Fanya hivi ukikutana na wanyama hawa porini

Umenipa maarifa mapya
 
Kama unapita kwenye mapori au msitu wenye simba cha kufanya we beba Mua tu. Hakuna simba atakayekusogelea.

Unataka kujua sababu? Nitakuambia post inayofuata.
 
ukikutana na Faru kimbia alafu uwe unavua nguo moja baada ya nyingine, yeye atabaki kulirarua shat ulilovua, muda huo wewe umeshafika mbali
Hata kwa cobra au koboko,kimbia achilia nguo juu ya kitawi chochote,atakipiga meno haswa

Faru yeye ukiwasha moto,atataka auzime kwanza.
 
Somo zuri, Thanks.

>>Kama ni hivyo bora niwe naenda kwenye zoo tu. Mawe😜

Hata hivyo ndio utagundua mababu zetu walivyokuwa majasiri. Karibia wanyama wote hao walikuwa kitoweo.🤣🤣🤣🤣🤣
 
Simba na chui wa siku hizi huishi juu ya miti na ndiyo dipufriza zao za kutunzia nyama, kwahiyo utajitanguliza mwenyewe.
Tembo, nyumba za vijijini huziondoa paa kutafuta mahindi,bhatakuelewa akikuona humo, ukiingia shimoni atakandamiza ulipoingilia mpaka ukose hewa, tembo ni watu wanene waliofariki zamani.
Mamba binya kwa vidole macho yake kwani tumbo lake hautaweza kulifikia kwani hujiviringisha akishika kitu.
Muhimu acha kutembea porini kama siyo jangiri au jifanye mmaasai.
 
Nishasikia Hawa Mbwa mwitu Wana ka mchezo ka kumtanguliza mmoja kama chambo na wanaselect yule dhaifu ili umnyanyase, sasa jichanganye .
Huu mtego umewaponza sana baadhi ya wanyama hatari mwituni kwa kujidai wao ndio mabingwa yakawatokea puani.
 
Hiyo ndiye njia pekee ya kujikomboa kwa mnyama.simba, tena kwa mwanamke ni added advantage ukiwa uchi wa mnyama ukabinuka hivyo plus hayo maziwa kifuani simba atachanganya mbio balaa
Huu utafiti na majaribio ulifanya wapi,lini na ushahidi uko wapi?
 
Yote kwa yote,hapo lazima ufe tu,mbinu za wanyama wakali ni kujipaka sawa ya asili ili wasikudhuru,vinginevyo bye bye.
unamaanisha wale wa TANAPA, tourist guide hutumia hii milungula?
 
Tembo uingie ndani ya nyumba!!! Umeisha
Inategemeana na nyumba utakayokimbilia,ila kwa mazingira ya kijijini nyumba nyingi ni tope na zimeezekwa kwa nyasi hapo nakushauri usikimbilie humo. mwaka 2016 nilikuwa na kiredio changu uck nilikuwa nakiwasha non stop,kumbe bhana tembo wanapita nje,mmoja mkubwa wao akajaribu kutikisa kiberiti nikakizima kiredio nikaingia uvunguni na mkojo ukifuatia. kijiji chetu kwa miaka mingi kimekuwa kilikumbana na masahibu ya tembo kila mwaka wanavamia na kula mazao ya wakulima mana kijiji chetu kina poli la akiba. ila tunashukru serikali kwa kuingia ubia na kampuni ya allience one kufanya project ya upandaji wa miti, sasa hali ni shwari.
 
Je ukikutana na Lisu na Chadema yake unatakiwa ufanye nini??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…