Aiseeh kiswahili kinavurugwa haswa mwingine mpaka anaandika mbaka sijui shida ni nini hasa?Walisafirisha.
ungefikiri.
wanafikiriaje.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aiseeh kiswahili kinavurugwa haswa mwingine mpaka anaandika mbaka sijui shida ni nini hasa?Walisafirisha.
ungefikiri.
wanafikiriaje.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Naona amekania kweliIla nini kinachokuuma mama
Punguza hasiraInaniuma sana kuona lugha yetu tamu mkiiharibu kwa ujinga mliosomea.
Nafaham wengi wenu Kiswahili siyo lugha yenu ya kwanza. Msituharibie hii lugha ya Kimataifa kijinga jinga.
Kitendeeni haki Kiswahili.
Hasira zitoke wapi binti?Punguza hasira
Bibi kifimbo chezaWalisafirisha.
ungefikiri.
wanafikiriaje.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Labda na yeye ni mwanafamilia!Hao nao mbona washamba.
Unasomaje mirathi kwenye kikao cha Nje, wakati ilitakiwa kiwe kikao cha ndani, Cha Familia tuu.
Shangazi bhana[emoji23][emoji23][emoji23]Typing error ziwe kwenye r na l tu?
Tazama keyboard yako, r iko wapi na l iko wapi.
Huo ni ujinga uliousomea.
Samahani mswahili wangu hivi kiswahili sanifu ni mliosomea au mliousomea?tafadhali naomba ufafanuzi.Inaniuma sana kuona lugha yetu tamu mkiiharibu kwa ujinga mliosomea.
Nafaham wengi wenu Kiswahili siyo lugha yenu ya kwanza. Msituharibie hii lugha ya Kimataifa kijinga jinga.
Kitendeeni haki Kiswahili.
Sikifahamu Kiswahili sanifu nafahamu Kiswahili fasaha.Samahani mswahili wangu hivi kiswahili sanifu ni mliosomea au mliousomea?tafadhali naomba ufafanuzi.
Hujamalizia stori kwahiyo iliishia hivyohivyo tu hakuna hata mtu kurogwa!,kuzimia n.k
AhahaaaaaTyping error ziwe kwenye r na l tu?
Tazama keyboard yako, r iko wapi na l iko wapi.
Huo ni ujinga uliousomea.
AahaaaaaaaHii inaitwa kwenye familia zenu Kuna watoto wetu[emoji3]
Una nguvu ya kujibishana na Facebook boyMkuu tukubaliane kwamba ulichokiandika pale juu siyo sahihi,watoto wa nje kuzaliwa ndani ya ndoa ni tatizo ambalo lipo ila halijawa kubwa kwa kiasi hicho.
Ndo maisha ya muafrikaWew ubapenda fujo mara kuzimia mara kurogwaa
Taabu tupu.
Unakuta imeandikwa :
Duka la Spear.
Nini kifanyike?
Naishiaga kucheka tu😆mbaka
afu ni ukatili uliopitiliza inauma sana basi tuSa mtu kafariki mwaka jana we taarifa unaleta leo acha kutonesha vidonda vya watu vishapoa,
anyway wanawake wanajionaga wajanja kwenye hilo swala kumbe ni wapuuzi tu tunawachora