Siyo "najiona" ndivyo ilivyo, tena "sister do" kweli kweli wa zamani.Porridge break. Nafuatilia uwandishi wako.
Halafu Faiza mbona unajiona mtoto wa mjini Sana?
Katika muendelezo wa kujibu swali lako umenikumbusha kisa cha "a man of few words", unakielewa?unadhani ni sababu zipi zinachochea wanawake walio olewa hivi sasa, kuwa warahisi mno ukiwatongoza wanakubali bila hiana na kutoka nje ya ndroa zao bila woga 🐒
maisha yangu ya ndoa ni very simple.FaizaFoxy ukimaliza ichi kisa ulicho anza nacho,
Ningependa kusikia upande wa pili wa Maisha Yako ya ndoa,
Mpaka Leo hii kwa ujumla yawezekana tukajifunza mengi kupitia wew.
Shule sikwenda kusomea ujinga
Nabii
Issa
Achana na DNA mkuu, hiyo bond tu ya miaka yote inatosha kabisaNilihisi mtoto wangu wa kwanza si wangu, ila nilivumilia tu nikiwa na lengo la kumsomesha mpaka amalize chuo kikuu ndo niangalie DNA
Kamaliza Chuo kikuu Mwaka jana, bado moyo unaita nikaangalie DNA, je kwa sasa ni sahihi maana mtoto keshamaliza utegemezi?
Haupo sahihi kwa upande wa dini ya Kiislam, kaiika Uislam kuna "Nikah au Aqdi ambao ni mkataba (contract) ya ndoa, unaofungwa kwa mliokubaliana (owana) Hauwi wa upande mmoja tu na haukamiliki kuwa ndoa kamili mpaka mkishajamiiana baada ya kuusaini, siyo kabla, kabla ya hapo ni uasherati na au uzinzi.Ya ila kitu
Nakubaliana nawe.... Kuna Ushahidi mwingi sana wa kijeolojia unaounga mkono nadharia ya 'EVOLUTION', kwamba binaadam, na viumbehai wote duniani, ni matokeo ya madiliko madogomadogo kutoka kemikali zenye tabia kanganyifu mpaka tulipo sasa.
... mimi kama binaadam mwenye dini nakubali mafundisho ya dini yangu lakini pia nakubaliana na nadharia ya 'EVOLUTION' ... kwamba maelezo yaliyo kwenye misahafu, kuhusu uumbaji, ni ufupisho tu wa kilichotokea HALISI Katika uumbaji ambao umepitia njia ndefu ya 'EVOLUTION'!
MAONI YAKO TAFADHALI!
Maliza story kwanzaTupe link ya kuuona kupitia internet.
🤷🤷Tupe link ya kuuona kupitia internet.
Nimehalamishia suala la evolution huku, fata link, hapa siyo sehemu yake:Nakubaliana nawe.
Tumeumbwa kwa njia ya evolution
Inaonekana ndiyo 'janja' ya Mungu kufanya uhai uwepo.
Makusudically ameweka mchakato ndiyo kufikia hatima fulani.
Atakayekataa kuhusu evolution yaani mageuko basi atuambie ni kwa nini anajikubali kuwa yeye ameumbwa na Mungu akiwa hivi sasa ana ndevu/matiti na mwanzo hakuwa nayo? Basi si achukulie kama ambavyo yeye amepitia mabadiliko ya ukuaji kama kiumbe basi akubali na sie tumepitia mabadiliko ya ukuaji kama spishi na kama ufalme eaaaaasy. Na haitabadili ukweli wa kwamba tumeumbwa.
Maisha ni mchakato wa mabadiliko ya kudumu na endelevu
Mimi naamini Quran tu kwenye uislam.... naomba unifafanulie kutumia iyo, hizi zingine naziitaga siasa za diniHaupo sahihi kwa upande wa dini ya Kiislam, kaiika Uislam kuna "Nikah au Aqdi ambao ni mkataba (contract) ya ndoa, unaofungwa kwa mliokubaliana (owana) Hauwi wa upande mmoja tu na haukamiliki kuwa ndoa kamili mpaka mkishajamiiana baada ya kuusaini, siyo kabla, kabla ya hapo ni uasherati na au uzinzi.
Dini ya yule kichaa alikula kabali pangoni ni asili ya wote utakuwa huna akiliProve it
Hii ndio proof ukristo ulianza Israel mwaka 29AD?Dini ya yule kichaa alikula kabali pangoni ni asili ya wote utakuwa huna akili
Huna akili ukatawaze uamshe majini yakapigane ghazaHii ndio proof ukristo ulianza Israel mwaka 29AD?
Kazi yangu nimemaliza.Huna akili ukatawaze uamshe majini yakapigane ghaza
Huna cha maana ulichoandika ukristo umeanza miaka 2000 iliopita uislam wenu mpaka sasa una miaka 1445 halafu unataka kusema nini katawze uswali ukaite majini yaende ghazaKazi yangu nimemaliza.
Akijitokeza mkristo yeyote wa kujibu swali langu mnishtue.
Uache utoto nchi hii haina dini.Kichwa cha habari kinajieleza.
Kuna uzi mmoja leo kuna mdau kanishauri nianzishe uzi wa nasaha na ushauri kuhusu jamii hususan ya mahusiano.
Nimelipenda wazo lake na nimefungua huu uzi ambao utajumuisha nasaha zote za kijamii kadri itavowezekana, uwe kwa vijana, watoto au watu wazima.
Tafadhali tuwe wastahamilivu tusiziwache mada akaanza kushambuliwa mtu yeyote yule. Tunawaomba Moderator s watulinde kwenye hilo.
Nisiwachoshe, tuingie kwenye mada. Nakaribisha maswali. Yatapokosekana maswali ntachochea mada kwa kuwaletea visa vya mahusiano ambavyo kidogo visivyo vya kawaida "twisted".