Aisee,..Aziz Abood mbunge ni mtoto wa nje wa familia ya mzee abood marehemu. Watoto halali wa ndoa ni kina fawz majid na tarek hata hivyo abood mbunge ndio anajulikana kama mwenye mali lakini uhalisia yeye wala hausiki kivile na ingekuwa mswahili angeipatapata. Waswahili jifunzeni kuishi KWA upendo ndani ya familia zenu extended. Wakati mwingine Mungu hupitishia baraka KWA watoto wa kambo/ nje ya ndoa.
Angekuwa mswahili asingeruhusiwa kuhodhi mali ya familia Abood company ni empire kubwa sana ya kibiashara Tanzania inayomoliki makampuni kibao pia haina skendo chafu hongera kwa familia ya Abood.Culture tofauti .....umasikini ni janga pia sikia tuuu
Abood mwarabuAziz Abood mbunge ni mtoto wa nje wa familia ya mzee abood marehemu. Watoto halali wa ndoa ni kina fawz majid na tarek hata hivyo abood mbunge ndio anajulikana kama mwenye mali lakini uhalisia yeye wala hausiki kivile na ingekuwa mswahili angeipatapata. Waswahili jifunzeni kuishi KWA upendo ndani ya familia zenu extended. Wakati mwingine Mungu hupitishia baraka KWA watoto wa kambo/ nje ya ndoa.
Familia za waswahili aliyetoboa anataka nyie wengine muwe watwana tuuu , hakuchorei ramani... Ili akija home mumuone don , tatizo la Sisi waswahili watoto wa kambo tunatengenezeana chuki tangu tukiwa wadogo , mamother ndo chief engineer wa Hz chuki , ni katika familia ya Baba na mama mmoja ndo mnaweza peana support ...Angekuwa mswahili asingeruhusiwa kuhodhi mali ya familia Abood company ni empire kubwa sana ya kibiashara tanzania inayomoliki makampuni kibao pia haina skendo chafu hongera kwa familia ya abood.
Hizi roho ndio mtoa mada anashauri tuziache, kuangalia madhaifu tupu!!ndo maana mnagawa Bandari na rasilimali zetu bure kwa foreigners sababu ya inferiority complex, kwa hiyo Waarabu wote Duniani hawana matatizo ya kifamilia? Umeshawahi kusikia kitu kinaitwa honor killings huko kwa waarabu na waislamu?
Unamaanisha nini unaposema mtoto wa nje? Je, mamake alipigwa nje? Au mzee Abood alipomwoa mamaje alikuwa anazaliwa? Sasa atakuwaje na ugomvi na ndugu zake kama wamezaliwa na mama mmoja?Aziz Abood mbunge ni mtoto wa nje wa familia ya mzee abood marehemu. Watoto halali wa ndoa ni kina fawz majid na tarek hata hivyo abood mbunge ndio anajulikana kama mwenye mali lakini uhalisia yeye wala hausiki kivile na ingekuwa mswahili angeipatapata. Waswahili jifunzeni kuishi KWA upendo ndani ya familia zenu extended. Wakati mwingine Mungu hupitishia baraka KWA watoto wa kambo/ nje ya ndoa.
hizi roho ndo mtoa mada anashauri tuziache, kuangalia madhaifu tupu!!
Huenda hayo ni madhaifu yake ambayo hapa hatuangalii,tunaondoka na ujumbe.Sasa kwa nini ameangalia madhaifu tupu ya Waswahili? Mbona hilo haumwambii?
Hili ni kosa la baba kutoweka mgawanyo wa mali mapema kwa kila mbegu yakeFamilia za waswahili aliyetoboa anataka nyie wengine muwe watwana tuuu , hakuchorei ramani... Ili akija home mumuone don , tatizo la Sisi waswahili watoto wa kambo tunatengenezeana chuki tangu tukiwa wadogo , mamother ndo chief engineer wa Hz chuki , ni katika familia ya Baba na mama mmoja ndo mnaweza peana support ...
Kurogana , chuki na kufanyiana fitina ni kawaida Sana kwenye familia za waswahili pindi Mzee aliyezaa na wanawake wengi wengi akifariki , huwa kuna mtifuano mkubwa Sana wa mali..usipokuwa makini unashushwa ahera kimasihara
Aziz Abood mbunge ni mtoto wa nje wa familia ya mzee abood marehemu. Watoto halali wa ndoa ni kina Fawz Majid na Tarek. Hata hivyo Abood mbunge ndio anajulikana kama mwenye mali lakini uhalisia yeye wala hausiki kivile na ingekuwa mswahili angeipatapata.
Waswahili jifunzeni kuishi KWA upendo ndani ya familia zenu extended. Wakati mwingine Mungu hupitishia baraka KWA watoto wa kambo/ nje ya ndoa.
Wewe unashida, wapi kaandika waarabu au waislamu? mtoa mada kaandika Aziz Abood hajasema dini yake wala kabila lake wewe umesharukia mambo ya bandari, dini sijui kabila. Nyinyi mna shida sana na hii nadhani kukosa kazi na umaskini ndio maana vijana wanaingia kwenye siasa na harakati wajuwa ndio njia ya kutokea.Ndio maana mnagawa Bandari na rasilimali zetu bure kwa foreigners sababu ya inferiority complex, kwa hiyo Waarabu wote Duniani hawana matatizo ya kifamilia?
Umeshawahi kusikia kitu kinaitwa honor killings huko kwa waarabu na waislamu?
Point takenAbood mwarabu
Wahindi na waarabu huwa hawana shida hata mmiliki mali akifa biashara zinaendelea vizuri shida iko kwa waswahili ngozi nyeusi.
ASAS mwenyewe mwanzisha kampuni alishafariki siku nyingi lakini ona kampuni inavyopaa juu, ana watoto wengi lakini wala hawana shida kuendesha.
Waswahili ngozi nyeusi kampuni anayejua kuiendesha anakuwa mzazi tu watoto hata hawashirikishi nadhani sababu ya ushirikina akifa na kampuni inakufa na anaacha migogoro ya mirathi kibao.
AahaaaaaaMiswahili mkiona mtu mweupe mnaona Allah huyo hapo. Au ndio mtume.
Ndio maana mnagawa kila kitu ikiwemo mikundu yenu mnawapa.
Stupid
Wewe unashida, wapi kaandika waarabu au waislamu? mtoa mada kaandika Aziz Abood hajasema dini yake wala kabila lake wewe umesharukia mambo ya bandari, dini sijui kabila. Nyinyi mna shida sana na hii nadhani kukosa kazi na umaskini ndio maana vijana wanaingia kwenye siasa na harakati wajuwa ndio njia ya kutokea.
Umeenda mbali sana kuna familia ilikuwa inaheshimka kama ya Reginald Mengi? mzee alikuwa na heshima yake bila kujali mapungufu yake kama binadamu, lakini walianza kumdhalilisha mzee kabla hajafariki na baada ya kufariki ndio wakamvua nguo mzee hadharani, wakamwita mpaka alikuwa akili haziko sawa ni aibu kubwa. Dunia hii tafuta tumia usiache kitu. walichomfanyia yule mzee too much.Abood mwarabu
Wahindi na waarabu huwa hawana shida hata mmiliki mali akifa biashara zinaendelea vizuri shida iko kwa waswahili ngozi nyeusi.
ASAS mwenyewe mwanzisha kampuni alishafariki siku nyingi lakini ona kampuni inavyopaa juu, ana watoto wengi lakini wala hawana shida kuendesha.
Waswahili ngozi nyeusi kampuni anayejua kuiendesha anakuwa mzazi tu watoto hata hawashirikishi nadhani sababu ya ushirikina akifa na kampuni inakufa na anaacha migogoro ya mirathi kibao.