Familia yangu imenigomea nisimuoe mpenzi wangu sababu wanahisi nitakuja kuteseka

Familia yangu imenigomea nisimuoe mpenzi wangu sababu wanahisi nitakuja kuteseka

ombi ilitakiwa apewe na mchumba wake sio mtu mwingine yeyote, kwa sababu hao wengine hawafahamu kitu juu ya mahusiano yao, yaani endapo huyu binti ataolewa na ndoa yake ikawa na shida, yeye hatakuwa na tatizo, tatizo litakuwa kwa mumewe
Huyo hawezi kumlinda. Anaolewa na baba mkwe, mama mkwe, mawifi huenda na majirani.
 
Swala zima ni harusi dogo langu alikuwa anajaribu kuzungumze nae harusi isogezwe mbele kidogo sababu ya changamoto yee akamjibu hilo halimhusu ila nyumbani wazungumze na mshenga ndio atoe taarifa nyumbani basi hapo ndio ikawa ndio sababu nyumbani kumchukia huyu binti
Hapa nyie ndio wenye matatizo halafu na wewe unaonekana kila kitu kina amuliwa na mama yako na wala sio baba yako.

hapa mkeo mtarajiwa alijibu sahihi kabisa yaani ata wewe unatupa mashaka jambo kama hili ni kweli dada yako tena mdogo ndio akaongee kitu kama hichi??

huo uchumba wa miaka mitano unashindwaje kupanga jambo na mwenza wako mpaka huyo dada yako asiyemjua sawa sawa aende kuongea nae hili jambo?


Baba yako yupo hai au kwenye hili kazuiliwa na mama yako asijiingize?

Mshenga yupo wapi kwani?

Jibu hayo maswali machache hapo juu tuweze kukupa mwongozo.

Ila ukweli hakujibiwa jeuri wala vibaya binti katoa jibu sahihi kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hahahahahah hapo tatizo naliona kwenye familia zaidi kuliko kwa mke wa jamaa[emoji28]!

Wanyaki muache mambo yenu haya alaaah!

Ndoa ya sister angu ilienda kwenye safe mode kwa style hio hio...Mtoto wa mjomba kamchokonoa sister muda mrefu tu sister akampa kubwa kaenda kutangaza ukoo mzima kuwa wifi ... kanitukana oneni sms zake.

Jamaa kashikwa maskio na mama yake akaja kumfukuza mke [emoji28] eti aondoke kwake. Matokeo yake kila kukicha anaomba msamaha sasa penzi lilishachacha anaonekana ng’ombe tu!!!
Kumbe ni tabia ya kinyaki [emoji23][emoji23]
Familia yako inaweza vuruga maisha yako ya ndoa au kuyajenga. Inabidi kuwa na masikio yenye chujio. Ukifuatisha kisa mama au dada kasema basi ni sahihi bila kufanya tafiti lazima utumbukie.

Hongera kwa dada ako aliyekimbia hiyo familia chaaaa
 
Umekaa kwenye mahusiano na mtoto wa watu for 5 years na still huwezi kufanya decision ya ndoa yako mwenyewe? Mkuu, how old are you?? Just for your interest, wanawake (dada yako being inclusive ) by nature huaga hapendani; lini umewahi kusikia baba ana ugomvi na mkwewe wa KIKE!?

Lini umewahi kusikia mashemeji wa kiume wana ugomvi na mke wa kaka/mdogo wao? Always mama mkwe na wifi/dada! Umempenda, weka msimamo, mwambie dada yako hata yeye ni mwanamke, huenda huko anako date nako hakubaliki, na wanatafuta asikubalike ili asiolewe.
Kama hata kuelewa hapa ndo basi tena
 
Umekaa kwenye mahusiano na mtoto wa watu for 5 years na still huwezi kufanya decision ya ndoa yako mwenyewe? Mkuu, how old are you?? Just for your interest, wanawake (dada yako being inclusive ) by nature huaga hapendani; lini umewahi kusikia baba ana ugomvi na mkwewe wa KIKE!?

Lini umewahi kusikia mashemeji wa kiume wana ugomvi na mke wa kaka/mdogo wao? Always mama mkwe na wifi/dada! Umempenda, weka msimamo, mwambie dada yako hata yeye ni mwanamke, huenda huko anako date nako hakubaliki, na wanatafuta asikubalike ili asiolewe.
Case clossed,,,wote tutazunguka weee but final advice n hii

Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app
 
Anakupenda na unampenda inatosha .Mkanye mdogo wako asikuingilie mke nichaguo lako .
 
Hahahahahah yeye ndio kampenda[emoji28] muacheni akomae na ndoa yake jamani!

Ushauri mzuri ila kwa huo unaotolewa hapo ni baada ya mdogo mtu kumsagia kunguni wifi yake[emoji28]
[emoji23]Yuko uko anapambana na ndoa yake. Ata kulalamika huwa anaangali mudi za watu kwanza [emoji28][emoji28].

Kwa kesi ya uyo jamaa, achunguze vizuri kwanza, asikurupuke kusikiliza dada yake au kumsapoti mchumba wake. Hivi huyu si ndo yule was mahali milioni 7?
 
Hahahahahah hapo tatizo naliona kwenye familia zaidi kuliko kwa mke wa jamaa[emoji28]!

Wanyaki muache mambo yenu haya alaaah!

Ndoa ya sister angu ilienda kwenye safe mode kwa style hio hio...Mtoto wa mjomba kamchokonoa sister muda mrefu tu sister akampa kubwa kaenda kutangaza ukoo mzima kuwa wifi ... kanitukana oneni sms zake.

Jamaa kashikwa maskio na mama yake akaja kumfukuza mke [emoji28] eti aondoke kwake. Matokeo yake kila kukicha anaomba msamaha sasa penzi lilishachacha anaonekana ng’ombe tu!!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] maamuz mengine ni ya kuyachunguza kwanza kabla hujaja kujuta baadae. Unamuacha mke mwsho wa siku unapata gulubembe
 
B
[emoji23]Yuko uko anapambana na ndoa yake. Ata kulalamika huwa anaangali mudi za watu kwanza [emoji28][emoji28].

Kwa kesi ya uyo jamaa, achunguze vizuri kwanza, asikurupuke kusikiliza dada yake au kumsapoti mchumba wake. Hivi huyu si ndo yule was mahali milioni 7?
Hahahahahahah kama kaweza kulipa mahari 7M nafikiri hata kumuacha mke inawezekana
 
Shemeji shemeji
Yani ni wazi kabisa, huyo mwanamke ndio anaenda matatizoni haswa! Hio familia kama sio wanyakyusa sijui[emoji28] maana ndio tabia zao kuwawekea wali vipengele..Af wanakomalia ukoo mzima yani hakuna hakuna hapa[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Swala zima ni harusi dogo langu alikuwa anajaribu kuzungumze nae harusi isogezwe mbele kidogo sababu ya changamoto yee akamjibu hilo halimhusu ila nyumbani wazungumze na mshenga ndio atoe taarifa nyumbani basi hapo ndio ikawa ndio sababu nyumbani kumchukia huyu binti
ni kweli atakuja kukutesa 7bu ana hekima katika kuzungumza hivyo ina mfanya akose busara
sasa ukikosa hekima huwezi kuishi na watu vizuri
7bu yeye kwa mujibu wa maelezo yako atkuwa anamuheshimu mtu mmoja pekee wengine anaona vidampa
 
Wanyaki tumetokea wapi tena shemela?[emoji34][emoji34][emoji34]
Hahahahahah hapo tatizo naliona kwenye familia zaidi kuliko kwa mke wa jamaa[emoji28]!

Wanyaki muache mambo yenu haya alaaah!

Ndoa ya sister angu ilienda kwenye safe mode kwa style hio hio...Mtoto wa mjomba kamchokonoa sister muda mrefu tu sister akampa kubwa kaenda kutangaza ukoo mzima kuwa wifi ... kanitukana oneni sms zake.

Jamaa kashikwa maskio na mama yake akaja kumfukuza mke [emoji28] eti aondoke kwake. Matokeo yake kila kukicha anaomba msamaha sasa penzi lilishachacha anaonekana ng’ombe tu!!!
 
mamako anakupenda zaidi ya huyo demu wako

kama mama kasema hafai ni hafai kweli
si uachane nae
 
Back
Top Bottom