Familia ya marehemu Joe Mutaboyerwa yavamiwa. Mama na watoto wawili wauawa

Wajumbe wamegomea hii habari,wanataka wapewe kuanzia matandu mpaka ukoko.
 
Mkuu wajane wengi wenye vihela/hela wanatoka na viserengeti boy hadi aibu. Yaan siku hizi ni kama fasheni, wanataka kusuguliwa na vijana, wanadai wazee wenzao hawana nguvu.

Kazi iendelee
 
Natamani kukielewa hiki kisa.
Huyo Joe ni nani? Boyfriend Wa nani amehusika? Mlinzi je?

Anyway, poleni wafiwa.
Mimi bado sijajua marehemu Joe alikuwa PF hapa tz au alikuwa raia tu wa kawaida? Pili mauaji yametokea lini hadi watu wakadhulumiana na mmoja kukisanua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…