Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,136
- 32,268
Good, kufa na mashida zako b'coz thats exactly what you deserve.
hahaha yaani nije na mashida yangu kwako? NO way, na NO siwezi kufa na shida, im a hardworker, and yes one day i will make it!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Good, kufa na mashida zako b'coz thats exactly what you deserve.
Hongera mkuu kwa kuwatambua, hawastahili hata punje ya huruma ni mavampire hatari sana hawa viumbeDaah ila mwana umeongea point kubwa mno,wanachijua ni kukuchomoa tuu.Ni kuweka uso wa mbuzi tuu
But its ok for women to treat us as dogs?!!Manaume yale yako twisted, yamejazana humu kwenye hii topic, stop treating women like shit, wapuuzi tu nyie
Hard work pekee wont get you any where. Ingikua hardwork inaleta mafanikio madeiwaka wangekua mamillionea. "Lack of connections" will cost you pakubwa. Na kua mwanamke utakosa connections kwa kuponzwa na ubinafsi wenu.hahaha yaani nije na mashida yangu kwako? NO way, na NO siwezi kufa na shida, im a hardworker, and yes one day i will make it!
Negative mkuu, sijawa succeesful kwa ajili ya elimu, exposure HAPANA NAPINGA japo hzo ni catalyst tu. Kufanikiwa kunaletwa na passion, hardwork, consistency na despline ya fedha. Na kati ya desplanatory strategies ni kutosypathize na manipulations za wanawake.
Ooh kuhusu mke wangu hajaolewa na mimi kwa sababu ya fedha ooh hapana hapana maana family yao wako njema sana.
Nani kaku treat like dog na wewe??But its ok for women to treat us as dogs?!!
Sii womenNani kaku treat like dog na wewe??
We jamaa unapiga panapoumaNegative mkuu, sijawa succeesful kwa ajili ya elimu, exposure HAPANA NAPINGA japo hzo ni catalyst tu. Kufanikiwa kunaletwa na passion, hardwork, consistency na despline ya fedha. Na kati ya desplanatory strategies ni kutosypathize na manipulations za wanawake.
Ooh kuhusu mke wangu hajaolewa na mimi kwa sababu ya fedha ooh hapana hapana maana family yao wako njema sana.
Hard work pekee wont get you any where. Ingikua hardwork inaleta mafanikio madeiwaka wangekua mamillionea. "Lack of connections" will cost you pakubwa. Na kua mwanamke utakosa connection kwa kuponzwa na ubinafsi wenu.
Wanaume wengi wamegundua wanawake hamna utu. Kama kusaidia ni jambo zuri ila KUMSAIDIA MTU MWENYE FADHILA AMBAE ATAMSAIDIA MWINGINE. Mwanamke akisaidiwa imetoka hyo hasaidii wengine NEVER.
Kuna member kakuuliza, Mara ya mwisho umemsaidia rafiki yako mwanaume ni lini ? Hujajibu kwa kua haujawahi na hauko wired kusaidia NA HILO NDIO LINANIFANYA NISIWASAIDIENI KAMWE KAMWE.
Sasa kwani mahari tunalipa ili tuoate nini sii mbunyesio sheria ila ukiwa mchoyo mchoyo hata nyumbani kwako utakua mchoyo tu, na watoto wako wa kike utawaona mzigo! maana ushazoea kutoa ili upate something in return, (mbunye).
Ha haa ha na hapo ndio pakupiga mkuu, nimeshuhudia wanaume wengi wakiharibibiwa kisa kujiingiza kuwasaidia wanawake.We jamaa unapiga panapouma
pole, ndio maana mmedevelop such hostility?, mimi nilijua tu mliokusanyika kwenye hii topic ni watu wenye maumivu mnaoona wanawake ni mazimwi.. eti?Sii women
Umeshaona ile eti mnafanya ofisi moja,mnakuwa na assignment zinazofanana kwa kiwango sawa,inatokea wewe unawahi kumaliza anakwambia naomba unisaidie yani nimechoka,utafikiri kwenye mshahara na yeye atakupunguzia kidogo...Wakuu salaam,
Tofauti na mama yako na mke wako wanawake wengine wote achana kujifanya kuwasaidia wanakuchora tu. Wanawake ni viumbe wabinafsi kuliko viumbe wengine wote chini ya mawingu mpaka chini ya bahari.
Hata umsaidie vipi hua wanaona kama walistahili zaidi na zaidi. Women are takers wanachojua ni kuchukua na kuchukua na kuchukua kisha kuchukua na kuchukua. Uko mahala pa kazi acha kujifanya kuwasaidia jinsia ke hawana shukrani, uko shule ni mwanafunzi soma faulu tengeneza mambo yako achana kujifanya unawasaidia sijui masomo hawana shukrani na wanakuona zoba.
They constantly want, constantly take kwao kila mwanaume wanataka awafanyie jambo 1,2,3 hutakosea ukiwaita malaya wa kuhitaji kufanyiwa favour kama jambo halimuhusu au halimnufaishi yeye hiyo jambo sio muhimu. Ubinafsi ulioota ukurutu.
Narudia mama yako na mke wako wanastahili msaada wako wamekufaa kwa mambo mengi ila hawa kina Ashura ndara ndefu piga chini fanya mambo yako.
Acha ujinga wa kujifanya kutengeneza urafiki na hawa viumbe, urafiki na mwanamke hua ni wakumnufaisha yeye tu na ni watu wa ajabu hata hawajishtukii hawa viumbe wanamapungufu mengi ila hili la ubinafsi na kukosa shukrani nachukizwa nalo sana.
Tangu nilipokua shule nilikua sitaki shobo na hawa viumbe, akiingia 18 natomb.a na kusepa sijengi kibanda ooh "baby baby" sinaga ujinga huo. Nimekua niko kazini na msimamo wangu ni ule ule sitaki shobo na ke, hata watoto wangu (wote madume)
Nawaasa kujali malengo yao na kuacha kujifanya kusaidia wanamake HAWANA SHUKRANI. Kuna wanaume wengi wamekwama na kushindwa kufikia malengo yao kwa kujifanya watakatifu wa kuwasaidia wanawake.
Haa ha haa mkuu ninafurahi sana na kunipa raha unaponiita mchoyoPole soma tena vizuri posts nilizojibu acha wenge, rudia upya, sijasema siko wired kusaidia, karudie kusoma upya!
Yes, hard work will get me somewhere, nani ameshakua successful kwa kuwa Lazy???.......
Acha tambo za kijinga, madeiwaka ni watu na ni ajira kama nyingine, wapo kibao waliokua successul walioanzia kazi ya udeiwaka, kisha kuna graduates kibao wanafanya kazi ya udeiwaka, na wana malengo makubwa tu..i believe watakua successful siku moja, na pia nimeona watu kibao hawajawahi kuwa na 'connections' na bado wakawa successful..utasemaje hapo...??? wanawake kukosa connections ..si kweli..sio wanaume wote ni wabinafsi kama wewe...yes kuna wanaume wenzio hawaoni tabu kutoa 'connections'
Lastly, ushaambiwa sio wanawake wote hawana shukrani, na wewe ni mchoyo tu sio kwamba unaogopa ukimsaidia mtu hatashukuru....nonsense
Be kind to 'em anyway/treat 'em good, and do not expect something in returnI agree sir
ofcourse wewe ni mchoyo, huo ndio ukweli wenyewe...Haa ha haa mkuu ninafurahi sana unaponiita mchoyo
Hapana wanawake tunawaona kama chombo cha starehe ila haiondoi ukweli anaosema mtoa mada.pole, ndio maana mmedevelop such hostility?, mimi nilijua tu mliokusanyika kwenye hii topic ni watu wenye maumivu mnaoona wanawake ni mazimwi.. eti?
Chombo cha starehe?,nilijua tu 'profile' la mnaomtukuza mtoa mada... very interesting...Hapana wanawake tunawaona kama chombo cha starehe ila haiondoi ukweli anaosema mtoa mada.
Hiyo ilitokea sana nilipokua muajirima HR taasis fulani ya serikakai, kuna kijana alikua anarundikiwa tasks na co-woker mwenzake wa kike siku moja nikamuita nikamwambia aache "ubushoke" nikamwambia nikiona tena anajifanya kufanya tasks zisizo zake nitamuongezea office duty.Umeshaona ile eti mnafanya ofisi moja,mnakuwa na assignment zinazofanana kwa kiwango sawa,inatokea wewe unawahi kumaliza anakwambia naomba unisaidie yani nimechoka,utafikiri kwenye mshahara na yeye atakupunguzia kidogo...
Sasa je na nyue wanawake sii mnatuchukulia kama atmChombo cha starehe?,nilijua tu 'profile' la mnaomtukuza mtoa mada... very interesting...