Familia ya mpenzi wangu hawataki kunielewa

Familia ya mpenzi wangu hawataki kunielewa

Street College

Senior Member
Joined
Jun 1, 2012
Posts
147
Reaction score
422
Iko hivi, wiki iliyopita baba Mkwe aliniomba nimkopeshe kiasi fulani cha pesa. Hela aliyoitaja ni ndefu kidogo, hivyo nikamwambia kwa muda ule sina ila ngoja tuone jumapili hii naweza kumsaidia kiasi gani.

Sasa leo wakati naenda kanisani alinipigia simu ila sikuisikia. Na kwa bahati mbaya simu ilijipokea ikiwa mfukoni ila Mimi sikuwa na taarifa. Mida ya tano wakati natoka kanisani, nilivyoshika simu yangu nakutana na missed calls toka kwa mpenzi wangu (bado hatujafunga ndoa) na msg kadhaa toka kwake. Msg moja ilisema "Ndio tabia gani hiyo uliyomfanyia baba? Ungesema hutaki kuliko kumfanyia hivyo"

Kwavile sikumuelewa, ikabidi nimpigie simu. Maelezo aliyonipa ni kwamba Baba yake alinipigia simu kunikumbushia ahadi yetu, Mimi nilivyopokea nikamjambia kisha nikakata simu. Nikakataa kwamba sijaongea na baba yake leo. Mpenzi nae akaona kama namdharau, akanikatia simu. Nilipoangalia kwenye call logs ni kweli nikakuta kuna simu iliingia toka kwa baba Mkwe na tuliongea kwa sekunde kumi. Inaonekana simu ilijipokea bila Mimi kujua, na inawezekana muda niliojamba ndio muda ambao ilijipokea ila sikumjambia makusudi.

Baba Mkwe hataki kabisa kupokea simu zangu, binti yake umeamua kununa. Wote hawanielewi.
 
Iko hivi, wiki iliyopita baba Mkwe aliniomba nimkopeshe kiasi fulani cha pesa. Hela aliyoitaja ni ndefu kidogo, hivyo nikamwambia kwa muda ule sina ila ngoja tuone jumapili hii naweza kumsaidia kiasi gani.

Sasa leo wakati naenda kanisani alinipigia simu ila sikuisikia. Na kwa bahati mbaya simu ilijipokea ikiwa mfukoni ila Mimi sikuwa na taarifa. Mida ya tano wakati natoka kanisani, nilivyoshika simu yangu nakutana na missed calls toka kwa mpenzi wangu (bado hatujafunga ndoa) na msg kadhaa toka kwake. Msg moja ilisema "Ndio tabia gani hiyo uliyomfanyia baba? Ungesema hutaki kuliko kumfanyia hivyo"

Kwavile sikumuelewa, ikabidi nimpigie simu. Maelezo aliyonipa ni kwamba Baba yake alinipigia simu kunikumbushia ahadi yetu, Mimi nilivyopokea nikamjambia kisha nikakata simu. Nikakataa kwamba sijaongea na baba yake leo. Mpenzi nae akaona kama namdharau, akanikatia simu. Nilipoangalia kwenye call logs ni kweli nikakuta kuna simu iliingia toka kwa baba Mkwe na tuliongea kwa sekunde kumi. Inaonekana simu ilijipokea bila Mimi kujua, na inawezekana muda niliojamba ndio muda ambao ilijipokea ila sikumjambia makusudi.

Baba Mkwe hataki kabisa kupokea simu zangu, binti yake umeamua kununa. Wote hawanielewi.
Kujamba Tuuu, Kutuma hela aaahh!!
🤣🤣🤣...Japo bado natafakari ulijambaje kwa sauti kubwa hivyo mpaka ukazua taharuki.
Nakupa Pole, nakusihi uende ukachutame uwaombe radhi yatakwisha.
 
Iko hivi, wiki iliyopita baba Mkwe aliniomba nimkopeshe kiasi fulani cha pesa. Hela aliyoitaja ni ndefu kidogo, hivyo nikamwambia kwa muda ule sina ila ngoja tuone jumapili hii naweza kumsaidia kiasi gani.

Sasa leo wakati naenda kanisani alinipigia simu ila sikuisikia. Na kwa bahati mbaya simu ilijipokea ikiwa mfukoni ila Mimi sikuwa na taarifa. Mida ya tano wakati natoka kanisani, nilivyoshika simu yangu nakutana na missed calls toka kwa mpenzi wangu (bado hatujafunga ndoa) na msg kadhaa toka kwake. Msg moja ilisema "Ndio tabia gani hiyo uliyomfanyia baba? Ungesema hutaki kuliko kumfanyia hivyo"

Kwavile sikumuelewa, ikabidi nimpigie simu. Maelezo aliyonipa ni kwamba Baba yake alinipigia simu kunikumbushia ahadi yetu, Mimi nilivyopokea nikamjambia kisha nikakata simu. Nikakataa kwamba sijaongea na baba yake leo. Mpenzi nae akaona kama namdharau, akanikatia simu. Nilipoangalia kwenye call logs ni kweli nikakuta kuna simu iliingia toka kwa baba Mkwe na tuliongea kwa sekunde kumi. Inaonekana simu ilijipokea bila Mimi kujua, na inawezekana muda niliojamba ndio muda ambao ilijipokea ila sikumjambia makusudi.

Baba Mkwe hataki kabisa kupokea simu zangu, binti yake umeamua kununa. Wote hawanielewi.
Kijambo 😂😂😂
Iko hivi, wiki iliyopita baba Mkwe aliniomba nimkopeshe kiasi fulani cha pesa. Hela aliyoitaja ni ndefu kidogo, hivyo nikamwambia kwa muda ule sina ila ngoja tuone jumapili hii naweza kumsaidia kiasi gani.

Sasa leo wakati naenda kanisani alinipigia simu ila sikuisikia. Na kwa bahati mbaya simu ilijipokea ikiwa mfukoni ila Mimi sikuwa na taarifa. Mida ya tano wakati natoka kanisani, nilivyoshika simu yangu nakutana na missed calls toka kwa mpenzi wangu (bado hatujafunga ndoa) na msg kadhaa toka kwake. Msg moja ilisema "Ndio tabia gani hiyo uliyomfanyia baba? Ungesema hutaki kuliko kumfanyia hivyo"

Kwavile sikumuelewa, ikabidi nimpigie simu. Maelezo aliyonipa ni kwamba Baba yake alinipigia simu kunikumbushia ahadi yetu, Mimi nilivyopokea nikamjambia kisha nikakata simu. Nikakataa kwamba sijaongea na baba yake leo. Mpenzi nae akaona kama namdharau, akanikatia simu. Nilipoangalia kwenye call logs ni kweli nikakuta kuna simu iliingia toka kwa baba Mkwe na tuliongea kwa sekunde kumi. Inaonekana simu ilijipokea bila Mimi kujua, na inawezekana muda niliojamba ndio muda ambao ilijipokea ila sikumjambia makusudi.

Baba Mkwe hataki kabisa kupokea simu zangu, binti yake umeamua kununa. Wote hawanielewi.
Hapo kwenye kijambo 😂 😂 😂
 
Back
Top Bottom