Familia ya Aziz Abood inavyoishi kwa amani, waswahili tusingeweza tungeuana mchana kweupe

Wakati mwingine Mungu hupitishia baraka KWA watoto wa kambo/ nje ya ndoa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo mama Aziz alichepuka?
 
Nikurekebishe kidogo mkuu. Founders wa Asas walikua wawili. Mkubwa na mdogo. Mkubwa alifariki ndio Yule wa iringa . Mdogo still alive yupo Dar. Msimamisi Kwa Iringa ni Salim CCM. Kwa dar ni Knife Mzee wa African totoz.
 
Wana JF tujifunze kitu kinachoitwa the right to privacy za watu!. Sio busara, sio heshima, sio uungwana na sio ustaarabu to expose in public mambo binafsi ya ndani ya familia za watu!. Heshimu sana the right to privacy za watu!.
P
 
Hivi waswahili kipi tume ongoza mpaka kua mfano wa kuigwa kwa wengine ukiondoa kuzaliana na kua ngono obsessed.
 
Mkuu usilaumu kwa waliotoboa. Iyo ni defensive mechanism. Mtu mweusi hata kama ni ndugu ujaribu kumsaidia ama ujitolee kumsaidia bado tu atataka kukuangusha na kukuua. Bora ukomae kivyako na mali zako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…