Muuza simu used
JF-Expert Member
- Aug 23, 2017
- 4,393
- 7,074
Naunga mkono hoja!,pia pongezi kwa mama anaupiga mwingi [emoji851]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawa viumbe wajinga kweri kwenye akili zao wanawaza Sisi wanaume hatustaili kuwapa pesa dada zetu na wazaz wetukuna mmoja akaniomba elf 5,nikampa. Akaniomba 20k nikwambia na mimi naomba k. Akasema basi ameomba kama bro. Nikamwambia niwe nakupa tu hela burebure kwani mimi sina ndugu wa kike wenye shida?
Kwaiyo unatushauri tutumie pesa hovyo bila Marengo ili kizaz chetu kilithi umasiki?Pesa makaratasi ndugu, ulikuja uchi, utazikwa uchi/mtupu ma tanzanite, ma gold , mapesa utawaachia wengine watakula...is what makes the world as it is......poleni nyie.
Sio kweli. Hitler na Idd Amin walikuwa ni ke?For your information.. hakuna mtu katili kama wanawake.
Napenda watu wa aina yako.My policy for woman's remained to be one since I was 18 - pay, get and run. sijawahi kuwaga na G/F mimi.
It worked out, that's why i don't have any story to tell regarding eti being broken hearted... hakuna.
Married, happy - but the policy remain the same for michepuko - Pay, Get and Run. 🙂🙂🙂
"...kisa umevaa poa atavuta mpunga..." siyo hivyo tu, umewahi kujiuliza kuhusu kesi za ubakaji?Unaona hayo mambo ?! Usiwe na huruma na mwanamke kama anashida muache afe., kama anabakwa muache abakwe wewe wahi kwenye mishe zako, unaenda kumsaidia hachelewi kusema na wewe ulimbaka kisa umevaa poa anaona atavuta mpunga, hawana shkrani.
Wala tusiende mbali nimetongkza madwmu humu jf kwa magreat thinker wote kwanza unapiggwa mzinga wa laki🤣🤣🤣🤣🤣
Nikagundua kumbe wanawake wanatuona kama atm basi wacha na mie niwachukulie kama chombo cha starehe
Nakuuza kivipi tena...ebu sema ukwwli wako wewe sijakutongoza kweli🤣🤣🤣🤣🤣Acha kuniuza...😡
[emoji23][emoji23][emoji23] kuna haja ya wazazi kuwaeleza binti zao kuwa mjini cha bure ni salamu tu. Hataki kutoa mbunye aende zake.kuna mmoja akaniomba elf 5,nikampa. Akaniomba 20k nikwambia na mimi naomba k. Akasema basi ameomba kama bro. Nikamwambia niwe nakupa tu hela burebure kwani mimi sina ndugu wa kike wenye shida?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sii women
Umacheka wakati mnajua mnavyo tunyonya ndalama zetu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Waache wateme nyongo zao watu wameliwa pesa zao nyingi wangefanikiwa kuzitunza bank wange Jenga magorofa na Min supermarket wangetoa ajira.Manaume yale yako twisted, yamejazana humu kwenye hii topic, stop treating women like shit, wapuuzi tu nyie
Waache wateme nyongo zao watu wameliwa pesa zao nyingi wangefanikiwa kuzitunza bank wange Jenga magorofa na Min supermarket wangetoa ajira.
Hiyo 40 to sababuNaunga Mkono Hoja kwa 60%
Sipendi unafiki, sikujui na ninadhani unanijua, chukua time, tukutane akhera.Sasa mkwani uongo...mara bby nina shida na elf 20 mara oh jamani wine...ukijapiga hesabu mwisho wa mwezi tayari laki mbili....ila kwa kuwa mbususu tamu wacha tutoe tuuu
Mbona kama wewe ndiyo fala?Fala tu wewe, una uhakika hutastaafu hata kiatu huna???, au unazania ukiwa mchoyo ujanani then utastaafu na mamilioni?
Unafiki gani tena...😲😲😲😲Sipendi unafiki, sikujui na ninadhani unanijua, chukua time, tukutane akhera.