Melancholic
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 3,076
- 5,483
- Thread starter
- #121
Siwezi kuja kuishi na bi mkubwa mwenye miaka 60+ tena dar uswahilini kwenye nyumba za kupanga na sijaoa uwongoNAKAZIA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siwezi kuja kuishi na bi mkubwa mwenye miaka 60+ tena dar uswahilini kwenye nyumba za kupanga na sijaoa uwongoNAKAZIA
Ahsante mkuu nashukuru kwa ushauri mzuriMkuu chunga sana na kauli zako haswa kwa Bi Mkubwa,Mama yenu.
We saidia na uwenda hayo mapito mnayopitia ikawa chachu ya mafanikio.
Sasa nifanyeje ili kuwaokoa1. Wamechuliwa akili ufahamu wao.
2. Wamelogwa kabisa hujui tu
Siwezi kuja kuishi dar na bi mkubwa dar kwenye nyumba za kupanga na sijaowaWazo zuri sana
Daah..mwamba umeongea kwa uchungu mkubwa mpaka nimecheka😂😂Kaka we acha tu umri ninao na majukumu acha ibaki siri yangu familia zetu zina shida sana haki ya mungu, huwenda ningekuwa mbali sana kimaendeleo ila familia haki jamani na hapo still una wazazi wote wawili daaaaah! Qmmake wallah
Akakae Kwa kaka Ako kama kuna Nafasi... Wale wahuni wasiojitambua wanyoookeSiwezi kuja kuishi na bi mkubwa mwenye miaka 60+ tena dar uswahilini kwenye nyumba za kupanga na sijaoa uwongo
🤣🤣🤣🤣Walau mshukuru mungu kaka iliwahi kula bata kipindi cha mshua sisi wengine hatujawahi kula bata hata kipindi mshua yupo tumekuwa kwa nguvu za mungu tu aiseee
Bila mama na wadogo zangu hata pesa ningekuwa situmi qmmke ila wanaujua udhaifu wangu uko wapi na ndio wanaoutumia kunilegeza [emoji3525][emoji3525][emoji3525]
Duuh..aisee hz familia zetu za kiafrika zinashida sana tuzidi kuombeana kwakweli🤣🤣Usiombe kuna wale wazazi wao walitengana na huko walipoenda kuoa na kuolewa familia zao zikavunjika na wengi wazee ,unakuwa unahudumia pande mbili huku na huku na kila mzazi ana mahitaji yake.
Kumbukumbu labda uliachwa upande mmoja ukapata madhila hapa duniani katika mqkuzi yako ,unapokuwa wale wazazi unatakiwa kuwasaidia kwa pamoja whilst ulikuwa unalelewa upande mmoja.
Ukianza tu kazi inawezekana hata mzazi mmoja zaidi ya miaka 10 hajui wewe unakula nn ila ukifanikiwa unatakiwa umjengee nyumba .😅
Acha tu ndugu yangu inatia hasira sanaKazi kweli aisee mambo ya familia unaweza sema kwanin nilizaliwa hii familia unakasirika
Kabisa mkuu source kubwa ni kwenye malezi nahisiPole Sanaa kijana,Jipangeni ongea na ndugu Yako ambae akili zipo fresh,mchukueni mama either akae nammja wapo wenu aliejipanga halfu muwekeane mikakati ya kuwa mnatoa pesa kwa mama Kila mwezi.
Wale wahunii waacheni wajipambanie huko,tofauti na hapo huta sogea na watamstretisha pia bimkubwa mmkose..... Maana najua hapo alipo kelele ni nyingi. Lakini tatizoo nahisi hata wazazi kunanamna wamelitengeneza tatizoo kimalezii.
Huyo Mama hawezi kukubali kutoka hapo nyumbani..anajua hao wazee wake watakosa chakula..wamama wakati mwingine wanalemaza sana watoto waoKama kuna uwezekano, mchukueni bi Mkubwa muishi nae alaf nyumba pangisheni. Haya majamaa yaachieni chumba kimoja.
Hakikisheni hati na documents muhimu za nyumba mnazitoa hapo home. Baada ya hapo, hakuna tena sababu ya kuwatumia hela ya matumizi
Unachokisema sio kweli hata kidogo sisi wote tumelelewa katika maadili mazuri ni hao ndugu tu sijui hizo tabia wametoa wapi. Sisi kwenye familia yetu sio walev wa pombe wala sigara kuanzia wazazi wetu lakini shanga hawa jamaa kuna mmoja anavuta sigara mpaka bangi kitu ambacho kwenye familia yetu akijawahi kuwepoKama mngelelewa vizuri, hao Kaka zako wasingekuwa Wezi na walevi.
Tofautisha Kulea na kufugwa!
Kumlisha MTU sio kumlea kwani hata Mnyama unaweza kumpa chakula.
Kuishi na mtoto na kumfunza ndio kumlea.
Malezi ya Watoto kama yakifanyika vizuri mtoto hawezi kuwa mwizi wala chapombe.
Mengine, poleni Sana. Hayo ndio Maisha.
🤣🤣🤣🤣Hahahaa 😂😂we Jamaa nimekukubali,Dah! Mama ukute ni ngumu sana kuishii bila hao mafalaa....so ukimletea swagaa za kumtenganisha naoo ni vita hatakii.
In Short familia zetu ni mtihani sana hasa ukiwa na utu kama mleta madaa.Ukikaa vibaya hao wanakutoa rohooo au kukupiga tukio hata wew.
Hilo lipo wazi kabisa mkuuMwisho wa siku huyo mama yetu ana shida kidogo kwenye malezi ya wanawe.
👍Pole mkuu, hauko peke Yako na jambo hilo sio unique to your family.
Familia nyingi za kibongo hayo ndo maisha wanayoishi. Kizazi chetu hiki we pishana na watu tu mtaani, ila ukipewa uishi nao utakimbia. Wengi tumevurugwa, hatujitambui, wabinafsi na hatuna value Kwa familia na jamii zetu.
Kuna anguko kubwa sana la maadili, yaani kukuta familia Ina watoto at least 3 afu ukute wanajitambua hiyo ni NEEMA kubwa sana. Wengi wetu hata personal management imetushinda.
Umasikini na utegemezi ndio main reason why most families remain poor for decades. Unazaliwa na mzazi masikini, hunakosa malezi bora ili uje ujitegemee, na wewe unaanzisha familia yenye changamoto kama za wazazi wako na mnyororo wa umasikini unaendelea.
Kuna ushauri umetolewa na wadau naomba uuzingatie. Maisha ni maamuzi. Ndg zako wameanua kuishi maisha yao na unaona hakuna aliekufa na maisha yao yanasonga na wala hawajali. Wewe ndo unajiona muungwana na kutaka kubadiri fate ya maisha ambayo hata wazazi wako wameshindwa.
Unalo jukumu moja kuu na la msingi. Pambana anzisha familia Yako, Jenga misingi Yako ili usije kupata familia kama ya wazazi wako. Achana na hao wengine, ni watu wazima wataishi tu hata usipotuma iyo laki moja Yako Kila mwezi.
Life is all about decisions you make
Kaka shida ni kuwa bado sina kipato kikubwa yani naunga unga sana na wao hata kulima awajui coz home ni mkoani ila sio shamba ni town kabisaMungu akutie nguvu uweze kufanya haya.
1. Nunua mashamba/ walime chakula chao
2. Nunua ng'ombe/ mbuzi,kondoo,kuku kienyeji.
Utapunguza tatizo hili.
Tuishi humo🤣🤣Mleta sledi unasababisha jangwa stori nyiiingii
Ahsante mkuu kwa wazo lakoPole mkuu, hauko peke Yako na jambo hilo sio unique to your family.
Familia nyingi za kibongo hayo ndo maisha wanayoishi. Kizazi chetu hiki we pishana na watu tu mtaani, ila ukipewa uishi nao utakimbia. Wengi tumevurugwa, hatujitambui, wabinafsi na hatuna value Kwa familia na jamii zetu.
Kuna anguko kubwa sana la maadili, yaani kukuta familia Ina watoto at least 3 afu ukute wanajitambua hiyo ni NEEMA kubwa sana. Wengi wetu hata personal management imetushinda.
Umasikini na utegemezi ndio main reason why most families remain poor for decades. Unazaliwa na mzazi masikini, hunakosa malezi bora ili uje ujitegemee, na wewe unaanzisha familia yenye changamoto kama za wazazi wako na mnyororo wa umasikini unaendelea.
Kuna ushauri umetolewa na wadau naomba uuzingatie. Maisha ni maamuzi. Ndg zako wameanua kuishi maisha yao na unaona hakuna aliekufa na maisha yao yanasonga na wala hawajali. Wewe ndo unajiona muungwana na kutaka kubadiri fate ya maisha ambayo hata wazazi wako wameshindwa.
Unalo jukumu moja kuu na la msingi. Pambana anzisha familia Yako, Jenga misingi Yako ili usije kupata familia kama ya wazazi wako. Achana na hao wengine, ni watu wazima wataishi tu hata usipotuma iyo laki moja Yako Kila mwezi.
Life is all about decisions you make
Watauza nyumba na mashamba kama yapoKazi ndogo sana.
Mchukue Mama hao wahuni wabaki wenyewe
Ni kweli kabisa maana kuna kipindi tulitaka tumtoe akatuambia hilo wazo tufute yeye awezi kuhama kwakeHuyo Mama hawezi kukubali kutoka hapo nyumbani..anajua hao wazee wake watakosa chakula..wamama wakati mwingine wanalemaza sana watoto wao