Kiazimaji79
Member
- Jun 20, 2023
- 51
- 71
Asili yao, kwaasisi weusi ngumuAziz Abood mbunge ni mtoto wa nje wa familia ya mzee Abood marehemu. Watoto halali wa ndoa ni kina Fawz Majid na Tarek. Hata hivyo Abood mbunge ndio anajulikana kama mwenye mali lakini uhalisia yeye wala hausiki kivile na ingekuwa mswahili angeipatapata.
Waswahili jifunzeni kuishi kwa upendo ndani ya familia zenu extended. Wakati mwingine Mungu hupitishia baraka KWA watoto wa kambo/ nje ya ndoa.
I really wonderFamilia za waswahili aliyetoboa anataka nyie wengine muwe watwana tuuu , hakuchorei ramani... Ili akija home mumuone don , tatizo la Sisi waswahili watoto wa kambo tunatengenezeana chuki tangu tukiwa wadogo , mamother ndo chief engineer wa Hz chuki , ni katika familia ya Baba na mama mmoja ndo mnaweza peana support ...
Kurogana , chuki na kufanyiana fitina ni kawaida Sana kwenye familia za waswahili pindi Mzee aliyezaa na wanawake wengi wengi akifariki , huwa kuna mtifuano mkubwa Sana wa mali..usipokuwa makini unashushwa ahera kimasihara
Wewe unashida, wapi kaandika waarabu au waislamu? mtoa mada kaandika Aziz Abood hajasema dini yake wala kabila lake wewe umesharukia mambo ya bandari, dini sijui kabila. Nyinyi mna shida sana na hii nadhani kukosa kazi na umaskini ndio maana vijana wanaingia kwenye siasa na harakati wajuwa ndio njia ya kutokea.
Mpaka Maxence Melo apelekwe mahakamani ndo tutajufunzaWana JF tujifunze kitu kinachoitwa the right to privacy za watu!. Sio busara, sio heshima, sio uungwana na sio ustaarabu to expose in public mambo binafsi ya ndani ya familia za watu!. Heshimu sana the right to privacy za watu!.
P
Ila MO kwa maneno yake CNN alisema anamiliki 75% ya METL ambayo ina kampuni zaidi ya 41Mzee Gulam Dewji mhasisi wa MeTL ana watoto wakubwa kwa Mohammed Dewji (MO) kama akina Hassan Dewji na Hussein Dewji
Lakini familia nzima haina kinyongo kwa Mo wamekubali kazi zake na sasa yeye ndiye anayefahamika kuwa CEO wa MeTL Group
Ingekuwa wabongo hao mabroo wangeleta mtima nyongo kwa dogo haiwezekani dogo awe juu yetu ungewasikia sisi tumetangulia kuliona jua kabla yake
Pole kama umehisi kafanya dharau lakini sisi tuna tabia na tumejizoesha kusema " Sisi waswahili tuna mambo" au usilete mambo ya kiswahili haya kwetu sio matusi ni kama hali fulani tunikosoa na wakati mwingine tunajisifu, Haya mambo ya kiswahili huyawezi. Mimi sidhani kama alikuwa ana tu attack sisi ni usemi wa kawaida tu. Kama ma black America wa kiitwa Nigger na mtu mweupe kwao tusi na ubaguzi lakini wao kwa wao wanaitana Nigger wanaona kawaida tu.Lkn kaandika sisi Waswahili(wote) hivyo alituattack Waswahili na nina haki ya kujilinda na kuhit back!
Ukishakuwa public lazima usemwe.Wana JF tujifunze kitu kinachoitwa the right to privacy za watu!. Sio busara, sio heshima, sio uungwana na sio ustaarabu to expose in public mambo binafsi ya ndani ya familia za watu!. Heshimu sana the right to privacy za watu!.
P
Hizo habari za mgawanyo wa mali ni kosa lingine. Matokeo yake mwenye mali akifa watoto wanagawana kila mmoja na chake then inabaki historia.Hili ni kosa la baba kutoweka mgawanyo wa mali mapema kwa kila mbegu yake
Sikujua hiliAziz Abood mbunge ni mtoto wa nje wa familia ya mzee Abood marehemu. Watoto halali wa ndoa ni kina Fawz Majid na Tarek. Hata hivyo Abood mbunge ndio anajulikana kama mwenye mali lakini uhalisia yeye wala hausiki kivile na ingekuwa mswahili angeipatapata.
Waswahili jifunzeni kuishi kwa upendo ndani ya familia zenu extended. Wakati mwingine Mungu hupitishia baraka KWA watoto wa kambo/ nje ya ndoa.
Tumesha choka na matusi ya waswahili kwa kweli. Kila siku waswahili, wengine sisi wabara hata kiswahili hatujuhi.Aziz Abood mbunge ni mtoto wa nje wa familia ya mzee Abood marehemu. Watoto halali wa ndoa ni kina Fawz Majid na Tarek. Hata hivyo Abood mbunge ndio anajulikana kama mwenye mali lakini uhalisia yeye wala hausiki kivile na ingekuwa mswahili angeipatapata.
Waswahili jifunzeni kuishi kwa upendo ndani ya familia zenu extended. Wakati mwingine Mungu hupitishia baraka KWA watoto wa kambo/ nje ya ndoa.
HSC ilivunjika na kuwaHawa brokers wa Kikwete wakiitwa HOME SHOPPING CENTRE zamani situ hizi GSM ndio washihiri wenye asili yao huko Yemen; je wanafuata suna za mtume kwa kuhujumu uchumi wetu kwa kuingiza makontena bila kulipa kodi?
Ili mali isigawanywe yapaswa familia iweze iendeleza au ina uelewa wa kuendelezaHizo habari za mgawanyo wa mali ni kosa lingine. Matokeo yake mwenye mali akifa watoto wanagawana kila mmoja na chake then inabaki historia.
Sio kweli kwamba waarabu na wahindi hawana shida kwenye mambo ya urithi.Abood mwarabu
Wahindi na waarabu huwa hawana shida hata mmiliki mali akifa biashara zinaendelea vizuri shida iko kwa waswahili ngozi nyeusi.
ASAS mwenyewe mwanzisha kampuni alishafariki siku nyingi lakini ona kampuni inavyopaa juu, ana watoto wengi lakini wala hawana shida kuendesha.
Waswahili ngozi nyeusi kampuni anayejua kuiendesha anakuwa mzazi tu watoto hata hawashirikishi nadhani sababu ya ushirikina akifa na kampuni inakufa na anaacha migogoro ya mirathi kibao.
Hakika, wanafamilia wanatakiwa kubaki kama wanahisa tu wakati uendeshwaji ukifanywa na wataalamu walioajiliwa kwa ajili hiyo. Au kama miongoni mwa wana familia kuna wataalamu basi waajiriwe walipww kama wafanya kazi wengine kulingana na nafasi zao, huku wakiendelea kupata sehemu ya gawio kama wamiliki.Ili mali isigawanywe yapaswa familia iweze iendeleza au ina uelewa wa kuendeleza
Mkuu hata hizo za baba mmoja na mama mmoja Bado Kuna changamoto nyingi mno tamaa imezidi utu kwenye familia zetu hizi kifupi Kuna laana ya umasikiniFamilia za waswahili aliyetoboa anataka nyie wengine muwe watwana tuuu , hakuchorei ramani... Ili akija home mumuone don , tatizo la Sisi waswahili watoto wa kambo tunatengenezeana chuki tangu tukiwa wadogo , mamother ndo chief engineer wa Hz chuki , ni katika familia ya Baba na mama mmoja ndo mnaweza peana support ...
Kurogana , chuki na kufanyiana fitina ni kawaida Sana kwenye familia za waswahili pindi Mzee aliyezaa na wanawake wengi wengi akifariki , huwa kuna mtifuano mkubwa Sana wa mali..usipokuwa makini unashushwa ahera kimasihara
Achana nae sshoga huyoWewe unashida, wapi kaandika waarabu au waislamu? mtoa mada kaandika Aziz Abood hajasema dini yake wala kabila lake wewe umesharukia mambo ya bandari, dini sijui kabila. Nyinyi mna shida sana na hii nadhani kukosa kazi na umaskini ndio maana vijana wanaingia kwenye siasa na harakati wajuwa ndio njia ya kutokea.
Labda kama watoto wawili au watatu hawajielew , ni familia imara Sana mkuu hawatupani ovyoMkuu hata hizo za baba mmoja na mama mmoja Bado Kuna changamoto nyingi mno tamaa imezidi utu kwenye familia zetu hizi kifupi Kuna laana ya umasikini
Abood kapata msiba,kafiwa na mama yake mzazi leo, mbele yake nyuma yetu, apumzike kwa amani.[emoji120]Aziz Abood mbunge ni mtoto wa nje wa familia ya mzee Abood marehemu. Watoto halali wa ndoa ni kina Fawz Majid na Tarek. Hata hivyo Abood mbunge ndio anajulikana kama mwenye mali lakini uhalisia yeye wala hausiki kivile na ingekuwa mswahili angeipatapata.
Waswahili jifunzeni kuishi kwa upendo ndani ya familia zenu extended. Wakati mwingine Mungu hupitishia baraka KWA watoto wa kambo/ nje ya ndoa.