Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani

Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani

Yote yalikwisha pale msalabani, dhambi zetu zote zilifutwa!, inaelekea wanaume mna kinyongo kisa shetani alitulaghai...🤣🤣🤣🤣😡,...
Mwanamke ndo binadamu pekee aliyeongea na shetani uso kwa uso

Kwa nini tuwaamini? Shetani haaminiki labda mtuambie mliongea nini pale na shetani
 
Iko hivi. Baada ya bro kumaliza chuo, akawa amerudi kitaa kuendelea na deal zake,, kama unavyojua vibez za akina bimkubwa Waka mfosi bro aoe, by the way bro at that time alikua Hana mpango huo wa Kuoa alifanya kumridhisha bimkubwa.. Aisee bna bro akaona isiwe kes akaoa (hapo ndipo shida ilipo anzia)

Bna bna baada ya kuoa yule mke, kesi zikawa haziishi kila siku ugomvi kuja ku solve pale hom.. Ukitrace back ugomvi wao vitu vya kijinga

Ikafika mahala bro akawa hapikiwi chakula kisa kaacha hela ndogo akati humo ndani kwao kuna vyakula vyote na kila kitu.. Yaan hela ya ku nunua mboga 5000 et ndogo!! (usawa wa magufuli Enzi hizo si mlikua mnaujua wazee😇)

Mamaqee bna bna bro akaanza kusanda haeleweki , alikua ana ndinga akapiga bei, sometimes akija home anaongea maneno hayaekeweki , kiujumla akawa nusu kichaa hopeless😢..mother ni mtu wa dini (mwaposa akasome 😂😂 jokes tu wapakwa mafuta mnisamehee🙏🙏) , so akawa ameingia kwenye Maombi ndio automatically yule mwanamke akawa anasema mambo mengi, kuna siku bro anasimulia anasema wamekaa ndani , yule mwanamke akawa anamuogesha mtoto miez7 maji ya baridii (barid la mbeya mnalijua) so ile bro KWENDA kumgombeza yule mwanamke, ghafla yule mwanamke akapatwa hasira, sura ikabadilika na nguvu za ajabu mithili ya bondia , akamnyanyua bro, yaan akamkunja shati na kumbamiza ukutani then akatamka maneno '' nyie na Familia yenu hamnijua vizuri mim ni nan!!''

To cut off story matukio mengi nimeruka hapo. Yule mwanamke ni mchawii since alimtamkia bro kwa maneno yake mwenyewe, ku trace back ile Familia, kumbe baba yao alimkimbia mama wa huyo mwanamke kwa ishu za kichawii na by the way alimpigia simu bro akamwambia '' huyo mke wako ni mwanangu wa kumzaa ko kama unataka kufa we endelea kua naye''

Ili kua ngumu Sana kuvunja Ndoa ile maana yule mwanamke alikua mchawii haswaa mpaka na andika hivi now bro wangu bado hajarudi katika default settings mda wote analia akimkumbuka huyo mwanamke. Dunia Ina mengi sana nlikuaga siamini UCHAWI Lakin n kwa sasa huwez ukanishauri kitu kuhusu uchawii.. Uchawi upo!!!
Aise mpaka mwili umesisimka, wanawake ni wakukaa nao kitaalam sana sana
 
Mkuu barikiwa ulipo, uingiapo na utokapo.
Hukusoma hapa.
uu
 
Mkuu uko sahihi, Mimi ni mmoja niliyesoma hadi form six sikuwahi kuwa na demu permanent , Wala sikuhitaji issue za text au calls na kuitwa baby fake, hata waliokuwa na mademu permanent waliishia kutoboka na mwishowe hao mademu kuolewa na watu wengine, baadae nikaendelea na chuo nchi za nje, utaratibu wangu ilikuwa ni kutumia one time na kusepa, ikibidi kubadili namba, maana sipendi unafiki na kuitana baby isiokuwa na tija, finally baada ya chuo nikapata kazi na kuoa, kwahiyo story za heart broken sijazipitia na Wala sitarajii, na Sina history or story ya kuwa niliishi na demu miaka kazaa ikatokea vile , mademu kaa nao mbali utafaulu na kuepuka mambo mengine.
 
Mkuu kwenye uzii huu umetajwa zaidi ya mara saba, maandiko yako yanawagusa upande chanya vijana mengi humu jf. Big up.
Hukusoma hapa.
 
Nyi
Nonsense!

hawa wanawake wa sasa wako wired differently????

Au wametoka Mars na sio product ya wamama hao hao wa zamani???
Nyie ni kizazi cha haki sawa, hamsini kwa hamsini, ni wanyonyaji na pia ni wauwaji, yaani nyinyi ndo mashetani kabisa

Hamfai kuonewa huruma wala kusaidiwa kwa chochote, yaani msijifananishe na mama zetu hata kidogo
 
Screenshot_20220605-152032_WhatsApp.jpg

Mwanaume kila siku anaifikiria familia, wanawake walio wengi mpaka kwenye ndoa wanakuwa wabinafsi ☝☝.
 
Nyi

Nyie ni kizazi cha haki sawa, hamsini kwa hamsini, ni wanyonyaji na pia ni wauwaji, yaani nyinyi ndo mashetani kabisa

Hamfai kuonewa huruma wala kusaidiwa kwa chochote, yaani msijifananishe na mama zetu hata kidogo
...Mkuu, sisi ni products za hao hao mama unaoona tusijifananishe nao... otherwise usini provoke please, sisi ni DNA za mama, bibi, nothing is different...kama unaona sisi ni mashetani, chances are bibi na mama zetu walikua mashetani, lol
 
Mkuu nawewe ulikubali kumwangalia tu anachukua mali zako ili aende kwa bwana wake...aisee kuna watu mmeumbwa na mioyo ya uvumilivu sana...kwangu ningemuaga na mapanga kmmmk
Acha tu bro nilipigwa butwaa maana ilikua ni gafla
 
Mnaumiza sana watoto wa watu. Sijui huko mbeleni mabinti zetu wataishi vipi kwenye mahusiano maana nina uhakika watalipia madhambi wanayofanya wanawake wa kizazi hiki na kinachoishia.

Wanaume wa sasa wanaitaka ndoa ila hayo matoto ya kiume yatakayokuja hayatakuwa na time na mambo ya ndoa ni kutia mimba na kusepa na hakuna kitu utafanya.
Na hao mnaowalaumu wamefikaje hapo? Nyie si ndio vichwa na mnasemaga ndio viongozi wetu. Haya mkae kikao mje na suluhisho. Hayo makasiriko hayatosaidia.
 
Humo ndani mwake ana miliki kiti kimoja cha ngozi yaani hakuna kingine sijui sofa au nini no
Ni suala la ukata wa pesa au?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom