Familia yake wanataka kunitolea mahari

Familia yake wanataka kunitolea mahari

Mimi niliamua kukaa pembeni baada ya kumfumania na kugundua hatuna malengo /ndoto sawa za maisha.
Basi ana haki ya kukaa na watoto wake,huenda alikuwa na nia ya kuomba msamaha na Wewe hukumruhusu,pengine mngeongea na kuyamaliza mkaendelea kama familia,ila kwa sababu we ulifanya maamuzi ya haraka ndo na yy akaamua kuoa. Hapo inabidi uchague Moja kuwaacha watoto walelewe na bibi yao ili uolewe au uwachukue uishi nao pasipo uwepo wa huyu bwana mpya.
 
Huyo jamaa uliye na malengo nae ni mimi...na nnasikitika sana kuona unavyoshauriwa kuwaacha watoto kwaajili yangu, wakati mimi nina mpango wa kupiga na kusepa.
Hizi ishu za ntakuoa nakupiga fix tu ili uendelee kuniletea kipochi manyoya.
Wewe ukichukua watoto wako mimi sikuoi na usipowachukua mimi sikuoi.
Uamuzi ni juu yako.

(ila ushauri wangu usiwatelekeze kwa baba wakati mimi sina malengo na wewe)
 
Dah wanawake bhana ni wabinafsi, eti wamemzuia kuchukua watoto wake, au uliwapata na mchepuko, siyo wa huyo jamaa, ila ulimpa akupige tafu kwenye malezi.

Hii ni kwa wote kwanini usifunge ndoa kwanza ndiyo mpate watoto na siyo watoto kwanza then ndoa.
Hapana watoto ni wake asilimia 💯 hilo halina mjadala.
 
Huyo jamaa uliye na malengo nae ni mimi...na nnasikitika sana kuona unavyoshauriwa kuwaacha watoto kwaajili yangu, wakati mimi nina mpango wa kupiga na kusepa.
Hizi ishu za ntakuoa nakupiga fix tu ili uendelee kuniletea kipochi manyoya.
Wewe ukichukua watoto wako mimi sikuoi na usipowachukua mimi sikuoi.
Uamuzi ni juu yako.

(ila ushauri wangu usiwatelekeze kwa baba wakati mimi sina malengo na wewe)
Hahah siyo wewe🤔
 
Watoto kama hawwpata adha zozote basi acha wake kwa bibi yao. Usipende kuwazoesha kuwauliza eti unataka tuondoke tukakae wote? Watoto lazima watakujibu tu kuwa ndiyo, wewe ni mama yao na hakuna asiyetaka kukaa karibu na mama yake .

Mahali salama zaidi kwa wanao ni kwako kama hutaolewa. Ila kama una nia ya kuja kuishi na mwanaume mwingine basi acha watoto wakue na kuishi huko kwa bibi yao.
 
Je umeshazungumza na mzazi mwezio kuhisiana na hilo swala la ndoa?
Watoto wanahitaji malezi ya pande zote mbili.
Nini msimamo wako?
Simamia msimamo wako ambao unaona ni sahihi,sisi tuko na wewe.
Furaha yako kwanza.
Mapenzi hayashauriwi.
Yeye sijaongea naye lolote,kuhusu mahusiano yangu mengine,manake Mimi Nina mawasiliano na wazazi wake tu(baba na mama yake)ndio huwa tunakonekti katika malezi na mahitaj yote ya watoto.Lakini hata wazaz wake sijawaeleza lolote kuhusiana na mahusiano yangu mapya.Mawasiliano yangu na wao ni strictly kuhusu watoto tu.
 
Ndiyo concern yangu kubwa,kuishi na kulea wanangu on daily basis,hivi vya kutuma hela na kuwatembelea once in a while sijaviafiki🙏kwanza hii situation imenifanya nione kama ndio naanza maisha ya kujitegemea,of which is not
Ni bora kama unataka kulea watoto wako ukae nao mwenyewe na si kwa baba wa kambo ili hali baba yao yupo. Halafu watoto ni wadogo sana , kuwachanganya na baba mwingine sio haki kabisa.
 
Ni bora kama unataka kulea watoto wako ukae nao mwenyewe na si kwa baba wa kambo ili hali baba yao yupo. Halafu watoto ni wadogo sana , kuwachanganya na baba mwingine sio haki kabisa.
Ndugu yangu kwahiyo nibaki singo for the rest of my life?🤣🤣ndugu mie bado kijana,baba yao yupo ila anafamilia yake tayari,so hakuna tabu katika hilo.maisha lazima yaendelee.
 
Ndugu yangu kwahiyo nibaki singo for the rest of my life?🤣🤣ndugu mie bado kijana,baba yao yupo ila anafamilia yake tayari,so hakuna tabu katika hilo.maisha lazima yaendelee.
Ahaha bira umesema ukweli. De libolo muhimu ila nakwambia hivi ukiwachukua hao watoto urudi kwa huyo jamaa yako mapenzi lazima yayumbe 🤣🤣🤣 unless nae kama ni single father
 
Ndugu yangu kwahiyo nibaki singo for the rest of my life?🤣🤣ndugu mie bado kijana,baba yao yupo ila anafamilia yake tayari,so hakuna tabu katika hilo.maisha lazima yaendelee.
Ndugu yangu kwahiyo nibaki singo for the rest of my life?🤣🤣ndugu mie bado kijana,baba yao yupo ila anafamilia yake tayari,so hakuna tabu katika hilo.maisha lazima yaendelee.
Uamuzi ni wako, ila nakushauri tu usije ukaharibu maisha ya wanao.
 
Ahaha bira umesema ukweli. De libolo muhimu ila nakwambia hivi ukiwachukua hao watoto urudi kwa huyo jamaa yako mapenzi lazima yayumbe 🤣🤣🤣 unless nae kama ni single father
Anafanya mchezo nini, hakutakuwa na mapenzi ya kweli labda baba yao kama angekuwa kafa
 
Ongea na mtu wako mshauriane. Ukifanya maamuzi mwenyewe akijua itakua ugomvi mara 3.
 
Anafanya mchezo nini, hakutakuwa na mapenzi ya kweli labda baba yao kama angekuwa kafa
Kabisaa....atashangaa na roho yake. Hapo jamaa kwa sasa sii anapata mbususu bila kugharamia mambo ya watoto na vile mrembo yupo alone so full macare. Ngoja waje watoto munda wa kugegedana utapungua na pia hamna tena pumbuz kuoshwa kwenye kidosa😂😂😂 jamaa lazima atafute mrembo mwengine
 
Ahaha bira umesema ukweli. De libolo muhimu ila nakwambia hivi ukiwachukua hao watoto urudi kwa huyo jamaa yako mapenzi lazima yayumbe 🤣🤣🤣 unless nae kama ni single father
🤣🤣Yap ni singo father tumekutana tuko na situation sawa.
 
Kabisaa....atashangaa na roho yake. Hapo jamaa kwa sasa sii anapata mbususu bila kugharamia mambo ya watoto na vile mrembo yupo alone so full macare. Ngoja waje watoto munda wa kugegedana utapungua na pia hamna tena pumbuz kuoshwa kwenye kidosa😂😂😂 jamaa lazima atafute mrembo mwengine
Eti umletee simba mwingine wztoto si wake na dume lenye mbegu lipo, loh lazima awale hao watoto.
 
Ongea na mtu wako mshauriane. Ukifanya maamuzi mwenyewe akijua itakua ugomvi mara 3.
Nishauriane nae kuhusu nini?kuhusu kuchukua watoto?tulikubaliana nikikaa sawa naweza wachukua,Mungu kanisaidia nimekaa sawa sasa,so sidhan kama kutakuwa na ugomvi wowote.
 
Kabisaa....atashangaa na roho yake. Hapo jamaa kwa sasa sii anapata mbususu bila kugharamia mambo ya watoto na vile mrembo yupo alone so full macare. Ngoja waje watoto munda wa kugegedana utapungua na pia hamna tena pumbuz kuoshwa kwenye kidosa😂😂😂 jamaa lazima atafute mrembo mwengine
We mzabzab huwa unawaza mbususu muda wote🤣anajua kuhusu hao wanangu,sio surprise kwake.
 
Hakuna mwanaume akiyekamilika akataka kulea watoto w mwanaume mwingine

Pili kwa sisi waafrica mtoto anachukua ubini wa baba. Kuchanganya family mbili zenye damu na koo tofauti huwa zinaleta shida sana. I have experienced this. .
Umemulezea vizuri,na huu ni ukweli.
 
Back
Top Bottom