Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani

Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani

Atakaebisha hii kauli yako basi nae ni mwanamke , hawa viumbe ni wa ajabu sana , bora hata ya punda ambae ukimsaidia anakupiga mateke ila sio hawa watu wa kuitwa WANAWAKE.
 
Wakuu salaam,

Tofauti na mama yako na mke wako wanawake wengine wote achana kujifanya kuwasaidia wanakuchora tu. Wanawake ni viumbe wabinafsi kuliko viumbe wengine wote chini ya mawingu mpaka chini ya bahari. Kuna tofauti ndogo ndogo baina yao ila kwa ujumla package nzima wako sawa wote wabinafsi na hawana shukrani.

Hata umsaidie vipi hua wanaona kama walistahili zaidi na zaidi. Women are takers wanachojua ni kuchukua na kuchukua na kuchukua kisha kuchukua na kuchukua. Uko mahala pa kazi acha kujifanya kuwasaidia jinsia ke hawana shukrani, uko shule ni mwanafunzi soma faulu tengeneza mambo yako achana kujifanya unawasaidia sijui masomo hawana shukrani na wanakuona zoba.

They constantly want, constantly take kwao kila mwanaume wanataka awafanyie jambo 1,2,3 hutakosea ukiwaita malaya wa kuhitaji kufanyiwa favour kama jambo halimuhusu au halimnufaishi yeye hiyo jambo sio muhimu. Ubinafsi ulioota ukurutu.

Narudia mama yako na mke wako wanastahili msaada wako wamekufaa kwa mambo mengi ila hawa kina Ashura ndara ndefu piga chini fanya mambo yako.

Acha ujinga wa kujifanya kutengeneza urafiki na hawa viumbe, urafiki na mwanamke hua ni wakumnufaisha yeye tu na ni watu wa ajabu hata hawajishtukii hawa viumbe wanamapungufu mengi ila hili la ubinafsi na kukosa shukrani nachukizwa nalo sana.

Tangu nilipokua shule nilikua sitaki shobo na hawa viumbe, akiingia 18 natomb.a na kusepa sijengi kibanda ooh "baby baby" sinaga ujinga huo. Nimekua niko kazini na msimamo wangu ni ule ule sitaki shobo na ke, hata watoto wangu (wote madume)

Nawaasa kujali malengo yao na kuacha kujifanya kusaidia wanamake HAWANA SHUKRANI. Kuna wanaume wengi wamekwama na kushindwa kufikia malengo yao kwa kujifanya watakatifu wa kuwasaidia wanawake.
Word…
 
Yes usishangae mama yako mzazi na mkeo wakaungana against you
Huwa Kuna kauli napenda kuitumia , mama yangu na mke wangu nawao ni wanawake tu kama wanawake wengine,

Hawa wezi kuwa wasafi sana na kukosa madhaifu Ambayo tuna yaona Kwa wanawake wengine, ila ni Kwa vile wako secured Kwa sababu ya vyeo walivyo navyo Kwa kutuzaa/ kuolewa na sisi
 
Shida hapa ni swala la mental attitude zetu tu kwa kawaida , sisi wanaume tuanafikiri kile tunachofanya kwa mwanamke ndo kinatija na kitakachomfany labd akupe thamani zaid kumbe sio kweli, kitakachofany mwanamke akuheshimu zaidi na akuone wathamani ni kile anachowekeza kwako ndo huwa wanahesabu nasio unachomfanyia wewe thats why utakuta wewe unamnunulia demu wako kila kitu, maybe gari, halafu unakuta aliyemwekea mafuta tu anakula mzigo unajua kwann? Kwasabab haijalishi mwanamke unamfanyia kitu gani, yaan wewe mnunulie gari mjengee nyumba, lakini mwengine hata akiwa anamjali kwa kumjulia hali tu kila siku hapo wote mnapata point sawa yaan kama ni 3 wote mtapata tatu na mzigo atampa. Kwhyo haijalishi nini unamfanyie wewe mwanamke, au mwengine anamfanyia nini point ni zile zile tu, kwhyo ukitaka mwanamke akupe thamani zaidi ni kumfanya awekeze vitu vingi kwako na sio wewe kuwekeza kwake hapo ndo wanaume wengi wanafail....
 
tatizo wamepokelewa vibaya hata wake zao wamewaowa wakaanza na ukatili hapo hapo usitegemee mwanamke atakuvumilia...

Tena kwa ulimwengu huu wa kisasa wa usawa lazima utumie busara zaidi kuliko ubabe.

Unawezaje kuwa mkatili kwa mtu anae kupikia chakula???
Una uhakika gani kuwa kila aliyeoa anakula chakuka cha mkewe? Usikariri.
 
Wakuu salaam,

Tofauti na mama yako na mke wako wanawake wengine wote achana kujifanya kuwasaidia wanakuchora tu. Wanawake ni viumbe wabinafsi kuliko viumbe wengine wote chini ya mawingu mpaka chini ya bahari. Kuna tofauti ndogo ndogo baina yao ila kwa ujumla package nzima wako sawa wote wabinafsi na hawana shukrani.

Hata umsaidie vipi hua wanaona kama walistahili zaidi na zaidi. Women are takers wanachojua ni kuchukua na kuchukua na kuchukua kisha kuchukua na kuchukua. Uko mahala pa kazi acha kujifanya kuwasaidia jinsia ke hawana shukrani, uko shule ni mwanafunzi soma faulu tengeneza mambo yako achana kujifanya unawasaidia sijui masomo hawana shukrani na wanakuona zoba.

They constantly want, constantly take kwao kila mwanaume wanataka awafanyie jambo 1,2,3 hutakosea ukiwaita malaya wa kuhitaji kufanyiwa favour kama jambo halimuhusu au halimnufaishi yeye hiyo jambo sio muhimu. Ubinafsi ulioota ukurutu.

Narudia mama yako na mke wako wanastahili msaada wako wamekufaa kwa mambo mengi ila hawa kina Ashura ndara ndefu piga chini fanya mambo yako.

Acha ujinga wa kujifanya kutengeneza urafiki na hawa viumbe, urafiki na mwanamke hua ni wakumnufaisha yeye tu na ni watu wa ajabu hata hawajishtukii hawa viumbe wanamapungufu mengi ila hili la ubinafsi na kukosa shukrani nachukizwa nalo sana.

Tangu nilipokua shule nilikua sitaki shobo na hawa viumbe, akiingia 18 natomb.a na kusepa sijengi kibanda ooh "baby baby" sinaga ujinga huo. Nimekua niko kazini na msimamo wangu ni ule ule sitaki shobo na ke, hata watoto wangu (wote madume)

Nawaasa kujali malengo yao na kuacha kujifanya kusaidia wanamake HAWANA SHUKRANI. Kuna wanaume wengi wamekwama na kushindwa kufikia malengo yao kwa kujifanya watakatifu wa kuwasaidia wanawake.
Naunga mkono hoja
 
Sasa si-atafute kazi afanye , Yaani huo utamu mliopeana ndani ya masaa kadhaa ndio anataka aufidie Kwa kumlipia Kodi na bills zinazo husu maisha yake [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]

Hivi viumbe vya ajabu sana smdh [emoji848]
Mkuu viumbe vimeumbwa kwa udongo tifu tifu
 
Haka kaugonjwa kameshamiri mno...Leo tu minyege imenishika nikasema NGoja nikasituwe kademu nilikaona kastaarabu kaje tufanyane ebwana muda huohuo kakanipa invoice ya saloon nimekazungusha Huku nikikazungusha na kukapaa ahadi za kesho mzigo utapatikana...

To cut the story short nimelala na nyege zangu...

Ila kupenda sijui mshipa ulishakatika au ni Kwa kuwa dada zetu hawapendeki au wao wanatafuta financial support . Hata Sijui wa humu nilishashindwa kuwaelewa Hasa wa lile jukwa la love connect uongo mtupu lile jukwaa lingefungwa halina uhalisia wowote.

Mpende Mwanao na Mama Yako Tu ...sijui mke sijui girlfriend achana na hizo mambo....

Ungemwambia aje aichukue ghetto[emoji16]
 
Siku akipata mwingine wewe hutaurumiwa,wanakuaga na kejeli na dharau hutaamini.

Panga malengo yako lakini yasihusishe mwanamke,utakuja kulimia meno
Takers have no shame mkuu, wakilala wakiamka wanawaza kuchukua kuchukua na kuchuakua zaidi kisha kulalamika hawajachukua vya kutosha warudi kuchukua tena
 
Asante, sio hata pole ni kawaida sana lakini kwa kweli mwanamke hana huruma pindi anapomalizana nawe
Takers have no shame mkuu, wakilala wakiamka wanawaza kuchukua kuchukua na kuchuakua zaidi kisha kulalamika hawajachukua vya kutosha warudi kuchukua tena
 
Hawa viumbe ni wa ajabu,hata kwenye uumbaji wa ulimwengu mwanzoni, Mungu hakuwaweka ktk plan yake,ilikuja kutokea baadae sana ndio akaleta mwanamke,na hapo hapo akasema tuishi nao kwa akili

Kisha mambo yakaharibikia hapo 😂🤣😂🤣
Takers have no shame mkuu, wakilala wakiamka wanawaza kuchukua kuchukua na kuchuakua zaidi kisha kulalamika hawajachukua vya kutosha warudi kuchukua tena
 
Back
Top Bottom