Warusi wenyewe kwa asilimia kubwa ni wazunguDola zilizokuwa na uchumi mkubwa zilishasimama nyingi na zikaanguka.
Mchina, Mrusii, Mwafrika na Mwarabu wakiungana WAZUNGU wanaanguka kiuchumi kesho asubuhi.
Kwasababu kwa bahati mbaya au nzuri resources nyingi hazipo kwa wazungu.
Mafuta na gesi vipo kwa warusi na waarabu.
Madini na ardhi vipo kwa waafrika
Viwanda vipo China
wazungu wana nini?
Sasa kwa nini wasiungane wamuangushe?Dola zilizokuwa na uchumi mkubwa zilishasimama nyingi na zikaanguka.
Mchina, Mrusii, Mwafrika na Mwarabu wakiungana WAZUNGU wanaanguka kiuchumi kesho asubuhi.
Kwasababu kwa bahati mbaya au nzuri resources nyingi hazipo kwa wazungu.
Mafuta na gesi vipo kwa warusi na waarabu.
Madini na ardhi vipo kwa waafrika
Viwanda vipo China
wazungu wana nini?
Sawa, ila wako kinyume na itikadi za wazungu wengine (Ushoga +demokrasia + ubepari)
Kwasababu hawajawashiana vilivyo, na mzungu ndio anaweka vikwazo.Sasa kwa nini wasiungane wamuangushe?
Hao hao ndi walimpa kiburi cha kuua mamia ya wanyarwanda na wacongo na ni hao hao watamtosa.Never make a pact with the devilWatamtoa muda si mrefu huyu.
Dah.. hii barua inatoka ofisi ya PM wa nchi. Makosa ya kiuandishi kama zote.Nikweli lakini huyu jamaa kiburi chake kimefika mwisho . Hana ubavu wa kuwavimbia hao jamaa watamnyoosha.
View attachment 2456846
Kila lenye mwanzo lina mwisho, nae kaula mno inatosha, tangu 1994?View attachment 2456852
Kagame sasa kafungulia full dose ya kibri ya kitutsi.
Nchi za USA, UK, France, Ujerumani na Ubelgiji zimemwambia bila kupepesa macho kuwa aliondoe jeshi lake DRC linaloitwa M23.
Ameamua kuwatimua nchini na kufunga balozi za waliompa ukweli.
Mwana kulitafuta, mwana kulipata.
Washamchoka time ya kusepa imewadia.Watamtoa muda si mrefu huyu.
Kwa hiyo wameshindwa kuunganaKwasababu hawajawashiana vilivyo, na mzungu ndio anaweka vikwazo.
Ndio sababu marekani hatoki Middle east na hamuachii Ukraine awe sehemu ya Urusii.
Kama isingekuwa ni threat kwake si angeacha tu?
Usiseme wameshindwa Dunia bado haijaisha...Bado wanaendelea kujaribu.Kwa hiyo wameshindwa kuungana
Unafukuza wenye Dunia ngoja tuone
Sasa kama bado hawajafanya si wameshindwa.. wakiweza ndio wameshindaUsiseme wameshindwa Dunia bado haijaisha...Bado wanaendelea kujaribu.
Never say never...Lakini pia sio jambo la hakika.
Hii itakuwa fake.
Ukikuta mechi iko dakika ya 60 bila bila utahitimisha kuwa wameshindwa kufungana?Sasa kama bado hawajafanya si wameshindwa.. wakiweza ndio wameshinda