Familia ya Lowassa kutomtaja Kikwete rafiki kipenzi wa Baba, je ni kukosa shukran?

Familia ya Lowassa kutomtaja Kikwete rafiki kipenzi wa Baba, je ni kukosa shukran?

Katika neno la shukrani, waliishukuru serikali kwa kusimama nao muda wote kwenye kumuuguza na hata kumuenzi baba yao kwenye mazishi ya Kitaifa.

Pia waliwashukuru watu binafsi zikiwemo taasisi za kidini, madaktari na hata juhudi binafsi za Rais kuhakikisha Lowassa anapata kila msaada unaohitajika ikiwemo faraja.

Lakini kwenye shukrani zote, hakuna mahala ambapo Kikwete ama mwanafamilia yake kutajwa kuwa karibu na familia nyakati za kumuuguza baba yao kipenzi.
Hata hapo kwenye mazishi JK alikuwa busy na story na jamaa zake
 
Wakati wa kutoa neno la shukrani, wanafamilia wawili wa Hayati Lowassa ambao ni Richard last born na Fredrick first born walisimama kutoa shukrani zao kwa waliohusika kushikamana na familia kuanzia ugonjwa hadi kukamilisha shughuli za mazishi ya mpendwa wao.

Katika neno la shukrani, waliishukuru serikali kwa kusimama nao muda wote kwenye kumuuguza na hata kumuenzi baba yao kwenye mazishi ya Kitaifa.

Pia waliwashukuru watu binafsi zikiwemo taasisi za kidini, madaktari na hata juhudi binafsi za Rais kuhakikisha Lowassa anapata kila msaada unaohitajika ikiwemo faraja.

Lakini kwenye shukrani zote, hakuna mahala ambapo Kikwete ama mwanafamilia yake kutajwa kuwa karibu na familia nyakati za kumuuguza baba yao kipenzi.

Tulimsikia mhe. Kikwete akizungumza pale Masaki alipokwenda kusaini daftari la maombolezo akisema, urafiki na ukaribu wao ulidumu hata baada ya ajali ya kisiasa ya Lowassa pale Bungeni.

Tunajifunza nini kwenye huu msiba hususan kauli za walioenda kuomboleza?
Familia imesema ukweli mtupu, KIKWETE ni mnafiki,hakuwa karibu na hayati Edward Lowassa,kama angekuwa karibu na hiyo familia wasingeacha kumtaja
 
Wakati wa kutoa neno la shukrani, wanafamilia wawili wa Hayati Lowassa ambao ni Richard last born na Fredrick first born walisimama kutoa shukrani zao kwa waliohusika kushikamana na familia kuanzia ugonjwa hadi kukamilisha shughuli za mazishi ya mpendwa wao.

Katika neno la shukrani, waliishukuru serikali kwa kusimama nao muda wote kwenye kumuuguza na hata kumuenzi baba yao kwenye mazishi ya Kitaifa.

Pia waliwashukuru watu binafsi zikiwemo taasisi za kidini, madaktari na hata juhudi binafsi za Rais kuhakikisha Lowassa anapata kila msaada unaohitajika ikiwemo faraja.

Lakini kwenye shukrani zote, hakuna mahala ambapo Kikwete ama mwanafamilia yake kutajwa kuwa karibu na familia nyakati za kumuuguza baba yao kipenzi.

Tulimsikia mhe. Kikwete akizungumza pale Masaki alipokwenda kusaini daftari la maombolezo akisema, urafiki na ukaribu wao ulidumu hata baada ya ajali ya kisiasa ya Lowassa pale Bungeni.

Tunajifunza nini kwenye huu msiba hususan kauli za walioenda kuomboleza?
Sasa kama hakuhusika kwa nini wamtaje? Binadamu wa Tanzania tunapenda kuishi kinafki. Halafu wengi we assume tutadumu kwenye madaraka au nyakati za neema siku zote.
 
Wakati wa kutoa neno la shukrani, wanafamilia wawili wa Hayati Lowassa ambao ni Richard last born na Fredrick first born walisimama kutoa shukrani zao kwa waliohusika kushikamana na familia kuanzia ugonjwa hadi kukamilisha shughuli za mazishi ya mpendwa wao.

Katika neno la shukrani, waliishukuru serikali kwa kusimama nao muda wote kwenye kumuuguza na hata kumuenzi baba yao kwenye mazishi ya Kitaifa.

Pia waliwashukuru watu binafsi zikiwemo taasisi za kidini, madaktari na hata juhudi binafsi za Rais kuhakikisha Lowassa anapata kila msaada unaohitajika ikiwemo faraja.

Lakini kwenye shukrani zote, hakuna mahala ambapo Kikwete ama mwanafamilia yake kutajwa kuwa karibu na familia nyakati za kumuuguza baba yao kipenzi.

Tulimsikia mhe. Kikwete akizungumza pale Masaki alipokwenda kusaini daftari la maombolezo akisema, urafiki na ukaribu wao ulidumu hata baada ya ajali ya kisiasa ya Lowassa pale Bungeni.

Tunajifunza nini kwenye huu msiba hususan kauli za walioenda kuomboleza?
Unafiki mwisho daraja la Wami. Wamasai hawana mbambamba. JK amepata anachostahili
 
Nahisi mzee Kikwete alilidanganya Taifa kuwa walikuwa wamoja hata baada ya kujiuzulu kwa Lowassa.

Richmond deal la mtu mkubwa sana. Angalia kijana wake mtiifu alivyofanikiwa kumchomeka Nishati na alichokifanya
Hivi hii Richmond haiwezi kuwa na maana ya Richard? Huyu last born?
 
Kikwete alikuwa MTU fair sana - kwa mhemuko wa spika na bunge wakati huo kama si busara za JK angejiuzulu na kuswekwa ndani.

Lkn hata iweje JK alimulinda sana EL
 
Kikwete alimjua Lowasa kuliko wewe... pengine aliliepusha taifa na madhira na madhaifu ya marehemu. God knows
Wengi tusilolojua faili la mtumishi wa umma linamfuata kila anapo fany kz wano jua ukwali wa utendaji kazi wk na uzelendo wk kwa nch ni taasis alizo fny kazi hususan viongoz wenzk tuheshim taasis alizopita maamuz waliyo fnya huu upuuz wa kuficha uovo kupitia ukanda ukabila na udini hauna mstakabali mzuri kwa maendeleo ya nch
 
Back
Top Bottom