Familia ya Freeman Aikaeli Mbowe yathibitisha mwanafamilia kuwa na Corona

Familia ya Freeman Aikaeli Mbowe yathibitisha mwanafamilia kuwa na Corona

Hivi kwa nini ufipa boys hamnaga akili kabisa?

Maana yake asingeumwa mtoto wa mbowe mikutano ingekuwa pale pale?

Tumeshajua dawa yake siku nyingine akiitisha maandamano tunatanguliza watoto wake ,hasa wale wa Joyce Mkuya na bila shaka atayasitisha.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hivi kwa nini ufipa boys hamnaga akili kabisa?

Maana yake asingeumwa mtoto wa mbowe mikutano ingekuwa pale pale?

Tumeshajua dawa yake siku nyingine akiitisha maandamano tunatanguliza watoto wake ,hasa wale wa Joyce Mkuya na bila shaka atayasitisha.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
tumia akili
 
Hii ni first confirmed case ya community spread.
We need to tighten things now.
Katika hali hii, ujue ugonjwa ulishasambaa kitambo kimya kimya.

Huenda Bahati yetu pekee ni kwamba kunawezekana pakawepo na sababu ambazo hazijajulikana bayana zinazotukinga na vifo, ambavyo, kama vingetokea kama huko kwingine tungekuwa tayari na hali mbaya zaidi.

Hivi vifo ndio vingekuwa alama mahsusi kuwa tunayo corona tayari, mahali ambapo vipimo vilikuwa bado havijapatikana.

Miezi kadhaa ya nyuma, hata vijijini palikuwepo na mlipuko wa mafua makali kwa wingi. Huwa hatuna vipimo, na wala huwa hatujisumbui kujua ni mafua ya aina gani, Tukiona dalili tulizozoea, tunajua ni mafua basi!

Kama kawaida yetu, huwa hatudadisi vitu kama hivyo ambavyo tuna mazoea ya kuviona kama vya kawaida.

Hata wataalam wetu haviwashtui, mpaka siasa zianze ndipo utakapoanza kuona mishughuliko.

Hadi China walipoanza kujitangaza, ndio na vipimo maalum vya corona vilipoanza kupatikana. Je ule mlipuko uliotokea, watu wangepimwa ingeonekana kuwa ndio corona?

Je, huko vijijini hakuna wanaopata mafua na kuchukulia kuwa ni mafua ya kawaida?

Inawezekana kuna kitu/vitu vinavyotukinga kusitokee vifo vya corona?

Je, wataalam wetu wanavyovipimo vya kutosha, ili waende kule vijijini kuhakikisha kwamba mafua sio corona?

Haya ni baadhi ya maswali machache.
 
Between the line,mh.mbowe anajaribu kusema Hali halisi na kuwajulisha watanzania kuwa serikali inajaribu kulificha Jambo hili,Yani lishatapakaa kiasi Cha kutosha hivyo tunasubiri mlipuko tu.
 
Kalamu1,
Sure,Kanda ya ziwa mwishoni mwa mwaka Jana mpaka January hapo kulikua na tatizo la watu kupata mafua sn na homa Ila imepita kimya kimya tu,watu weusi tuna shida kubwa vichwani
 
Between the line,mh.mbowe anajaribu kusema Hali halisi na kuwajulisha watanzania kuwa serikali inajaribu kulificha Jambo hili,Yani lishatapakaa kiasi Cha kutosha hivyo tunasubiri mlipuko tu.

Kuna ukweli kiaina khs hoja yako mkuu,maana tulikua walikua wanatuaminisha kwamba huu ugonjwa watu wote walioupata walitoka nao nje ya nchi lkn cha ajabu huyu mtoto wa Mbowe yeye tangu huu mwaka uanze hajawahi kwenda nje ya nchi.

Tafsiri yake ni kwamba kumbe kuna watu kibao tu wameambukizwa hapa hapa bongo bila hata kwenda huko nje ya nchi.
 
Sure,Kanda ya ziwa mwishoni mwa mwaka Jana mpaka January hapo kulikua na tatizo la watu kupata mafua sn na homa Ila imepita kimya kimya tu,watu weusi tuna shida kubwa vichwani
Je, tunaweza kuanzia hapa, na hii corona, tukajifunza tusiendelee na hizi lelemama zetu za kila siku?

Yaani hii corona nayo ipite tu, na tusiambulie chochote...; hata kule kubadili tabia tu za uchafuchafu?
 
Hivi kwa nini ufipa boys hamnaga akili kabisa?

Maana yake asingeumwa mtoto wa mbowe mikutano ingekuwa pale pale?

Tumeshajua dawa yake siku nyingine akiitisha maandamano tunatanguliza watoto wake ,hasa wale wa Joyce Mkuya na bila shaka atayasitisha.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
Taifa limejaa matakataka na wajinga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika hali hii, ujue ugonjwa ulishasambaa kitambo kimya kimya.

Bahati yetu pekee ni kwamba huenda kuna sababu zisizofahamika zinazofanya vifo viwe ndio alama ya ugonjwa kuwepo na kusambaa sehemu nyingi.

Miezi kadhaa ya nyuma, hata vijijini palikuwepo na mlipuko wa mafua kwa wingi.

Kama kawaida yetu, huwa hatudadisi vitu kama hivyo ambavyo tuna mazoea ya kuviona kama vya kawaida.

Hata wataalam wetu haviwashtui, mpaka siasa zianze ndipo utakapoanza kuona mishughuliko.

Hadi China walipoanza kujitangaza, ndio na vipimo maalum vya corona vilipoanza kupatikana. Je ule mlipuko uliotokea, watu wangepimwa ingeonekana kuwa ndio corona?

Je, huko vijijini hakuna wanaopata mafua na kuchukulia kuwa ni mafua ya kawaida?

Inawezekana kuna kitu/vitu vinavyotukinga kusitokee vifo vya corona?

Je, wataalam wetu wanavyovipimo vya kutosha, ili waende kule vijijini kuhakikisha kwamba mafua sio corona?

Haya ni baadhi ya maswali machache.
Nakumbuka vizuri mkuu.
Ilikuwa miezi ya mwishoni mwa mwaka jana baada ya mvua fulani hivi.
Dalili zilikuwa zile zile za corona.Hata humu kuna watu waliianzishia thread kuhusu hilo kipindi kile.Ilikuwa outbreak kubwa sana,sana,na watu walilalamika kifua kile chenye homa sio cha kawaida.

Wizara ikafanya uchunguzi na kuja na jibu kuwa ni influenza.
Sasa corona na influenza ni lower respiratory diseases ambazo dalili zake zinafanana sana (isipokuwa influenza inapiga rika zote na ni deadly kwa watoto,corona inapiga zaidi wazee na immunocompromised) na huko kwa wenzetu influenza inawaua sana.
US pekee kuanzia October,influenza imeua watu 46000 na kuathiri watu milioni 45!Hivi sasa wanakimbizana na magonjwa yote mawili!

Sasa na corona ikiachwa maambukizi yake yakatapakaa kama influenza,then dunia hii tutatafuta pa kujificha misituni!

So,ilikuwa muhimu sana serikali yetu kujiridhisha pasina shaka kwamba ile ilikuwa influenza,na hakukuwa na la zaidi lisilojulikana.Sijui kama hilo lilifanyika au tuliassume tu ni influenza?!
 
Kuna wakati huwa nashangaa wana ccm ambao wanatetea ujinga wa Bashite huyu jamaa ni kujidharirisha tu kutetea madudu anayofanya k kila kukicha ,kuna muda huwa nahisi ama anafanya makusudi au kuna anaemtuma kuchukua attention ya Umma wa waTz
 
Back
Top Bottom