Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani

Yote yalikwisha pale msalabani, dhambi zetu zote zilifutwa!, inaelekea wanaume mna kinyongo kisa shetani alitulaghai...🤣🤣🤣🤣😡,...
Mwanamke ndo binadamu pekee aliyeongea na shetani uso kwa uso

Kwa nini tuwaamini? Shetani haaminiki labda mtuambie mliongea nini pale na shetani
 
Aise mpaka mwili umesisimka, wanawake ni wakukaa nao kitaalam sana sana
 
Mkuu barikiwa ulipo, uingiapo na utokapo.
 
Mkuu uko sahihi, Mimi ni mmoja niliyesoma hadi form six sikuwahi kuwa na demu permanent , Wala sikuhitaji issue za text au calls na kuitwa baby fake, hata waliokuwa na mademu permanent waliishia kutoboka na mwishowe hao mademu kuolewa na watu wengine, baadae nikaendelea na chuo nchi za nje, utaratibu wangu ilikuwa ni kutumia one time na kusepa, ikibidi kubadili namba, maana sipendi unafiki na kuitana baby isiokuwa na tija, finally baada ya chuo nikapata kazi na kuoa, kwahiyo story za heart broken sijazipitia na Wala sitarajii, na Sina history or story ya kuwa niliishi na demu miaka kazaa ikatokea vile , mademu kaa nao mbali utafaulu na kuepuka mambo mengine.
 
Mkuu kwenye uzii huu umetajwa zaidi ya mara saba, maandiko yako yanawagusa upande chanya vijana mengi humu jf. Big up.
 
Nyi
Nonsense!

hawa wanawake wa sasa wako wired differently????

Au wametoka Mars na sio product ya wamama hao hao wa zamani???
Nyie ni kizazi cha haki sawa, hamsini kwa hamsini, ni wanyonyaji na pia ni wauwaji, yaani nyinyi ndo mashetani kabisa

Hamfai kuonewa huruma wala kusaidiwa kwa chochote, yaani msijifananishe na mama zetu hata kidogo
 
Nyi

Nyie ni kizazi cha haki sawa, hamsini kwa hamsini, ni wanyonyaji na pia ni wauwaji, yaani nyinyi ndo mashetani kabisa

Hamfai kuonewa huruma wala kusaidiwa kwa chochote, yaani msijifananishe na mama zetu hata kidogo
...Mkuu, sisi ni products za hao hao mama unaoona tusijifananishe nao... otherwise usini provoke please, sisi ni DNA za mama, bibi, nothing is different...kama unaona sisi ni mashetani, chances are bibi na mama zetu walikua mashetani, lol
 
Mkuu nawewe ulikubali kumwangalia tu anachukua mali zako ili aende kwa bwana wake...aisee kuna watu mmeumbwa na mioyo ya uvumilivu sana...kwangu ningemuaga na mapanga kmmmk
Acha tu bro nilipigwa butwaa maana ilikua ni gafla
 
Na hao mnaowalaumu wamefikaje hapo? Nyie si ndio vichwa na mnasemaga ndio viongozi wetu. Haya mkae kikao mje na suluhisho. Hayo makasiriko hayatosaidia.
 
Humo ndani mwake ana miliki kiti kimoja cha ngozi yaani hakuna kingine sijui sofa au nini no
Ni suala la ukata wa pesa au?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…