Tissaphernes
JF-Expert Member
- Mar 27, 2018
- 2,902
- 3,560
Wataalamu wa kibongo kampuni inakufa keshoHakika, wanafamilia wanatakiwa kubaki kama wanahisa tu wakati uendeshwaji ukifanywa na wataalamu walioajiliwa kwa ajili hiyo. Au kama miongoni mwa wana familia kuna wataalamu basi waajiriwe walipww kama wafanya kazi wengine kulingana na nafasi zao, huku wakiendelea kupata sehemu ya gawio kama wamiliki.