Familia ya Membe yamkana aliyejiita daktari wake, yaapa kumpeleka mahakamani

Hapo wamepata majibu sahihi ya kifo cha baba yao, wamepanda hasira kwanini alisema uongo inaonekana nayeye alikua miongoni.

Yule kwanza ni kujua , kweli ni Daktare bingwa ? KWELI alikuwa dr wa membe ??


Allilenga nini Kukimbilia kuongea na waandishi kuwatuliza wananchi kuwahakikishia ni Kifo cha Kawaida ? Je alitumwa hata kama ni na kikao cha Marafiki na Ndugu dar au hata mkewe?
 
Msiba wa kiafrika haukosi maneno
 
Familia inasema hawamjui ,Je kwahiyo daktari ni mmoja wa wasiojulikana🤔.....
Je aliyefariki naye anauhusiano wowote na wasiojulikana?

Bwana ametoa,Bwana ametwaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…