mtoto hadi BBC ila picha haijafutwa.In Sasha's voice " Dad...
I have only one mother and is Faiza Ally here, she should get to know that"
Faiza hakubaliani na ukweli, na hapo hajawai kuwa na mahusiano ya furaha inaonekana ndo maana anaangaika na familia ya sugu analazimisha ubaya kati ya mtoto na step mom ake, ukijiuliza ni kwamba bado anaitaji iyo nafasi ya happy? Na kama hataki happy kuwa mke wa sugu anataka mama ake ndo aolewe na sugu ndo atakuwa na amaniIn Sasha's voice " Dad...
I have only one mother and is Faiza Ally here, she should get to know that"
Tunafeli sana mawifiMawifi wa siku hizi mnanunulika vizuri tu kwa vizawadi na tigo pesa.
Mtoto wa dhahabu lolKatoto kameanza kuwa mapema kashangingi mapema...
Faiza anajionaga kazaa dunia..
Umamaliza mkuu. Umegusa kila kipengele. Sugu anajuta sana kuzaa na huyu manzifaiza ni mwehu,haijalishi Happy anampenda mtoto au hampendi ,maana Sugu anampenda mwanawe inatosha,kuna kipindi wanaharakati feki enzi hizo kina Martha Mlata mbunge viti maalum aliingilia ugomvi wa Sugu na faiza naona kwa Sasa anajutaa niliwaona wapuuzi wa Hali ya juu,Leo anatoa mitusi mizito mizito kisa tu mwanawe kapostiwa,vitu vidogo mnooo yeye anamind ,faiza angetaka kumuumiza Happy angekua anamkalia kimya tuu.
Nadhani hakujua kama happy ataolewa na atazaa na Sugu maana ashawahi muita mgumba pia.
Amefanya Sugu ajute kuzaa nae yaani Kama Kuna makosa anayajutia la kwanza hilo
Na kanikera kumuingiza mtoto kwenye maugomvi yao.
Single mamaza wakubali kuachwa,maisha yapo tuu SUGU sio mwanaume pekee Ana mtoto na baba mwingine lakini wa Sugu ndo anakoma matusi
Faiza ataingia kaburini akiwa na stress za familia ya suguSi amesema eti juzi kwenye event Mrs Mbilinyi alimsukuma mtoto akadondoka na bado akawa anamlazimisha akalale naye. Sasha asukumwe adondoke afu Faiza asipandwe na kichaa hehehe.
Anakapandikiza sumu kale katoto, ila kale katoto kataishi kwa tabu kwa sababu ya upumbavu wa mama yake.
Anapenda pesa zileHuku kila leo anamlilia huyo Mfi**ji, anampenda kufa.
UpuuziIn Sasha's voice " Dad...
I have only one mother and is Faiza Ally here, she should get to know that"
Na hatakaa apone kwa style hii.Faiza ataingia kaburini akiwa na stress za familia ya sugu
ahahahahhahahahha dah!Mawifi wa siku hizi mnanunulika vizuri tu kwa vizawadi na tigo pesa.
Akubali tu ameshakuwa zilipendwaFaiza ataingia kaburini akiwa na stress za familia ya sugu
mi mejiona ninavofeli!Tunafeli sana mawifi
Ndiyo ashazikosa sasa. Ile juzi yeye ndiyo angekuwa na madam prezidaaAnapenda pesa zile
Hahaha ulifanyaje da mkubwa?mi mejiona ninavofeli!