Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani

Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani

Daah ila mwana umeongea point kubwa mno,wanachijua ni kukuchomoa tuu.Ni kuweka uso wa mbuzi tuu
 
Angalau kidogo akili zinawaingia sasa...kila siku tunaona shuhuda mbalimbali jinsi hawa viumbe wanavyowapiga matukio wenzetu..ok fine wengine kusoma hamuwezi hata picha pia hamuoni?
Tusipobadilika tutalalamika kila siku kwamba mambo hayaendi..hela hakuna..binafsi ni shuhuda mzuri sana..now days najua kula now sahani moja..!
 
Mkuu nakuprove wrong kwa kila unalosema, mwanzo ulisema nimelelewa kimasikini jambo ambalo sio kweli sasa unasema sijawahi kupata upendo.

Kichekesho mke niliyeoa na chotara wa Hindu na Latin japo ameishi bongo mda mrefu wa maisha yake. Hivi unajua jinsi ilivyo kumiliki mpenzi nywele ndefu laini ngozi chotara ?! Nyie makuku ya kienyeji kwangu hata ni taka taka mkuu,

Sio kweli kwamba sijawahi kupata upendo wa wanawake, tena nyie makina Chausiku ndio nafanya kuyakimbia sitaki harufu yenu kabisa. Check this out kuna mwaka nilitomb.a miss sijui utalii aliletwa Arusha wakafikia hotel nilipokuwepo badae ananiambia wao ni mamiss wamekuja kwenye outreach bla bla bla

Ndio hukupata upendo, kuoa sio tatizo, wapo kibao wameoa na hawapedwi,sidhani kama uko kwenye healthy relationship!, hakuna mwanamke anayejielewa akakaa na mwanaume anayetreat wanawake kama shit!, no way...!... unless mna intentions zenu zinazowaweka pamoja sio upendo, upendo una principle ya reciprocity , nakupenda , unanipenda, uni treat like shit nikupende? no way... kama unadhania unapendwa inabidi u examine uhusiano wako sana, inaelekea labda unawashauri watu humu wasisaidie wanawake halafu kumbe unachunwa tu huko...sababu mpaka sasa sijaona mwanamke wa kukupenda,lol...Moja una sura mbaya, mbili una treat wanawake like shit,uniambie kuna mwanamke akupende? hili sio profile la mwanaume anayependwa! ....nakwambia ukweli una hela,una offer financial security baasi...mtu anafikiria akizaa na wewe watoto wake watasoma vizuri, her future is secured, kuhusu kukupenda naturally no way!

Mwisho kutomber mamiss huko Arusha sio sababu ya kusema ulikua unapendwa, nani akupende wewe...nishakuambia wanawake wapo kibao... hata wauza nyapu, na wapo kila mahali, mamiss, ofisini..nk

Uko hapo ama uko successful sababu umesoma, both in Tanzania na nje, una exposure, una hela sababu ya hili profile ila usiseme uko successful sababu umewanyima sijui wanawake gani huko hela ya kusukia au vocha!
 
mkuu ww sio mchoyo? mara ya mwisho umemtumia lini pesa rafiki yako yoyote aliekua na shida wa "kiume"??

Kibao tu mkuu,lol, wanaonijua watakuambia sio mchoyo mimi, nina makando kando yangu ila uchoyo sina,lol
 
Ndio hukupata upendo, kuoa sio tatizo, wapo kibao wameoa na hawapedwi,sidhani kama uko kwenye healthy relationship!, hakuna mwanamke anayejielewa akakaa na mwanaume anayetreat wanawake kama shit!, no way...!... unless mna intentions zenu zinazowaweka pamoja sio upendo, upendo una principle ya reciprocity , nakupenda , unanipenda, uni treat like shit nikupende? no way... kama unadhania unapendwa inabidi u examine uhusiano wako sana, inaelekea labda unawashauri watu humu wasisaidie wanawake halafu kumbe unachunwa tu huko...sababu mpaka sasa sijaona mwanamke wa kukupenda,lol...Moja una sura mbaya, mbili una treat wanawake like shit,uniambie kuna mwanamke akupende? hili sio profile la mwanaume anayependwa! ....nakwambia ukweli una hela,una offer financial security baasi...mtu anafikiria akizaa na wewe watoto wake watasoma vizuri, her future is secured, kuhusu kukupenda naturally no way!

Mwisho kutomber mamiss huko Arusha sio sababu ya kusema ulikua unapendwa, nani akupende wewe...nishakuambia wanawake wapo kibao... hata wauza nyapu, na wapo kila mahali, mamiss, ofisini..nk

Uko hapo ama uko successful sababu umesoma, both in Tanzania na nje, una exposure, una hela sababu ya hili profile ila usiseme uko successful sababu umewanyima sijui wanawake gani huko hela ya kusukia au vocha!
Negative mkuu, sijawa succeesful kwa ajili ya elimu, exposure HAPANA NAPINGA japo hzo ni catalyst tu. Kufanikiwa kunaletwa na passion, hardwork, consistency na despline ya fedha. Na kati ya desplanatory strategies ni kutosypathize na manipulations za wanawake.

Ooh kuhusu mke wangu hajaolewa na mimi kwa sababu ya fedha ooh hapana hapana maana family yao wako njema sana.
 
Asilimia kubwa ya wanaume tz ndio hao waliolelewa kimaskini, ndio hao wanakua rejected, ndio hao ambao fedha ndio kila ktu kwenye maisha yetu,
Unajitoa fahamu tuu Ila unajua hii ninchi nimaskini wananchi wake nimaskini hivo vitu mnavokariri kwa tamthilia haviendani kabisa namazingira yakitanzania. Uzi umekaa kikorofi sna ilaunaweza kumsaidia mwanaume yoyote wakibongo alielewa kimaskini au wale tunaomini fedha ndio uhai
 
Back
Top Bottom