Hapo sawa,wazungu nao ni vile vile tu.No! Wapi nimesema mwarabu ndio mtu? Ninachosema huyo mzungu kawaonyesha wagalatia wa tz kuwa hata wazungu sio watu likija suala la rangi, ni wabaguzi kama waarabu
Wazungu hawatakuja kuacha ushenzi wao kamwe!Mama wa msichana mweusi ambaye hakupewa medali katika sherehe ya michezo ya sarakasi nchini Ireland anasema msamaha aliopokea "hauna maana".
Video iliibuka hivi karibuni ikionyesha madai ya ubaguzi wa rangi ya kijana mweusi akipuuzwa na afisa ambaye alikuwa akigawa medali katika hafla iliyofanyika mjini Dublin mwaka jana.
Mama huyo alisema kuwa kutazama tukio.
View attachment 2769782
Hilo wakati huo ilikuwa "tisho".
Taasisi ya michezo ya viungo -Gymnastics Ireland iliomba msamaha "kwa hasira ambayo iliyosababishwa" na tukio hilo.By BBC
Weka videoMama wa msichana mweusi ambaye hakupewa medali katika sherehe ya michezo ya sarakasi nchini Ireland anasema msamaha aliopokea "hauna maana".
Video iliibuka hivi karibuni ikionyesha madai ya ubaguzi wa rangi ya kijana mweusi akipuuzwa na afisa ambaye alikuwa akigawa medali katika hafla iliyofanyika mjini Dublin mwaka jana.
Mama huyo alisema kuwa kutazama tukio.
View attachment 2769782
Hilo wakati huo ilikuwa "tisho".
Taasisi ya michezo ya viungo -Gymnastics Ireland iliomba msamaha "kwa hasira ambayo iliyosababishwa" na tukio hilo.By BBC
Huyo demu alishaisoma akili yako akakuona kua kipa katoka ndio maana akacheza na akili yako kwa kukuongopea na wewe ukameza tu.Mh hapana aisee ,Kuna ubaguzi mwingine ni jami8 fulani..Kwa mfano Kuna dini mafundisho yake yanawabagua wasio wa Dini Yao....Kuna demu aliwahi niambia amefundishwa kuwa akizini n wa Dini yake msamaha wake ni kwenda kuoga bahari ya pili.Lakini akizini nakafiri Msamaha wake ni mpaka avuke Bahari 7 Ndio akaoge🤭🤭🤭😂😂😂
Mgaratia umemind🤣Kila kitu ukikibeba kwa mgongo na mtazamo wa kidini unakuwa huna tofauti na maiti isiyojitambua,maana kila mtu ni maiti tofauti wewe umekufa ukiwa unapumua.
Unadhani wewe kuna anaekupenda zaidi ya mama yako aliyekuzaa na wanao?huyo mkeo unaelala nae usiku huu kesho anaweza akakubagua akakuona kenge tu,awe mwarabu,mchina,mpakistan muhindi au mzungu stil kwake wewe ni nyani tu as long as una jigozi jeusi kama mkaa.pigania umoja wako wewe na weusi wenzako hao weupe wanakuona cake kwa sababu wewe ni asset kwao,kwanza ukishakosa akili ni asset mojawapo kwa weupe situation tunayoipitia leo hapa Tanzania.
Mwenyewe niliambiwa hiyo kaka na Malaya mmoja anaejitanda mchana.Mh hapana aisee ,Kuna ubaguzi mwingine ni jami8 fulani..Kwa mfano Kuna dini mafundisho yake yanawabagua wasio wa Dini Yao....Kuna demu aliwahi niambia amefundishwa kuwa akizini n wa Dini yake msamaha wake ni kwenda kuoga bahari ya pili.Lakini akizini nakafiri Msamaha wake ni mpaka avuke Bahari 7 Ndio akaoge🤭🤭🤭😂😂😂
😃😁😄😀😅😄😄😃😁😄😀Subiri wagalatia waje wakupe sifa nzuri za wazungu
Mtu mweupe ni mshenzi sana bahati mbaya sisi weusi ndiyo huwa tunajipendekeza kwao.Hawa jamaa hawatupendi kabisa yaani kuishi na sisi huwa wanajikaza tu, kwa masilahi yao.
Ni kweli, ila kwa akili za wapuuzi puuzi wanaotuwakilisha huko majuu unategemea hata wewe ungekua ngozi nyeupe usingetudharau?? Wametuacha tujitawale miaka zaidi ya 70 iliyopita lakini hadi leo bado tunaomba msaada wa mbolea na nafaka kutoka kwenye taifa linalopigana vita. Hata hivyo Sikufurahishwa na kitendo alichofanyiwa huyo binti ila ndio hivyo hakuna namna.Kimsingi ngozi nyeusi tunadharaurika sana.
Pia hatujawahi kuvumbua chochote.Ni kweli, pia tunawashobokea sana wazungu.
Mtanikumbuka.Mtu mweupe ni mshenzi sana bahati mbaya sisi weusi ndiyo huwa tunajipendekeza kwao.
Viongozi wetu wakionyesha nia ya kujitenga nao tunaanza kuwakatisha tamaa kwamba hatuwezi bila wao lakini ukweli kama tukiamua tunaweza tukapiga hatua japo kwa kuchelewa ila tutafika tu.
Wewe natafuta namna niwe naku-ignore tu maana kupitia ujinga uliorithishwa unaamini mtu kuandika kitu fulani kumuhusu fulani unayedhani mnafanana itikadi kwake ni chuki kumbe yote ni namna ya ku-refresh uelewa wetu.Mgalatia naona povu limekutoka mpaka umesahau kua hawa wazungu hua mnawaona kama miungu watu,usijisahau sana,comment zako nyingi hua zimekaa kiudini halafu hapa unajaribu kujifanya mtakatifu.
Subiri wagalatia waje wakupe sifa nzuri za wazungu
U can't run from yourself,umeandika gazeti ila huwezi kuubadili ukweli,punguza unafiki,Wewe natafuta namna niwe naku-ignore tu maana kupitia ujinga uliorithishwa unaamini mtu kuandika kitu fulani kumuhusu fulani unayedhani mnafanana itikadi kwake ni chuki kumbe yote ni namna ya ku-refresh uelewa wetu.
Nadhani na naamini nikikupa kazi week hii yote utafute ktk post zangu hapa Jamiiforums unipandishie link hapa ya post yangu hata moja,just one ambayo nimeegemea kumshangilia mtu mweupe huwezi kuileta,hao watu ni tatizo nipo Kariakoo hapa mwaka wa 24 naishi nao awe na dini asiwe na dini wewe mweusi kama humchangii kitu ktk circle yake wewe ni nyani kama wale wanaoishi msituni.
Toa kichwa kwenye box ulimokificha waza nje ya dini utapata faida zaidi.
Upo sahihi sana,sikupingi.Ukweli ni kuwa Tunaweza kuwa wamoja katika kuona maovu mengi ya hawa kenge weupe dhidi yetu, Ila likishakuja swala la Ukristo na Uislamu ninyi watu wa dini mnageuka walevi na vipofu kabisa juu yao.
Mko radhi kuuza Umma kwa gharama ya Imani yako, NINYI NI TATIZO KUBWA PIA.
Panua ufahamu huo.Mgaratia umemind🤣