Farhia Middle anywea kuendelea kuhoji rushwa kutoka kwa Abdul kwenda kwa Tundu Lissu

Farhia Middle anywea kuendelea kuhoji rushwa kutoka kwa Abdul kwenda kwa Tundu Lissu

Izia maji

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2021
Posts
2,997
Reaction score
5,385
Tundu Lissu amemtahadharisha mtanganzaji wa ITV Farhia Middle katika kipindi cha dakika 45 kuwa kama anataka kufahamu jinsi Abdul alivyomshawishi kwa rushwa alegeze misimamo yake dhidi ya serikali ajiandae. Farhia akala kona kwa kuhofia majibu magumu ambayo Tundu Lissu angeyatoa.
 
Tundu Lissu amemtahadharisha mtanganzaji wa ITV Farhia Middle katika kipindi cha dakika 45 kuwa kama anataka kufahamu jinsi Abdul alivyomshawishi kwa rushwa alegeze misimamo yake dhidi ya serikali ajiandae. Farhia akala kona kwa kuhofia majibu magumu ambayo Tundu Lissu angeyatoa.
eti ndio mpinzani huyo🤣

unatahadharisha kusema ukweli? surely?

muoga siku zote ni muongo tru kama hivyo..mtu muoga kama huyo asie jasiri wa kusema Ukweli atamuongoza nani kwa mfano...

sema kweli nayo kweli ikuweka huru 🐒
 
Unataka mpinzani yupi, Zitto. Hivi bado yupo au kahama nchi?
kiongozi tena mpinzani ni Lazima awe jasiri, na haogopi kusema ukweli, sasa jitu joga kama hilo kweli litaongoza nini sasa 🐒

anamuogopa mwenyekiti wa chama chake kuhusu hiyo hiyo rushwa lakini anaogopa hadi anao watuhumu kwa rushwa wasio wa chama chake.?..
uoga gani huo?

uoga ni umaskini mbaya sana, ni sawa na kuomba omba kuchangiwa tu 🐒
 
kiongozi tena mpinzani ni Lazima awe jasiri, na haogopi kusema ukweli, sasa jitu joga kama hilo kweli litaongoza nini sasa 🐒

anamuogopa mwenyekiti wa chama chake kuhusu hiyo hiyo rushwa lakini anaogopa hadi anao watuhumu kwa rushwa wasio wa chama chake.?..
uoga gani huo?

uoga ni umaskini mbaya sana, ni sawa na kuomba omba kuchangiwa tu 🐒
Huoni uoga ulipo? Mama yako anayo hofu kubwa sana sasa hivi; nanyi hamtoi msaada wowote, mmejawa na hofu hiyo hiyo aliyo nayo mwajili wenu.
 
Mbobezi wa "evidence" huko mahakamani anashindwa kweli kutuwekea "CCTV FOOTAGE" ya "CAMERA" nyumbani kwake?!!!

Kweli angekuwa anao huo ushahidi, hakika SIMBA ASIYETULIA KWA KURUKARUKA kwa sababu ya "ADHD" angeidhihirishia HADHIRA.....[emoji1787]
 
Back
Top Bottom