Familia nyingine ni za ajabu sana

Familia nyingine ni za ajabu sana

Walau mshukuru mungu kaka iliwahi kula bata kipindi cha mshua sisi wengine hatujawahi kula bata hata kipindi mshua yupo tumekuwa kwa nguvu za mungu tu aiseee
Bila mama na wadogo zangu hata pesa ningekuwa situmi qmmke ila wanaujua udhaifu wangu uko wapi na ndio wanaoutumia kunilegeza [emoji3525][emoji3525][emoji3525]
🤣🤣🤣🤣
 
Usiombe kuna wale wazazi wao walitengana na huko walipoenda kuoa na kuolewa familia zao zikavunjika na wengi wazee ,unakuwa unahudumia pande mbili huku na huku na kila mzazi ana mahitaji yake.

Kumbukumbu labda uliachwa upande mmoja ukapata madhila hapa duniani katika mqkuzi yako ,unapokuwa wale wazazi unatakiwa kuwasaidia kwa pamoja whilst ulikuwa unalelewa upande mmoja.

Ukianza tu kazi inawezekana hata mzazi mmoja zaidi ya miaka 10 hajui wewe unakula nn ila ukifanikiwa unatakiwa umjengee nyumba .😅
Duuh..aisee hz familia zetu za kiafrika zinashida sana tuzidi kuombeana kwakweli🤣🤣
 
Pole Sanaa kijana,Jipangeni ongea na ndugu Yako ambae akili zipo fresh,mchukueni mama either akae nammja wapo wenu aliejipanga halfu muwekeane mikakati ya kuwa mnatoa pesa kwa mama Kila mwezi.

Wale wahunii waacheni wajipambanie huko,tofauti na hapo huta sogea na watamstretisha pia bimkubwa mmkose..... Maana najua hapo alipo kelele ni nyingi. Lakini tatizoo nahisi hata wazazi kunanamna wamelitengeneza tatizoo kimalezii.
Kabisa mkuu source kubwa ni kwenye malezi nahisi
 
Kama kuna uwezekano, mchukueni bi Mkubwa muishi nae alaf nyumba pangisheni. Haya majamaa yaachieni chumba kimoja.

Hakikisheni hati na documents muhimu za nyumba mnazitoa hapo home. Baada ya hapo, hakuna tena sababu ya kuwatumia hela ya matumizi
Huyo Mama hawezi kukubali kutoka hapo nyumbani..anajua hao wazee wake watakosa chakula..wamama wakati mwingine wanalemaza sana watoto wao
 
Kama mngelelewa vizuri, hao Kaka zako wasingekuwa Wezi na walevi.

Tofautisha Kulea na kufugwa!
Kumlisha MTU sio kumlea kwani hata Mnyama unaweza kumpa chakula.
Kuishi na mtoto na kumfunza ndio kumlea.
Malezi ya Watoto kama yakifanyika vizuri mtoto hawezi kuwa mwizi wala chapombe.

Mengine, poleni Sana. Hayo ndio Maisha.
Unachokisema sio kweli hata kidogo sisi wote tumelelewa katika maadili mazuri ni hao ndugu tu sijui hizo tabia wametoa wapi. Sisi kwenye familia yetu sio walev wa pombe wala sigara kuanzia wazazi wetu lakini shanga hawa jamaa kuna mmoja anavuta sigara mpaka bangi kitu ambacho kwenye familia yetu akijawahi kuwepo
 
Hahahaa 😂😂we Jamaa nimekukubali,Dah! Mama ukute ni ngumu sana kuishii bila hao mafalaa....so ukimletea swagaa za kumtenganisha naoo ni vita hatakii.

In Short familia zetu ni mtihani sana hasa ukiwa na utu kama mleta madaa.Ukikaa vibaya hao wanakutoa rohooo au kukupiga tukio hata wew.
🤣🤣🤣🤣
 
Pole mkuu, hauko peke Yako na jambo hilo sio unique to your family.

Familia nyingi za kibongo hayo ndo maisha wanayoishi. Kizazi chetu hiki we pishana na watu tu mtaani, ila ukipewa uishi nao utakimbia. Wengi tumevurugwa, hatujitambui, wabinafsi na hatuna value Kwa familia na jamii zetu.

Kuna anguko kubwa sana la maadili, yaani kukuta familia Ina watoto at least 3 afu ukute wanajitambua hiyo ni NEEMA kubwa sana. Wengi wetu hata personal management imetushinda.

Umasikini na utegemezi ndio main reason why most families remain poor for decades. Unazaliwa na mzazi masikini, hunakosa malezi bora ili uje ujitegemee, na wewe unaanzisha familia yenye changamoto kama za wazazi wako na mnyororo wa umasikini unaendelea.

Kuna ushauri umetolewa na wadau naomba uuzingatie. Maisha ni maamuzi. Ndg zako wameanua kuishi maisha yao na unaona hakuna aliekufa na maisha yao yanasonga na wala hawajali. Wewe ndo unajiona muungwana na kutaka kubadiri fate ya maisha ambayo hata wazazi wako wameshindwa.

Unalo jukumu moja kuu na la msingi. Pambana anzisha familia Yako, Jenga misingi Yako ili usije kupata familia kama ya wazazi wako. Achana na hao wengine, ni watu wazima wataishi tu hata usipotuma iyo laki moja Yako Kila mwezi.

Life is all about decisions you make
👍
 
Pole mkuu, hauko peke Yako na jambo hilo sio unique to your family.

Familia nyingi za kibongo hayo ndo maisha wanayoishi. Kizazi chetu hiki we pishana na watu tu mtaani, ila ukipewa uishi nao utakimbia. Wengi tumevurugwa, hatujitambui, wabinafsi na hatuna value Kwa familia na jamii zetu.

Kuna anguko kubwa sana la maadili, yaani kukuta familia Ina watoto at least 3 afu ukute wanajitambua hiyo ni NEEMA kubwa sana. Wengi wetu hata personal management imetushinda.

Umasikini na utegemezi ndio main reason why most families remain poor for decades. Unazaliwa na mzazi masikini, hunakosa malezi bora ili uje ujitegemee, na wewe unaanzisha familia yenye changamoto kama za wazazi wako na mnyororo wa umasikini unaendelea.

Kuna ushauri umetolewa na wadau naomba uuzingatie. Maisha ni maamuzi. Ndg zako wameanua kuishi maisha yao na unaona hakuna aliekufa na maisha yao yanasonga na wala hawajali. Wewe ndo unajiona muungwana na kutaka kubadiri fate ya maisha ambayo hata wazazi wako wameshindwa.

Unalo jukumu moja kuu na la msingi. Pambana anzisha familia Yako, Jenga misingi Yako ili usije kupata familia kama ya wazazi wako. Achana na hao wengine, ni watu wazima wataishi tu hata usipotuma iyo laki moja Yako Kila mwezi.

Life is all about decisions you make
Ahsante mkuu kwa wazo lako
 
Back
Top Bottom