Familia ya Freeman Aikaeli Mbowe yathibitisha mwanafamilia kuwa na Corona

Familia ya Freeman Aikaeli Mbowe yathibitisha mwanafamilia kuwa na Corona

Mjanja hajaingia kichwa kichwa kama halima mdee na bulaya! Nilifikiri angesema makonda mpumbavu tumuone.

Wanajitokeza kipindi cha corona ila kwenye maandamano hawaonekani.

Harafu hajakanusha kama hakuna mgonjwa nyumbani kwao!
Au ndio njia za kula rudhuku.

Jee na wewe ni MPUMBAVU kama Makonda?
Kwani kuna haja ya kurudia maana kasema "usimjibu mpumbavu" usije nawe ukaonekana mpumbavu.
Ni wazi kamtaja Makonda kama mtu Mpumbavu kulingana na biblia.
Sasa tunayo furaha kumpata Mpumbavu wa Taifa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimependa hapo alipomalizia
Mithali 26 4-5
Usimjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake;
Usije ukafanana naye.
5Umjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake;
Asije akawa mwenye hekima machoni pake.
6Apelekaye ujumbe kwa mkono wa mpumbavu
Hujikata miguu, na kunywa hasara.
Hayo maneno ameambiwa nani?

Yaani hiyo mithali!
 
Ndugu zangu; Naona kama ni mimi tu sijui kiswahili labda. We mleta hoja umesema; Kamjibu Bashite. Sawa, lakini nimemsikiliza sana sikumsikia akimjibu Bashite lolote. Swali ni, Je, Mbowe kaupata?? Angejikita hapo. Sio shangwe kusikia kuwa Mbowe kaupata huu ugonjwa. Tena kuupata huu ugojwa sio kifo tiyari, tena hata angelikufa Mbowe leo hii, sijaona upungufu wa upinzani kwa sababu ingelikuwa upinzani una mtu mmoja nadhani leo tungelikuwa kwingine.
Upinzani umo ndani ya watu sio pale Ufipa Street. Sema alimlaumu Bashite kujifanya msemaji wa familia ya Mbowe lakini sio kwamba kamjibu. I will stand to be corrected.
 
Tushukuru hivi virusi vineanzia kule kwenye ustaarabu na wametuonyesha jinsi ya kukabiliana nao na kuwasaidia walioambukizwa.

Imagine ungeanzia kwetu, hasa kule walikozoea kuua albinos na vikongwe kwa tuhuma za uchawi si tungewafyekelea mbali wazee na wote wenye dalili za maambukizi kama siyo kuwafungulia kesi za uhujumu uchumi?
 
Wana JF,

Boss wa CIA ametuthibitishia Watanzania mchana kweupe kwamba wana ushahidi wa kuaminika kuwa Makonda anadhulumu haki ya watu kuishi. Maana yake anawaua. Hao anaowauwa Ni Watanzania. Yaani Leo muuaji anawachafua watu badala ya kukaa kimya.

Mteuzi wake naye kwa kiburi tu hataki kumchukulia hatua kwa kuwataka Wamarekani wampe huo ushahidi!!!

JF, niwaombe tupaze sauti zetu dhidi ya Paulo Makonda hadi hapo mteuzi wake atakapotoka hadharani kutuambia Wananchi kuwa ushahidi wa Marekani Ni fake.
 
Kwahiyo kumbe ni kweli jamaa alikuwa na korona.
 
Leo niwe muwazi, Bashite na yule pacha wake Musiba ni microphone tuu, mwenye sauti nahisi yupo, ila kajibanza na uharo unapotoka anajifanya sio yeye ila ni hizo microphone zake a.k.a punching bag zake!
 
Back
Top Bottom