Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani

Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani

Hii list uliyotaja huwezi kuifikia hata siku moja kama wewe ni Mpenda chini au unanifanya unajali sana wanawake. You need Strong heart.

Conguratulations.

Hizi buku teni teni tunazopigwa hapa na pale huwa tunazudharau lakini ni pesa nyingi.

Kijana anayetafuta maisha kipato chake elfu 15 kwa siku ana sota sana. Lakini mwisho wa mwezi au wa wiki anahonga 50 au 1000. Hii ni zaidi ya 30% ya kipato chake. Akitoa na gharama za maisha habaki na kitu mfukoni. Siku zinaanza tena, wiki hadi mwaka hana kitu cha maana.
Well said, [emoji419][emoji419]
 
Hawana shukrani kuna manzi nilikuwa namla juzi tu hapa akataka nimununulie PC nilivyomwambia sina hela hajawai kunijibu tena Meseji zangu wakati nyuma amekula sana hela zangu hawa viumbe bhana.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji119] huu Uzi unani bariki sana
 
Manaume yale yako twisted, yamejazana humu kwenye hii topic, stop treating women like shit, wapuuzi tu nyie
[emoji16][emoji16][emoji16] pokeeni tu ukweli ijapokuwa inauma .
 
Angalau kidogo akili zinawaingia sasa...kila siku tunaona shuhuda mbalimbali jinsi hawa viumbe wanavyowapiga matukio wenzetu..ok fine wengine kusoma hamuwezi hata picha pia hamuoni?
Tusipobadilika tutalalamika kila siku kwamba mambo hayaendi..hela hakuna..binafsi ni shuhuda mzuri sana..now days najua kula now sahani moja..!
[emoji419][emoji419][emoji419]
 
Ushawahi kuumizwa na mwanamke, lazima uone mawenge, ...pole we!, sipingi experiences zenu zimeashape mlivyo, nachopinga ni nyinyi kutaka kuwainfluence wengine especially vijana wa kiume humu wadogo humu kuwa wanawake ni watu wabinafsi.
Wanaambiwa ukweli mchungu ambao lazima narudia lazima wakutane nao,
Wapende watakutana nao , wachukie watakutana nao,
wasiamini watakutana nao na wakiamini watakutana nao.

Hivyo hapa wanaandaliwa maono, wajue jembe linakuja kuwafyeka na litawafyeka kweli.

Ila muhimu unatakiwa upitie steji hii kabla mtu mwanamume hajaoa
 
Kibao tu mkuu,lol, wanaonijua watakuambia sio mchoyo mimi, nina makando kando yangu ila uchoyo sina,lol
Inaweza kuwa wewe sio mchoyo .. hongera Kwa Hilo but wanawake wengi sana ni wabinafsi na hiyo ndio sifa kuu ya gender ya kike ... Ukiona mwanamke sio mbinafsi basi huyo amekomboka tu Kwa uwezo wa roho mtakatifu ni 10 Kwa 1., So kama wewe sio mbinafsi hongera , but wanawake wengi wenzenu ndio wanao watia doa cuz wingi wao wa Tabia za ubinafsi una sababisha nyie wengine wachache ambao ni wema msitambulike kuwa mpo
 
Asilimia kubwa ya wanaume tz ndio hao waliolelewa kimaskini, ndio hao wanakua rejected, ndio hao ambao fedha ndio kila ktu kwenye maisha yetu,
Unajitoa fahamu tuu Ila unajua hii ninchi nimaskini wananchi wake nimaskini hivo vitu mnavokariri kwa tamthilia haviendani kabisa namazingira yakitanzania. Uzi umekaa kikorofi sna ilaunaweza kumsaidia mwanaume yoyote wakibongo alielewa kimaskini au wale tunaomini fedha ndio uhai
[emoji419][emoji419][emoji419]
 
Mkuu umegusa maisha yangu kwa kiasi kikubwa sana. Niliwahi kuwa na rafiki wa kike wakati nipo advance tulikua tunakaa mtaa mmoja ila tukawa tunasoma advance mikoa tofauti. Nilitokea kumjali sana maana nilikua namsalandia. Nakumbuka vingi nilipoteza kwake ila kwakua nilikua na hisia nae sikuhesabu chochote.
Mungu sio athumani tukaenda chuo kimoja iringa mkwawa bando upendo uliendelea palepale tena zaidi nakumbuka nilimtoa lanchi nyingi sana. Nakumbuka muda aliokua akiishiwa bumu alikua anakuja geto anapika anakula na maisha yanaenda. Ilitokea me nikaacha chuo nikaludi home coz hiyo kozi niliokua naisoma ni kama sikuipenda nililazimishwa, tangu niludi hivi sasa ni mwezi wa 5 hajawahi kunipigia sim wa kutuma text. Nilijalibu kumpigia sim ila respond yake ikawa mbovu sana kuanzia hapo nikampotezea hadi leo

Nimeuona huu uzi umenikumbusha mbali sana. Big up broo
Si ulimkulaa lakini???
 
Umeshaona ile eti mnafanya ofisi moja,mnakuwa na assignment zinazofanana kwa kiwango sawa,inatokea wewe unawahi kumaliza anakwambia naomba unisaidie yani nimechoka,utafikiri kwenye mshahara na yeye atakupunguzia kidogo...
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] Aisee uko na logic sana
 
Back
Top Bottom