Familia yangu imenigomea nisimuoe mpenzi wangu sababu wanahisi nitakuja kuteseka

ombi ilitakiwa apewe na mchumba wake sio mtu mwingine yeyote, kwa sababu hao wengine hawafahamu kitu juu ya mahusiano yao, yaani endapo huyu binti ataolewa na ndoa yake ikawa na shida, yeye hatakuwa na tatizo, tatizo litakuwa kwa mumewe
Huyo hawezi kumlinda. Anaolewa na baba mkwe, mama mkwe, mawifi huenda na majirani.
 
Hapa nyie ndio wenye matatizo halafu na wewe unaonekana kila kitu kina amuliwa na mama yako na wala sio baba yako.

hapa mkeo mtarajiwa alijibu sahihi kabisa yaani ata wewe unatupa mashaka jambo kama hili ni kweli dada yako tena mdogo ndio akaongee kitu kama hichi??

huo uchumba wa miaka mitano unashindwaje kupanga jambo na mwenza wako mpaka huyo dada yako asiyemjua sawa sawa aende kuongea nae hili jambo?


Baba yako yupo hai au kwenye hili kazuiliwa na mama yako asijiingize?

Mshenga yupo wapi kwani?

Jibu hayo maswali machache hapo juu tuweze kukupa mwongozo.

Ila ukweli hakujibiwa jeuri wala vibaya binti katoa jibu sahihi kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kumbe ni tabia ya kinyaki [emoji23][emoji23]
Familia yako inaweza vuruga maisha yako ya ndoa au kuyajenga. Inabidi kuwa na masikio yenye chujio. Ukifuatisha kisa mama au dada kasema basi ni sahihi bila kufanya tafiti lazima utumbukie.

Hongera kwa dada ako aliyekimbia hiyo familia chaaaa
 
Kama hata kuelewa hapa ndo basi tena
 
Case clossed,,,wote tutazunguka weee but final advice n hii

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
[emoji28][emoji28][emoji28] watuache tuenjoy bhn, mi napendaga majibu yako hayanaga huruma, jipu walipasua apo apo.
Ndio nilivyo mie huwa sirembagi😅 utachagua kusuka au kuweka weaving
 
Anakupenda na unampenda inatosha .Mkanye mdogo wako asikuingilie mke nichaguo lako .
 
Hahahahahah yeye ndio kampenda[emoji28] muacheni akomae na ndoa yake jamani!

Ushauri mzuri ila kwa huo unaotolewa hapo ni baada ya mdogo mtu kumsagia kunguni wifi yake[emoji28]
[emoji23]Yuko uko anapambana na ndoa yake. Ata kulalamika huwa anaangali mudi za watu kwanza [emoji28][emoji28].

Kwa kesi ya uyo jamaa, achunguze vizuri kwanza, asikurupuke kusikiliza dada yake au kumsapoti mchumba wake. Hivi huyu si ndo yule was mahali milioni 7?
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] maamuz mengine ni ya kuyachunguza kwanza kabla hujaja kujuta baadae. Unamuacha mke mwsho wa siku unapata gulubembe
 
B
Hahahahahahah kama kaweza kulipa mahari 7M nafikiri hata kumuacha mke inawezekana
 
Shemeji shemeji
Yani ni wazi kabisa, huyo mwanamke ndio anaenda matatizoni haswa! Hio familia kama sio wanyakyusa sijui[emoji28] maana ndio tabia zao kuwawekea wali vipengele..Af wanakomalia ukoo mzima yani hakuna hakuna hapa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
ni kweli atakuja kukutesa 7bu ana hekima katika kuzungumza hivyo ina mfanya akose busara
sasa ukikosa hekima huwezi kuishi na watu vizuri
7bu yeye kwa mujibu wa maelezo yako atkuwa anamuheshimu mtu mmoja pekee wengine anaona vidampa
 
Wanyaki tumetokea wapi tena shemela?[emoji34][emoji34][emoji34]
 
mamako anakupenda zaidi ya huyo demu wako

kama mama kasema hafai ni hafai kweli
si uachane nae
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…