Familia ya Aziz Abood inavyoishi kwa amani, waswahili tusingeweza tungeuana mchana kweupe

Wataalamu wa kibongo kampuni inakufa kesho
 
Kwani wewe hujui kuwa mtu anaweza asiwe na akili sawasawa either kwa ajiri ya uzee au ugonjwa?
 
pia haina skendo chafu hongera kwa familia ya Abood.
Inaonesha humjui Aziz ni nani: to me ni muuaji kuliko Paul Kagame.
i. Biqashara ya mafuta ya kula aliyokuwa anayafanya yalikuwa ni sumu na yasiyofaaa kabisa kwa mtumizi ya binandamu.
ii. Siku moja iliswahi kuandiskwa habari kwenye gazeti la majira ilitolea taarifa juu mbuzi kuoneakana wamekufa katika mazingira ya viwanda vyake vywa sabuni na mafuta. Mwandishi aliyeandika story hiyo alifuatawa na Azizi akatakiwa kukanusha habari hiyo kwa vitisho.

Ubaya wa Aziziz umevuka mipaka
 
Watu weupe huwa wanapendana hasa wenye asili ya Middle-east na mashariki ya mbali (Asia) nawazungumzia "wahindu na Waarabu na Wa-asia"
 
Sasa hacha kuhukumu kwa ujumla,
Mbona kwa sie waswahili hayo Mambo yapo kibao,
Kuna familia ya kule Moshi, watoto wa nje ya ndoa kibao,
Na wanafanya kazi, kampuni moja ya, familia, wote wamesomeshwa, chuo kikuu
 
Yaani unataka watoto wa nje wapewe mali zilizochumwa ndani ya familia? Sio kweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…