Familia ya Hayati Magufuli kusimamisha kijana wao Ubunge wa Chato 2025, Samia kuzunguka naye kimkakati mikoa maalum

Pim
Pumbafu zao
 
Etii furaha dominic khaa....amekurupukia fm radio naona sasa inamshinda.....njomba hayupo kusukumia matangazo hukoooo....
 
Tume sio Kila kitu, hata USA uchaguzi unaletaga utata, halafu mfumo hauwezi kuruhusu majitu ya hovyo kwa sababu tu yameshinda uchaguzi.
Cc: MuslimBrotherHood, Misri
Uko sahihi kwa 100%....,unaweza kushinda lakini ukakatwa tu,kwa sababu hujafikia kiwango hitajika hasa kihekima,na ustahimilivu. (kushinda tu kwa kura bado sio kigezo cha kupewa kijiti cha kuongoza,) NADHANI NDANI KATIBA MPYA IONE INAWEKAJI SENETA MAALUMU AMBAYO NDIYO ITAKUWA YA MWISHO, KAMA KIPIMO CHA ALIYECHAGULIWA ANAFAA AU HATUFAI.
 
Watakaomchagua watakuwa ni wapuuzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…