Familia ya Aziz Abood inavyoishi kwa amani, waswahili tusingeweza tungeuana mchana kweupe

Familia ya Aziz Abood inavyoishi kwa amani, waswahili tusingeweza tungeuana mchana kweupe

Wana JF tujifunze kitu kinachoitwa the right to privacy za watu!. Sio busara, sio heshima, sio uungwana na sio ustaarabu to expose in public mambo binafsi ya ndani ya familia za watu!. Heshimu sana the right to privacy za watu!.
P
Mkuu GT Pascal. Haya mambo ya privacy ni mtoni huko. Mswahili anaga privacy. Ndo maana uswaz ukioga mchana unaulizwa unakwenda wapi?
 
Mkuu usilaumu kwa waliotoboa. Iyo defensive mecganism. Mtu mweusi hata kama ni ndugu ujaribu kumsaidia ama ujitolee kumsaidia bado tu atataka kukuangusha na kukuua. Bora ukomae kivyako na mali zako.
Mama moja baba moja ndugu ana kuchukia bila sababu kisa ume toboa haja toboa bado, hata ujipendekeze je kwake havutiki. Hao ndo ngjzi nyeusi.
 
Wana JF tujifunze kitu kinachoitwa the right to privacy za watu!. Sio busara, sio heshima, sio uungwana na sio ustaarabu to expose in public mambo binafsi ya ndani ya familia za watu!. Heshimu sana the right to privacy za watu!.
P
Pacal kwani suala la kwamba ni mtoto wa nje ya ndoa tena mtu mzima kama yule hilo nalo ni siri za familia? Suala la nani ni mmiliki halali wa mali nalo ni privacy?
 
Wana JF tujifunze kitu kinachoitwa the right to privacy za watu!. Sio busara, sio heshima, sio uungwana na sio ustaarabu to expose in public mambo binafsi ya ndani ya familia za watu!. Heshimu sana the right to privacy za watu!.
P
Abood ni public figure, so far jambo linalozungumziwa ni positive, shida iko wapi?
 
Mkuu usilaumu kwa waliotoboa. Iyo ni defensive mechanism. Mtu mweusi hata kama ni ndugu ujaribu kumsaidia ama ujitolee kumsaidia bado tu atataka kukuangusha na kukuua. Bora ukomae kivyako na mali zako.
Possibly haupo Tanzania , jitahd usadie ndugu zako jombaa wanaohangaika , wasaidie hata ukiwa huko mbali sio kujifungia na sent zako alaf ukifa uwakusanye wakufukie sio uungwana
Wana JF tujifunze kitu kinachoitwa the right to privacy za watu!. Sio busara, sio heshima, sio uungwana na sio ustaarabu to expose in public mambo binafsi ya ndani ya familia za watu!. Heshimu sana the right to privacy za watu!.
P
Mtu maarufu huwa ni role model , hakunaga privacy Kwa mtu maarufu boss
 
the grass is always greener on the other side...., Tofauti ya wengi Kizazi hiki ni Kuosha their Dirty Laundry in Public
 
Wana JF tujifunze kitu kinachoitwa the right to privacy za watu!. Sio busara, sio heshima, sio uungwana na sio ustaarabu to expose in public mambo binafsi ya ndani ya familia za watu!. Heshimu sana the right to privacy za watu!.
P
Empire ya abood na namna wasivyoleteana mtimanyongo ndio ujumbe hayo mengine ni yako ! Hujui Aziz Abood ni public figure? Ingekuwa wewe pasko Sawa maana hata hapa masuguru korogwe hawakujui
 
Aziz Abood mbunge ni mtoto wa nje wa familia ya mzee Abood marehemu. Watoto halali wa ndoa ni kina Fawz Majid na Tarek. Hata hivyo Abood mbunge ndio anajulikana kama mwenye mali lakini uhalisia yeye wala hausiki kivile na ingekuwa mswahili angeipatapata.

Waswahili jifunzeni kuishi kwa upendo ndani ya familia zenu extended. Wakati mwingine Mungu hupitishia baraka KWA watoto wa kambo/ nje ya ndoa.
Yule ni mshihiri.Hawa ni bora sana katika kuishi maisha ya kijamaa.Wanafuata suna za mtume sawa sawa.
 
Aziz Abood mbunge ni mtoto wa nje wa familia ya mzee Abood marehemu. Watoto halali wa ndoa ni kina Fawz Majid na Tarek. Hata hivyo Abood mbunge ndio anajulikana kama mwenye mali lakini uhalisia yeye wala hausiki kivile na ingekuwa mswahili angeipatapata.

Waswahili jifunzeni kuishi kwa upendo ndani ya familia zenu extended. Wakati mwingine Mungu hupitishia baraka KWA watoto wa kambo/ nje ya ndoa.
Baadhi ya Waswahili wanajua kulogana hatariz.... Kwa waganga kila kukicha....
 
Umeenda mbali sana kuna familia ilikuwa inaheshimka kama ya Reginald Mengi? mzee alikuwa na heshima yake bila kujali mapungufu yake kama binadamu, lakini walianza kumdhalilisha mzee kabla hajafariki na baada ya kufariki ndio wakamvua nguo mzee hadharani, wakamwita mpaka alikuwa akili haziko sawa ni aibu kubwa. Dunia hii tafuta tumia usiache kitu. walichomfanyia yule mzee too much.
Wazee Wengi wenye mali , wakioa mabinti wadogo huishia pabaya!! Sio Mengi tu hata Mrema uliona alipoishia baada ya kuvuta kimwana?
 
Yule ni mshihiri.Hawa ni bora sana katika kuishi maisha ya kijamaa.Wanafuata suna za mtume sawa sawa.

Hawa brokers wa Kikwete wakiitwa HOME SHOPPING CENTRE zamani situ hizi GSM ndio washihiri wenye asili yao huko Yemen; je wanafuata suna za mtume kwa kuhujumu uchumi wetu kwa kuingiza makontena bila kulipa kodi?
 
Abood

Abood mbunge ni mtoto wa mchepuko sio wa ndani na mama yake ni mswahili wa kilosa.
Pesa tu hapo ndio mchawi..., Baba alitengeneza mfumo.mzuri laa sivyo Ni Yale Yale..
Na mbona Kuna familia za kiswahili wanaishi vizuri tu!
 
Back
Top Bottom