Familia nyingine ni za ajabu sana

Sasa nifanyeje ili kuwaokoa
Huna uwezo huo hio ni destiny yao yaan wameshagota wachukulie km walemavu tu akili zao zimeshagota hao ndugu zako hata km utawaona wapo sawa Ila hawapo sawa kiakili, hapo ni kumuachia Mungu tu wapande gari moja wote wapigwe mzinga mkawazike basi ndio pona yenu kinyume na hapo wewe toa msaada tu ahsante zao zitarudi kwenye mikono ya watoto wako watakurudishia wakikua ingawa pia mambo yanabadirika unaweza usaidie na usisaidiwe
 
Ndio hivyo jamaa akili zao zimepigwa komeo yaan hawaendelei wanarudi palepale kuna watu wanajua kuroga, wanawake wanaroga sana
Your browser is not able to display this video.
 
Kama kuna uwezekano, mchukueni bi Mkubwa muishi nae alaf nyumba pangisheni. Haya majamaa yaachieni chumba kimoja.

Hakikisheni hati na documents muhimu za nyumba mnazitoa hapo home. Baada ya hapo, hakuna tena sababu ya kuwatumia hela ya matumizi
Na hili ndilo suluhisho
 
Mungu akutie nguvu uweze kufanya haya.
1. Nunua mashamba/ walime chakula chao
2. Nunua ng'ombe/ mbuzi,kondoo,kuku kienyeji.
Utapunguza tatizo hili.
Yaani hao jamaa ndio uwanunulie ng'ombe mbuzi na kuku ? Hao wanyama hawawezi kuiona asubuhi watakuwa wameliwa supu au kuuzwa bei ya kutupa. Hata hayo mashamba utakuwa umezalisha msitu wa kuishi majoka
 
Duuuu, mzeebaba pole sana ndio misalaba hyo mzee
 
Ni nani aliyekuwa akimfungulia mlango huyo mpuuzi aliye fumwa koridoni?

Ujinga wa hao kaka zako nyuma yao kuna mama yenu ndiye aliye lifanikisha hilo akidhani ana waonesha upendo na kumbe alikuwa akimhujumu mmewe na uchumi wa familia kwa ujumla.
 
Mchukue bi Mkubwa wako mwambie unamuondoa kwenye nyumba yake unataka uishi nae kwenye chumba chako kimoja ulichopanga Dar alafu msikilize atakwambia nini, nyie watu mnachukulia mambo simple simple eeh
Usifanye mambo kwa assumptions, unafikiri mzazi mmoja asipokuwa tayari ndio na wazazi wote hawako tayari?
 
Ujinga wa hao kaka zako nyuma yao kuna mama yenu ndiye aliye lifanikisha hilo akidhani ana waonesha upendo na kumbe alikuwa akimhujumu mmewe na uchumi wa familia kwa ujumla.
Unaeleza km kwamba uliwahi kuishi nao au unamjua Mama yao kumbe chenga tu chemsha chai unywe na mihogo ya kukaanga kwa Mama Mwajuma hapo ukimaliza nenda vijiwe vya porojo ukadai Bandari Ila ujue ishachukuliwa na waarabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…