Familia nyingine ni za ajabu sana

Familia nyingine ni za ajabu sana

Wewe unaweza ukamtupa mtoto wako chooni au jalalani Ila ulimchomoa kwa uchungu mkubwa na makelele mengi kule leba unaweza kumtupa kwenye shimo la taka au mtaloni una uwezo huo?
Acha ujinga kijana,sina muda wa kubishana na mangungo, hao wahuni wamelelewa vibaya na mzigo wa mtoto mpumbavu anatakiwa ubeba mzazi wake,bahati mbaya mama mzazi ametwisha mzigo wasiohusika kuwahudumia wahuni ,mzigo anatakiwa beba yeye
 
We unawashwa nini?

Nime ku Quote wewe?

Unakuwa na Shobo za kipumbavu.

Bila shaka una fukunyuliwa huko nyuma.
Unawashwa hapo nyuma unatafuta mkunaji au sio? Alafu nyie mmeambiwa mtoe ushauri mnaandika upuuzi wenu nani atawasikiliza mnafikiri familia zote zinafanana PUMBAVU
 
Acha ujinga kijana,sina muda wa kubishana na mangungo, hao wahuni wamelelewa vibaya na mzigo wa mtoto mpumbavu anatakiwa ubeba mzazi wake,bahati mbaya mama mzazi ametwisha mzigo wasiohusika kuwahudumia wahuni ,mzigo anatakiwa beba yeye
Kaa kimya hujui unachokiongea ndio maana waarabu wanapiga bao alafu mnaanza kubwatuka KENGE nyie hamjitambui waarabu wahindi wanaishi pamoja na wanabebana no matter what Ila miafrika ndio maana mnakufa masikini kwa kukosa matibabu
 
Kaa kimya hujui unachokiongea ndio maana waarabu wanapiga bao alafu mnaanza kubwatuka KENGE nyie hamjitambui waarabu wahindi wanaishi pamoja na wanabebana no matter what Ila miafrika ndio maana mnakufa masikini kwa kukosa matibabu
Yaani hela zako ukalale na wanawake halafu chakula uje kuombaomba?
Unapaswa kupuuzwa,kifupi huna akili
 
Nakutisha wapi nakuambia ukweli acha matusi kwa sisi watu wazima.
Umejiunga JF juzi tu leo unaanza matusi,unataka sisi wakubwa zako tukuache bila kukukanya uache matusi yako uliyozoea kwenye familia yenu?
 
Ndugu... MWALIMU haya maneno ungewaambia ndugu zako yange wasaidia sana...nasikitika kukuambia kuwa humu awatayaona...ni sawa umetwanga maji kwenye kinu. Cha msingi mchukue mama ako uishi nae ili ukwepe kuwasaidia hao ndugu zako wengine.​
 
Usiombe kuna wale wazazi wao walitengana na huko walipoenda kuoa na kuolewa familia zao zikavunjika na wengi wazee ,unakuwa unahudumia pande mbili huku na huku na kila mzazi ana mahitaji yake.

Kumbukumbu labda uliachwa upande mmoja ukapata madhila hapa duniani katika mqkuzi yako ,unapokuwa wale wazazi unatakiwa kuwasaidia kwa pamoja whilst ulikuwa unalelewa upande mmoja.

Ukianza tu kazi inawezekana hata mzazi mmoja zaidi ya miaka 10 hajui wewe unakula nn ila ukifanikiwa unatakiwa umjengee nyumba .[emoji28]

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] aiseee inatia hasira
 
Back
Top Bottom