Familia ya msichana mweusi wa Ireland aliyebaguliwa yasema msamaha 'hauna maana'

Soma post #18
Wewe ndiye uliyeanza kujitia wazimu post #7 huyo mwenzako yeye ameunga trailer tu ulipoishia yaani mmekutana wote pipa na mfuniko.

Hao wapumbavu hata wakitukanwa wewe Mndengereko upo hapo Kilwa Masoko inakuhusu nini mbona unaumia?mimi mweusi mwenzako nikikuletea ubaguzi wowote ndiyo ulalamike hao ngozi nyeupe wewe kwao ni kituko tu take it from me!
 
Ukweli ni kuwa Tunaweza kuwa wamoja katika kuona maovu mengi ya hawa kenge weupe dhidi yetu, Ila likishakuja swala la Ukristo na Uislamu ninyi watu wa dini mnageuka walevi na vipofu kabisa juu yao.
Mko radhi kuuza Umma kwa gharama ya Imani yako, NINYI NI TATIZO KUBWA PIA.
 
Haya maneno waambie wagalatia wenzio wanaoona mzungu ndio kila kitu na mwarabu ndie mbaguzi
Wote ni kenge tu. Na hata sisi ni wabaguzi na inapaswa kuwa hivyo, maana milele hakuna kinachoweza kubadilika.
Upumbavu ni kuishi na adui kama rafiki, ni ujinga, sio muarabu wala mzungu.
 
ni washenzi
 
Tuendelee kubaguliwa hadi akili ziturudi kichwani
 
Mgalatia naona povu limekutoka mpaka umesahau kua hawa wazungu hua mnawaona kama miungu watu,usijisahau sana,comment zako nyingi hua zimekaa kiudini halafu hapa unajaribu kujifanya mtakatifu.
 
kama hauna maana si warudi kwao kwenye Pesa Madafu....watu wametengeneza nchi zao na kukuza tamaduni zao ....unasema msamaha hauna maana....hata sisi weusi ni wabaguzi...unakuta mtu anamwita mtu kwa kabila lake we masai..we mchaga...we mmeru ni ubaguzi...ina maana ikitokea fursa ya kupendelea utapendelea na kubagua maana ushamuona huyu flani (jamii flani) ....
 
Ubaguzi ni tabia ya mtu binafisi sio tabia ya jamii flani
Mh hapana aisee ,Kuna ubaguzi mwingine ni jami8 fulani..Kwa mfano Kuna dini mafundisho yake yanawabagua wasio wa Dini Yao....Kuna demu aliwahi niambia amefundishwa kuwa akizini n wa Dini yake msamaha wake ni kwenda kuoga bahari ya pili.Lakini akizini nakafiri Msamaha wake ni mpaka avuke Bahari 7 Ndio akaoge🤭🤭🤭😂😂😂
 
Haya maneno waambie wagalatia wenzio wanaoona mzungu ndio kila kitu na mwarabu ndie mbaguzi
We jamaa akili zako Bwana,sasa mwarabu ndo unaona ni mtu??

Hao wote ni wabaguzi,wazungu,waarabu,wachina.

Acha kushobokea waarabu kisa ni waislam wenzako wakati huo huo wanakubagua na kukuchinja juu
 
Huu Uzi ushaingiwa na chuki za kidini, tena tunabishana sisi Kwa sisi na hapo ndo linapokuja swala la sisi watu WEUSI kuonekana ni hayawani tu tusio na lamaana 🥲🥲🥲🥲

Mimi sikatai hizo dini kwasababu zimesistiza kitu muhimu upendo ambacho atawasio na dini hawawezi Pinga upendo lakini zimeonya kuwa tusiwe mabwege kupitiliza.Haya tushajua Cha muhimu ni upendo je hao walituletea hizo dini wanahuishi huo upendo kikamilifu

Mtu mnajiona kabisa kuwa nyie ni WEUSI afu Bado mnaacha kushikamana kisa Kwa kitu cha kusadikika(Imani) ambacho pia kina sisitiza upendo
 
We jamaa akili zako Bwana,sasa mwarabu ndo unaona ni mtu??

Hao wote ni wabaguzi,wazungu,waarabu,wachina.

Acha kushobokea waarabu kisa ni waislam wenzako wakati huo huo wanakubagua na kukuchinja juu
No! Wapi nimesema mwarabu ndio mtu? Ninachosema huyo mzungu kawaonyesha wagalatia wa tz kuwa hata wazungu sio watu likija suala la rangi, ni wabaguzi kama waarabu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…