Familia nyingine ni za ajabu sana

Pole, ndio maisha yetu haya.
 
Kama mngelelewa vizuri, hao Kaka zako wasingekuwa Wezi na walevi.

Tofautisha Kulea na kufugwa!
Kumlisha MTU sio kumlea kwani hata Mnyama unaweza kumpa chakula.
Kuishi na mtoto na kumfunza ndio kumlea.
Malezi ya Watoto kama yakifanyika vizuri mtoto hawezi kuwa mwizi wala chapombe.

Mengine, poleni Sana. Hayo ndio Maisha.
 
Nieleweshe mkuu

Unaweza kumzaa mtoto lakini usiwe na bond naye.
Au mzazi anaweza akakuzaa lakini usiwe na bond naye. Yaani humpendi(hakuna nguvu ya ndani inayokusukuma kuwa karibu naye).
Hicho ndio wengi wanakosa. Na hiyo Ipo hivyohivyo tuu. Huwezi ilazimisha.

Kulea mzazi sio lazima Pesa Bali inahitaji hiyo bond.
Ni kama bond ya Mama na mtoto, ambayo Ipo tofauti na bond ya Baba na Mtoto.

Uwe umebarikiwa sasa uzae Watoto watani alafu watatu au wanne wawe na bond na wewe Hii Dunia utaenjoy Mno. Hata wasipokuwa na Pesa. Upendo unanguvu kuliko Pesa.

Wazazi lazima wamwombe Mungu bahati ya kuwaunganisha(bonding) na watoto wao.
Vinginevyo ndio haya yanayotokea katika familia zetu nyingi.

Yaani unakuta mtoto mnamlazimisha kujihusisha na Mama yake utadhani hakumzaa, sio kama anafanya Makusudi nop! Ni kwamba hakuna muunganiko baina Yao. Huwezi lazimisha muunganiko Kwa nyoyo ambazo hazijaungana
 
Aya jidanganye uyakimbie na mama yao,uone mama yao atakavyokumaindi kuwa unamtesea wanawe

Tia sumu yafe
Hahahaa 😂😂we Jamaa nimekukubali,Dah! Mama ukute ni ngumu sana kuishii bila hao mafalaa....so ukimletea swagaa za kumtenganisha naoo ni vita hatakii.

In Short familia zetu ni mtihani sana hasa ukiwa na utu kama mleta madaa.Ukikaa vibaya hao wanakutoa rohooo au kukupiga tukio hata wew.
 
Umenishauri jambo la msingi sana
 
Unaambiwa Bwana Mungu huwapatiliza Watoto wa Uzao Mwovu hadi kizazi cha Nne.

Kama wewe unapata pesa kwa kudhulum endelea kula bata ila kuna uzao wako utalipa hiyo gharama ikiwa na wewe uko hai ili uchungu ukurudie.
Hakika unachosema. Watu wengi huwa hawaamini,,lkn huo ndio ukweli. Kwa hiyo ni jukumu letu kutenda mema kwa ajili ya vizazi vyetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakika unachosema. Watu wengi huwa hawaamini,,lkn huo ndio ukweli. Kwa hiyo ni jukumu letu kutenda mema kwa ajili ya vizazi vyetu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabisa yaani nimeona ndugu na familia za Uongozi wa Juu ktk Taifa hili jinsi wanavyopitia mambo mazito na magumu.

Ukiwaona ni mawaziri na wakurugenzi kwenyw vyombo nyeti huku kwenye nyumba zao zinawaka moto.

I learned it must be karma.
 
Nilitaka nisicomment nisome tu huu Uzi Ila wewe ni mtu wa ajabu kweli kweli Yaani majitu ya 40+ yanaka tu na huyu Dogo anakqbwa na maisha ndo awalishe eti Ana Roho mbaya mbona usiwaseme hao wahuni malofa yasiyofanya kazi ndo yanatoho mbaya??Dogo katoa nyongo aheshimiwe
 
Pole mkuu, hauko peke Yako na jambo hilo sio unique to your family.

Familia nyingi za kibongo hayo ndo maisha wanayoishi. Kizazi chetu hiki we pishana na watu tu mtaani, ila ukipewa uishi nao utakimbia. Wengi tumevurugwa, hatujitambui, wabinafsi na hatuna value Kwa familia na jamii zetu.

Kuna anguko kubwa sana la maadili, yaani kukuta familia Ina watoto at least 3 afu ukute wanajitambua hiyo ni NEEMA kubwa sana. Wengi wetu hata personal management imetushinda.

Umasikini na utegemezi ndio main reason why most families remain poor for decades. Unazaliwa na mzazi masikini, hunakosa malezi bora ili uje ujitegemee, na wewe unaanzisha familia yenye changamoto kama za wazazi wako na mnyororo wa umasikini unaendelea.

Kuna ushauri umetolewa na wadau naomba uuzingatie. Maisha ni maamuzi. Ndg zako wameanua kuishi maisha yao na unaona hakuna aliekufa na maisha yao yanasonga na wala hawajali. Wewe ndo unajiona muungwana na kutaka kubadiri fate ya maisha ambayo hata wazazi wako wameshindwa.

Unalo jukumu moja kuu na la msingi. Pambana anzisha familia Yako, Jenga misingi Yako ili usije kupata familia kama ya wazazi wako. Achana na hao wengine, ni watu wazima wataishi tu hata usipotuma iyo laki moja Yako Kila mwezi.

Life is all about decisions you make
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…