Familia yake wanataka kunitolea mahari

iwe itavyokua Mazaaa unaonyesha Moyo wako unashinwa ugawa,yani umegotea kati kati

Jamaa mliezaa nae mwa mwanzo (unampenda) bila kujali kashaoa,na Jamaa ulienae sasa

nae unampenda,Yani kuna love uko nayo kwa mwanaume wako wa kwanza ambayo ni natural one

hiyo haina mauza uza wala kuigiza naiona yani ipo Paleee,SHIDA kuu namwonea huruma the Guy "kama umuitavyo"

kujiingiza kwa mtu mwenye connection na upande wa pili,yani (wa mume) Jamaaa alibugi na ataja juta maisha ake yotee.

Ki ufupi huwezi niambia unampenda mwanaume wako wa sasa,hata kama unampenda bado hajakuta percent za upendo uliona kwa Mzazi mwenzio.

issue yako iko very clear kwa Mwanamke mwenye misimamo yake na asie taka shobo na mzazi mwenzie,iko open kabisa na ni rahisi.

ila kwako inaonekana ngumu kutokana Uko njia panda,huku una "the guy" huku unamtaka Mume wako wa mwanzo,Patamu hapooo...

Makosa uliyakosea mwenyewe! Saivi Mimi nikisema nikushauri ntakwambia ACHANA na watoto fata maisha ako,endelea wahudumia watoto kama ulivyokua ukifanya kipindi umeyumba. KWISHA.

uki complicate zaidi,nakusemea kwa mke wa mzazi mwenzio maana unaonyesha una hamu ya hiyo HIMAYA bado,aje akucharue ufungue thread ingine unyoooshe maelezo.
 
HAKUNA MWANAUME ANAEPENDA KULEA WATOTO WA MWANAUME MWENZIE HUSUSANI AKIJUA KABISA MWANAUME MWENZIE YUKO HAI ..YAAN MWANAUME HUYO HAYUPO 🔨

Cases nyingi za Child abuse zinafanywa na Baba wa Kambo..don’t dare I repeat don’t dare
Nakazia ✍️✍️✍️
Mwenye sikio na asikie
 
Kwa upande wangu itaniharibia,we mtu wangu akijua nimetolewa mahari na baby dady atajisikiaje?
Tumia akili za kawaida tu ,kwa vijana wa siku hizi hakuna aliye tayari kulea watoto wasio wake,,,

Kubali mahari uishi na aliyekuzalisha watoto.Ukishupaza shingo utarudi kuandika Uzi humu.
 
Hahahah hana jeuri ya kunicharua,watoto kawakuta na itabaki hivyo,so relax🙏
 
Ukitaka kuwachukua hao watoto unawachukua tu, ni wewe hujawa mkali...
 
Kama familia inakukubali aisee usikatae
 
Yani wewe ndo umemuelewa vizuri huyu dada,ila hakuna mtihani mgumu kama kulazimisha kumchukia mtu uliyempenda kwa dhati,aisee usiombe ikukute hii kitu
 
Ila titabishana sana hapa na kushauri mengi lkn kuachana kunampa maumivu zaidi mwanamke(wale wanaojitambua lakini) hebu fikiria,let say huyu dada alikuwa anampenda sana mumewe Hadi akamzalia watoto2,then akamfumania,akajilazimisha kuachana naye ilihali bado anampenda,Sasa kupooza Yale maumivu kapata "guy wake" anataka angalau apooze machungu,lkini shida inakuja tena kwa watoto wake,ukweli ni kwamba hakuna mwanamke anyechukia mtoto wake,na nafkiri walivyoachana hao watoto ndo walikuwa wanampa faraja.

Sasa watoto wakichukuliwa tena akibaki na guy wake mpya bado ni maumivu kwake,fikiria kampoteza mtu aliyempenda,na pili watoto wake ambao ni faraja kwake amekaa mbali nao,imagine how it pain
 
Nilijua wachangiaji wa Calibre yako hawawezi kosekana🤣🤣relax it's all about my boys,kizungu zaidi 🙏
 
Yani wewe ndo umemuelewa vizuri huyu dada,ila hakuna mtihani mgumu kama kulazimisha kumchukia mtu uliyempenda kwa dhati,aisee usiombe ikukute hii kitu
I have never hated the guy🙏and its not about him mamii,🤣relax
 
Wote wawili ni wa kiume
 
Ohh si wataniona Sina shukran baada ya kunipiga tafu kwa muda mrefu?manake maza yule kila nikijadil naye Hilo suala ni Kama haliafik ingawa hajibu direct

Wewe unafikiria njia ipi ya kidiplomasia ikiwa hawataki kukuachia watoto?
 
Yani unataka ukaishi na watoto wa jamaa kwa mwanaume mwingine ilihali jamaa yupo hai.
Akili za wapi hizo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…