Familia nyingine ni za ajabu sana

Nakutisha wapi nakuambia ukweli acha matusi kwa sisi watu wazima.
Umejiunga JF juzi tu leo unaanza matusi,unataka sisi wakubwa zako tukuache bila kukukanya uache matusi yako uliyozoea kwenye familia yenu?
Familia yetu haina matusi na haikuhusu kiufupi fuata kilichokuleta ukianza kubishana na Mimi na akili zako za panya utanasa pabaya
 
dogo tutumie hela tuendelee kula bhana, wewe nani alikuambia upate kazi
 

Unajuaje Wakati ninyi ni wadogo mmekuja baada ya miaka 10 Baada ya Kaka zenu wakubwa?
 
Huyo mama yao ndiye kawalea vibaya hao mambwiga. Dogo inabidi aaply roho mbaya ampe mama yake condition ya kuja mjini awaache huko hao mabwege, la hataki dogo akate kamba ya msaada.
Hakuna cha laana wala maandazi.
Ushauri wa kitoto ungejua maumivu ya kuzaa mtoto kule leba yapoje ungekaa kimya
 
Pepo yako ipo chini ya nyayo ya mama yako
 
hivi hapa duniani kunamtu alishikiwa kiboko azae?

nyege zetu ndio zinatuponza.kwamimi hapa sitamani kupata mtoto nademu akishika mimba nahakikisha ameitoa sitaki kuja kuonekana kituko na damu yangu

kilasiku namlaumu mzee na maza kwanini nimaskini kwanini walinizaa ila nyege ndio chanzo

ila sina chakuwadai mana kama nishule mzee alipambana na kunifatilia vizuri Mimi mwenyewe ndio nilifeli
naogopa kabisa kuleta kiumbe duniani kije kupitia msoto wangu naogopa kabisa mana hapanilipo sina chakujitetea chochote mfano nikifa sina uhakika wakwenda peponi mana sina matendo yoyote mema

je kwamfano nisingezaliwa ningeendaje motoni Sasa?

nikiyafikiria haya hata demu sitaki kabisa aisee kutesa vitu visivyo nahatia kutiana kwenye matatizo tuu.
hata wewe mkuu zilaumu nyege za wazazi wako mkuu.mana ndio zinakutesa.
 
Habari, Kwanini umekata tamaa kiasi hichi ndugu yangu
 
Bora kuwa mama malaya malaya mkuu usiyejitambua lakini you dont spoil fool grown 'great-kids'.
Kazae wa kwako ukamtupe jalalani/chooni mtoto sio nguo, nyinyi ndio mnaua watoto wenye ulemavu mkisema ni laana ya ukoo au waliosema mtoto kwa mama hakui walikua maziro km wewe mama usiejitambua
 
Kazae wa kwako ukamtupe jalalani/chooni mtoto sio nguo, nyinyi ndio mnaua watoto wenye ulemavu mkisema ni laana ya ukoo au waliosema mtoto kwa mama hakui walikua maziro km wewe mama usiejitambua
Hahahaha umenichekesha. Tatizo la hawa jamaa ni kwamba hawarekebishiki na hawaonekani kujuta wala kubadilika. Makosa yanafanyika hatukatai lakini hawa ni wamegoma kubadilika na mbaya zaidi kuwasababishia mzigo wengine. Siwapangii aina yao ya maisha maadamu wameona inawafaa, lakini usiwe mzigo kwa wengine. Hapa ndiyo lilipo tatizo.

Mimi sina roho ya namna hiyo ndugu kusema niue mtoto mlemavu. Mtoto mlemavu hiyo ni scenario tofauti na ya hawa majamaa. Inaonekana mkuu hii stori inakuakisi wewe kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…