Akasankara
JF-Expert Member
- Feb 28, 2015
- 4,210
- 5,752
Kuna kale kajamaa kanakopiga picha kwenye mawe Dodoma, vipi kanaitwa nani vile?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya Mbowe ndiyo unaona ?!. Vipi serikalini kuliko na mamlaka , Je wametimiza wajibu wao kuwalinda WaTz dhidi ya Corona ?!.Mbowe kafanya UZEMBE ambao utagharim watu wengi
Mbowe hakua na sababu ya kuita press conference ilihali anajua anamgonjwa wa korona nyumban kwake huu ni uzembe unatakiwa kupingwa kwann baada ya kufaham kua mwanae alikua na Corona hakujiweka karantin mpaka ametangazwa na Paul makonda et leo ndio anasema amejitenga karantin yeye na wafanyakazi Wake
Wakati amesha fanya mizunguko mingi na hata kukutana na watu
MUNGU ainusuru Tanzania mungu atulinde
Sent using Jamii Forums mobile app
CORONA itakuwa imeingia nchi ya CHADEMA au TANZANIA?Kwahiyo kumbe ni kweli jamaa alikuwa na korona.
Hawa jamaa walimfanyia mbaya Dr slaa 2015 nafikiri kuna laana inawaandama, maana mwisho wa hiki chama ni 2020.Baada ya hapo itabaki historia.Juzi kati mwamba Technically aka kamanda wa Chadema alianzisha uzi hapa akiombea Corona iingie nchini.. Sasa imeingia imeanza na ndugu wa chama chake..😀😆😀hapa ndo hua najiuliza chadema amebaki nani mzima upstairs
Watu mlinukuu vibaya Paul hakuwa na nia mbaya.Alikuwa anasema ugonjwa wa Corona upo na wananchi wachukue tahadhali,na pia hata mtoto wa Mwenyekiti Cdm anaugua. Na kwa sababu ya corona Cdm wasitisha mikutano yao iliyokua ianze tarehe nne April. Na kwa sababu mkuu wa nchi alishazuia mikutano hii lazima FFU wangepiga watu virungu na hata risasi.Watu wangeumia na huenda wangekufa.Na kwa sababu hii jambo hili lingeichafua taswira ya nchi yetu. Sasa dada Esyklite umeleta chumvi nyingi kutaka tu mh Paul aonekane hafai.Kwa majina anaitwa James ambowe
Kama mnavyo fahamu ndugu zangu Watanzania, Mkuu wa Mkoa wa Dar-es-Salaam leo afajiri aliamkia kwenye kituo cha mabasi cha Ubungo. Na akawa anazungumza na abiria wanaokwenda mikoani. Lakini Jambo la kushangaza ambalo ninaamini hata nyinyi Watanzania limewashangaza ni la bwana Makonda kujivika usemaji wa familia.
Akafanye nini? Ruzuku za Cdm anakula na baba yake.Wewe huwa upo kwenye hayo maandamano?
Ufipa walifunga na kusali ili korona ije.CORONA itakuwa imeingia nchi ya CHADEMA au TANZANIA?
Wewe huwa unakuwepo?Akafanye nini? Ruzuku za Cdm anakula na baba yake.
Circumstantial evidenceWewe huwa unakuwepo?
Itakuwa muuza madawa ya kulevya amejipeleka mwenyewe mahakamani.Alimtangaza mgonjwa akiwa hana mamlaka ya kufanya hivyo.
Alitumia cheo chake kuwaumiza wengine mfano kutoa taarifa za mgonjwa bila idhini yake.
Afikishwe mahakamani muhuni huyu meizi wa vyeti
Pole mh. Mbowe
Sent using Jamii Forums mobile app
Alimtangaza mgonjwa akiwa hana mamlaka ya kufanya hivyo.
Alitumia cheo chake kuwaumiza wengine mfano kutoa taarifa za mgonjwa bila idhini yake.
Afikishwe mahakamani muhuni huyu meizi wa vyeti
Pole mh. Mbowe
Sent using Jamii Forums mobile app
Awataje na hao mawaziri wanaojiuguza kimya kimya.Au mnasubiri kifo kiwaumbue?Makonda ameliokoa taifa ! Mvowe alitaka kuwaambukiza wabunge wote
Sent from my iPhone using Tapatalk
unaambiwa Seif Idd hali tete !Awataje na hao mawaziri wanaojiuguza kimya kimya.Au mnasubiri kifo kiwaumbue?