Erick Kalemela
R I P
- Nov 19, 2017
- 815
- 1,023
Aisee! pole sana kwa wafiwa.
Tujitahidi kuajiri watu tunaowaelewa vizuri
Duuuu! Duniani kuna ujinga mwingi mnoSemaga hivi wako wakaka kazi yao kuwa smart na kwa siku anasalimia wamakankaka 10 anakumwagia misifa kama umenit naye sokoni anakuomba akusindikize had kwa gar...ss kama una stress za kwako unahis anajua kucare unajikuta unampa namba..had saa7 usk anakubembeleza tu bas unahis wewe ndo wewe..mxiew
Sahihi mkuuRoho ya mtu ni kichaka
Ni ngumu kumjua mwadamu
Kikubwa ni kuomba Mungu tu.
Wamejaa tele mjini wakaka wa hvyo! Tele!Duuuu! Duniani kuna ujinga mwingi mno
Huko kwenye magroup wanaambiana upuuzi tu, nilishika simu ya wife nikakuta group eti mama mijengo vs michepuko nikasema kimoyomoyo "fakin"Muwe mnaelemishana huko kwenye magrupu yenu mkuu. Wengi wakiachiwa mali wanafilisika sababu ya kuendekeza viserenget boy. Tunawaona wengi tu huku mtaan wanayoyafanya
Wanawake bhana!! Mume kafariki juzi tu keshapata HAWARA hadi anajua nyumbani kwake na hela zilipo!!!! Huyo hawara anayepajua home mume kafa juzi tu lazima alikuwepo kabla. Mjane anaishi mwenyeweee na wanawe tu very selfish utakuta hapo wakwe, mawifi na mashemeji aliwakatia laini wasiguse urithi alioachiwa akaamini mlinzi na kibenten.. Matokeo yake watoto malaika wanauwawa very sad!!!Mume kafariki akamuachia pesa nyingi maana alikuwaga ana contract na Airtel ya kusupply mafuta kwenye minara na deals nzito kibao, yeye akaona atafute kibenten wa kumsugia haya ndio madhara yake.
Mama mijengo ikimaanisha nini?Huko kwenye magroup wanaambiana upuuzi tu, nilishika simu ya wife nikakuta group eti mama mijengo vs michepuko nikasema kimoyomoyo "fakin"
Inauma mno!
Sina hakika kama kilichoelezwa kuwa chanzo cha msaidizi wa ndani kuwaua hawa watu kama ni kweli!!
Kwa wanaoajiri wasaidizi wa ndani nje na kuwafuatilia/kuwajua vyema historia za Maisha yao ni vyema pia TUKAWA TREAT VIZURI, KUNA MALALAMIKO MENGI YA WAFANYAKAZI WA NDANI KUNYANYASWA NA KUONEWA, HUWEZI JUA NINI KILITUKIA. WENGINE WANAAJIRI WATU HOVYO HOVYO BILA KUJUA HISTORY ZAO VIZURI, KUNA RAFIKI YANGU ALIAJIRI MTU KUMBE ALIKUWA NA MATATIZO YA AKILI JUST IMAGINE MTU WA NAMNA HII UNAFIKIRI HAWEZI KUFANYA VITENDO KAMA HIVI.?
Pole Sana kwa wanafamilia na watu wa karibu, sijajua baba and familia alikuwepo au vipi maana taarifa zake na hazijawekwa sawa.
May their souls rest in eternal life!!
Vijana wengi wanapenda kitonga kuna kisa kama hiki kilitokea mbezi beach miaka 5 iliyopita mama mrembo aliuliwa na boy friendDada wawatu unamharakisha na utamu wake bado tunauhitaji....fuckin huyu jamaa...
Angemfanya matusi vizuri mbona angecheua mpunga kilaini kabisa....lakini kwanini mtoto wakiume upewe hela kifalafala...
Mauaji 09/06/2021Mimi bado sijajua marehemu Joe alikuwa PF hapa tz au alikuwa raia tu wa kawaida? Pili mauaji yametokea lini hadi watu wakadhulumiana na mmoja kukisanua
siyo vijana wote mkuu, mimi ni kijana lakini ningepata nafasi ya jamaa nisingefanya kama alivyofanyaNi tatizo la wanawake Aged kupenda vijana kitu hawaelewi vijana wanatumia makalio kufikiri huyo mrembo angekuwa anatoka na mtu mzima mwenzie mwenye familia yasinge mkuta
[emoji1550][emoji1550][emoji1550][emoji1550]Naanza kuamini, umelewa...
Hii habari ni serious case Ila inaripotiwa kama ajali ya Boda bodaKijana aitwae Shadrak Kapanga anashikiliwa na Jeshi la polisi kwa tuhuma za Mauaji ya Bosi wake pamoja na wanae wawili kwa madai ya kugombezwa mara kwa mara,
Tukio hilo lilitokea Tarehe 9/6/2021 maeneo ya Masaki Dar es salaam.
Kamanda wa polisi kanda maalum ya Dar es salaam Muliro Jumanne amethibitisha kutokea kwa tukio hili.
Chanzo:ITVView attachment 1816265