Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani

Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani

Women possess negative power. Wana uhusiano wa karibu sana na shetani. Mara nyingi ili shetani akupate wewe mwanamume hupitia kwa mwanamke. Jambo hili lilianzia pale kwenye bustani ya Edeni na litaendelea hadi pale shetani atakapotupwa kwenye ziwa liwakalo moto na kiberiti. So watch out! May you come to Jesus for your salvation and eternal life kabla ya mlango wa neema kufungwa!



YESU KRISTO ni BWANA na MWOKOZI
Rudi shule..
 
Mm kuna duu kanitafuta last week eti nilimpaga lift miaka mitano iliyopita,yaani narecall cpat picha,sasa tukataftana ile kumuona hakunivutia kiviiile ,na hata simkumbuki na sikumtia wala nn,kwanza mfuuupi.
Jana asubui ananiambia ana 2 days kaishiwa gesi,hee na wakati wife angu ana almost mwezi now anapikia mkaa...yaani nikamblok hapo hapo
 
Mm kuna duu kanitafuta last week eti nilimpaga lift miaka mitano iliyopita,yaani narecall cpat picha,sasa tukataftana ile kumuona hakunivutia kiviiile ,na hata simkumbuki na sikumtia wala nn,kwanza mfuuupi.
Jana asubui ananiambia ana 2 days kaishiwa gesi,hee na wakati wife angu ana almost mwezi now anapikia mkaa...yaani nikamblok hapo hapo
[emoji28]
 
Mm kuna duu kanitafuta last week eti nilimpaga lift miaka mitano iliyopita,yaani narecall cpat picha,sasa tukataftana ile kumuona hakunivutia kiviiile ,na hata simkumbuki na sikumtia wala nn,kwanza mfuuupi.
Jana asubui ananiambia ana 2 days kaishiwa gesi,hee na wakati wife angu ana almost mwezi now anapikia mkaa...yaani nikamblok hapo hapo
hehehe. Utapigwa mkuu
 
Malengo yangu yote na ziada nimeyafikia i.e family, residence, a bunch of asset folks would only dream of, space from their negativity, life without drama, a strong connection to the system, travels and vocations etc etc list ndefu kama mkojo wa mlevi
Hii list uliyotaja huwezi kuifikia hata siku moja kama wewe ni Mpenda chini au unanifanya unajali sana wanawake. You need Strong heart.

Conguratulations.

Hizi buku teni teni tunazopigwa hapa na pale huwa tunazudharau lakini ni pesa nyingi.

Kijana anayetafuta maisha kipato chake elfu 15 kwa siku ana sota sana. Lakini mwisho wa mwezi au wa wiki anahonga 50 au 1000. Hii ni zaidi ya 30% ya kipato chake. Akitoa na gharama za maisha habaki na kitu mfukoni. Siku zinaanza tena, wiki hadi mwaka hana kitu cha maana.
 
Mnh huyu muandishi wa hii topic kama sio yule Robert..sijui

Hautakuwa kwenye committed relationship uka enjoy Matunda ta real love, never ever ! Kwa kudhani kila mwanamke yuko kwako ku gain something...tunakupa pole kwa kweli...

Yaani wewe utakua ulikua Mchoyo sana,ulivyokua mdogo. Poor you! Sikulaumu japokua umesema una mapesa sasa hivi, lakini umekulia maisha ya shida sana, umekua surrounded na poverty ndio maana uko selfish,sababu unaona pesa ya thamani sana, not to be wasted, not to be given to anybody.... sikulaumu mazingira na experiences tunazokulia ndizo zinazofanya tuwe confused tukiwa wakubwa...

Najua utakataa lakini ukweli ni huu...

1. Umekulia kwenye umaskini.

2. Una uchoyo hata kwa ndugu zako. Eti hapo kasema , atasaidia dada zake ila sio wanawake, hao dada sio wanawake?, sema wewe ni mchoyo, hutoi hela yako/msaada kwa yoyote na sio mwanamke peke yake, art of giving, haiangalii unatoa msaada kwa nani, kiwete au mzima, ndugu au sio ndugu, whether you get something back or not, au mwanamke na mwanaume ila ukiwa mchoyo ndio utafanya tofauti na hayo mambo.... eti humsaidii mwanamke sababu she has nothing to offer than mbunye...yaani unatoa msaada to get back something ndio unapproved wwe ni mchoyo... hivyo eti?! ...basi kasaidie wanaume wenzio upate di**ck!... maana jinsia ziko mbili tu mwanaume na mwanamke , na wewe unatoa msaada kwa kuexpect something in return, haya wanaume wenzio wana offer di**ck...

3, Wewe ni mtu uliyekataliwa sana na wanawake/ rejected because of poor status ukajiapiza ukipata hela hautampa mwanamke pole weeeee

Nyie watu mliokuwa confused na malezi, msituumie hii platform ya bwana Melo, ku influence upumbavu... na wanaume wengine wameingia kichwa kwenye huu ujinga...
Kwani kumuhonga mwanamke ni sheria na kwanini nimpe kama anauza fresh nitanunua
 
DJ msindikize mtoa mada na kibao chochote..

C0AC6518-FA76-470B-BF0E-56E3DF2085BA.jpeg
 
Kwani kumuhonga mwanamke ni sheria na kwanini nimpe kama anauza fresh nitanunua

sio sheria ila ukiwa mchoyo mchoyo hata nyumbani kwako utakua mchoyo tu, na watoto wako wa kike utawaona mzigo! maana ushazoea kutoa ili upate something in return, (mbunye).
 
Back
Top Bottom