Familia ya Aziz Abood inavyoishi kwa amani, waswahili tusingeweza tungeuana mchana kweupe

Familia ya Aziz Abood inavyoishi kwa amani, waswahili tusingeweza tungeuana mchana kweupe

Aziz Abood mbunge ni mtoto wa nje wa familia ya mzee Abood marehemu. Watoto halali wa ndoa ni kina Fawz Majid na Tarek. Hata hivyo Abood mbunge ndio anajulikana kama mwenye mali lakini uhalisia yeye wala hausiki kivile na ingekuwa mswahili angeipatapata.

Waswahili jifunzeni kuishi kwa upendo ndani ya familia zenu extended. Wakati mwingine Mungu hupitishia baraka KWA watoto wa kambo/ nje ya ndoa.
Asili yao, kwaasisi weusi ngumu
 
Familia za waswahili aliyetoboa anataka nyie wengine muwe watwana tuuu , hakuchorei ramani... Ili akija home mumuone don , tatizo la Sisi waswahili watoto wa kambo tunatengenezeana chuki tangu tukiwa wadogo , mamother ndo chief engineer wa Hz chuki , ni katika familia ya Baba na mama mmoja ndo mnaweza peana support ...

Kurogana , chuki na kufanyiana fitina ni kawaida Sana kwenye familia za waswahili pindi Mzee aliyezaa na wanawake wengi wengi akifariki , huwa kuna mtifuano mkubwa Sana wa mali..usipokuwa makini unashushwa ahera kimasihara
I really wonder

Yaani inakuaje wanadamu wengine wawe answerable kwako wewe kwenye maendeleo yako binafsi?

Kila mtu ni individual,anaendelea au kufilisika kutokana na capacity ya ubongo wake

Mtu yupo answerable kwake yeye mwenyewe na kwa mbali watoto wake na mkewe wanaomtegemea

Sasa wewe kukaa hapa na kuanza kupitisha judgements kwa wanadamu wengine who happen to be born in your clan and is more successful than you ni stupidity

Kila mtu awe free,atumie ubongo wake and other tools to advance themselves without interference from anyone!

Wewe kufeli is totally on yourself and your own brain,sio ndugu yako aliefanikiwa!

Muache
 
Wewe unashida, wapi kaandika waarabu au waislamu? mtoa mada kaandika Aziz Abood hajasema dini yake wala kabila lake wewe umesharukia mambo ya bandari, dini sijui kabila. Nyinyi mna shida sana na hii nadhani kukosa kazi na umaskini ndio maana vijana wanaingia kwenye siasa na harakati wajuwa ndio njia ya kutokea.

Lkn kaandika sisi Waswahili(wote) hivyo alituattack Waswahili na nina haki ya kujilinda na kuhit back!
 
Wana JF tujifunze kitu kinachoitwa the right to privacy za watu!. Sio busara, sio heshima, sio uungwana na sio ustaarabu to expose in public mambo binafsi ya ndani ya familia za watu!. Heshimu sana the right to privacy za watu!.
P
Mpaka Maxence Melo apelekwe mahakamani ndo tutajufunza
Enzi za Mengi ulikuwa ukitaja jina lake humu linagoma kama mnakumbuka
 
Mzee Gulam Dewji mhasisi wa MeTL ana watoto wakubwa kwa Mohammed Dewji (MO) kama akina Hassan Dewji na Hussein Dewji

Lakini familia nzima haina kinyongo kwa Mo wamekubali kazi zake na sasa yeye ndiye anayefahamika kuwa CEO wa MeTL Group

Ingekuwa wabongo hao mabroo wangeleta mtima nyongo kwa dogo haiwezekani dogo awe juu yetu ungewasikia sisi tumetangulia kuliona jua kabla yake
Ila MO kwa maneno yake CNN alisema anamiliki 75% ya METL ambayo ina kampuni zaidi ya 41
 
Lkn kaandika sisi Waswahili(wote) hivyo alituattack Waswahili na nina haki ya kujilinda na kuhit back!
Pole kama umehisi kafanya dharau lakini sisi tuna tabia na tumejizoesha kusema " Sisi waswahili tuna mambo" au usilete mambo ya kiswahili haya kwetu sio matusi ni kama hali fulani tunikosoa na wakati mwingine tunajisifu, Haya mambo ya kiswahili huyawezi. Mimi sidhani kama alikuwa ana tu attack sisi ni usemi wa kawaida tu. Kama ma black America wa kiitwa Nigger na mtu mweupe kwao tusi na ubaguzi lakini wao kwa wao wanaitana Nigger wanaona kawaida tu.
 
Wana JF tujifunze kitu kinachoitwa the right to privacy za watu!. Sio busara, sio heshima, sio uungwana na sio ustaarabu to expose in public mambo binafsi ya ndani ya familia za watu!. Heshimu sana the right to privacy za watu!.
P
Ukishakuwa public lazima usemwe.

Ila PPR mna demu mmoja white ana matako makubwa
 
Aziz Abood mbunge ni mtoto wa nje wa familia ya mzee Abood marehemu. Watoto halali wa ndoa ni kina Fawz Majid na Tarek. Hata hivyo Abood mbunge ndio anajulikana kama mwenye mali lakini uhalisia yeye wala hausiki kivile na ingekuwa mswahili angeipatapata.

Waswahili jifunzeni kuishi kwa upendo ndani ya familia zenu extended. Wakati mwingine Mungu hupitishia baraka KWA watoto wa kambo/ nje ya ndoa.
Sikujua hili
 
Aziz Abood mbunge ni mtoto wa nje wa familia ya mzee Abood marehemu. Watoto halali wa ndoa ni kina Fawz Majid na Tarek. Hata hivyo Abood mbunge ndio anajulikana kama mwenye mali lakini uhalisia yeye wala hausiki kivile na ingekuwa mswahili angeipatapata.

Waswahili jifunzeni kuishi kwa upendo ndani ya familia zenu extended. Wakati mwingine Mungu hupitishia baraka KWA watoto wa kambo/ nje ya ndoa.
Tumesha choka na matusi ya waswahili kwa kweli. Kila siku waswahili, wengine sisi wabara hata kiswahili hatujuhi.
 
Hawa brokers wa Kikwete wakiitwa HOME SHOPPING CENTRE zamani situ hizi GSM ndio washihiri wenye asili yao huko Yemen; je wanafuata suna za mtume kwa kuhujumu uchumi wetu kwa kuingiza makontena bila kulipa kodi?
HSC ilivunjika na kuwa

GSM
HH
SOL
FSM
 
Abood mwarabu

Wahindi na waarabu huwa hawana shida hata mmiliki mali akifa biashara zinaendelea vizuri shida iko kwa waswahili ngozi nyeusi.

ASAS mwenyewe mwanzisha kampuni alishafariki siku nyingi lakini ona kampuni inavyopaa juu, ana watoto wengi lakini wala hawana shida kuendesha.

Waswahili ngozi nyeusi kampuni anayejua kuiendesha anakuwa mzazi tu watoto hata hawashirikishi nadhani sababu ya ushirikina akifa na kampuni inakufa na anaacha migogoro ya mirathi kibao.
Sio kweli kwamba waarabu na wahindi hawana shida kwenye mambo ya urithi.
 
Ili mali isigawanywe yapaswa familia iweze iendeleza au ina uelewa wa kuendeleza
Hakika, wanafamilia wanatakiwa kubaki kama wanahisa tu wakati uendeshwaji ukifanywa na wataalamu walioajiliwa kwa ajili hiyo. Au kama miongoni mwa wana familia kuna wataalamu basi waajiriwe walipww kama wafanya kazi wengine kulingana na nafasi zao, huku wakiendelea kupata sehemu ya gawio kama wamiliki.
 
Familia za waswahili aliyetoboa anataka nyie wengine muwe watwana tuuu , hakuchorei ramani... Ili akija home mumuone don , tatizo la Sisi waswahili watoto wa kambo tunatengenezeana chuki tangu tukiwa wadogo , mamother ndo chief engineer wa Hz chuki , ni katika familia ya Baba na mama mmoja ndo mnaweza peana support ...

Kurogana , chuki na kufanyiana fitina ni kawaida Sana kwenye familia za waswahili pindi Mzee aliyezaa na wanawake wengi wengi akifariki , huwa kuna mtifuano mkubwa Sana wa mali..usipokuwa makini unashushwa ahera kimasihara
Mkuu hata hizo za baba mmoja na mama mmoja Bado Kuna changamoto nyingi mno tamaa imezidi utu kwenye familia zetu hizi kifupi Kuna laana ya umasikini
 
Wewe unashida, wapi kaandika waarabu au waislamu? mtoa mada kaandika Aziz Abood hajasema dini yake wala kabila lake wewe umesharukia mambo ya bandari, dini sijui kabila. Nyinyi mna shida sana na hii nadhani kukosa kazi na umaskini ndio maana vijana wanaingia kwenye siasa na harakati wajuwa ndio njia ya kutokea.
Achana nae sshoga huyo
 
Aziz Abood mbunge ni mtoto wa nje wa familia ya mzee Abood marehemu. Watoto halali wa ndoa ni kina Fawz Majid na Tarek. Hata hivyo Abood mbunge ndio anajulikana kama mwenye mali lakini uhalisia yeye wala hausiki kivile na ingekuwa mswahili angeipatapata.

Waswahili jifunzeni kuishi kwa upendo ndani ya familia zenu extended. Wakati mwingine Mungu hupitishia baraka KWA watoto wa kambo/ nje ya ndoa.
Abood kapata msiba,kafiwa na mama yake mzazi leo, mbele yake nyuma yetu, apumzike kwa amani.[emoji120]
 
Fungua kampuni, weka mali na milki zako chini ya kampuni, watoto wagawie shares...ukifa hata akitokea mvuta bangi hana la kufanya. Lazma asaidie kampuni iperform apate gawio...hawez kuua kampuni
 
Back
Top Bottom