Farhia Middle anywea kuendelea kuhoji rushwa kutoka kwa Abdul kwenda kwa Tundu Lissu

Farhia Middle anywea kuendelea kuhoji rushwa kutoka kwa Abdul kwenda kwa Tundu Lissu

Tundu Lissu amemtahadharisha mtanganzaji wa ITV Farhia Middle katika kipindi cha dakika 45 kuwa kama anataka kufahamu jinsi Abdul alivyomshawishi kwa rushwa alegeze misimamo yake dhidi ya serikali ajiandae. Farhia akala kona kwa kuhofia majibu magumu ambayo Tundu Lissu angeyatoa.
Aliulizwa na Chief Odemba ila akaleta kona kona nyingi kwa kusema kuwa hataki kuchafua hali ya hewa
 
Tundu Lissu amemtahadharisha mtanganzaji wa ITV Farhia Middle katika kipindi cha dakika 45 kuwa kama anataka kufahamu jinsi Abdul alivyomshawishi kwa rushwa alegeze misimamo yake dhidi ya serikali ajiandae. Farhia akala kona kwa kuhofia majibu magumu ambayo Tundu Lissu angeyatoa.
Huyu mama huwa sioni hata maswali ya maana anayouliza, ajifunze kwa Odemba
 
Hivi yule John Mrema atakosa kwenye orodha aliyopewa Tundu Lissu na Abdul kweli?
 
eti ndio mpinzani huyo🤣

unatahadharisha kusema ukweli? surely?

muoga siku zote ni muongo tru kama hivyo..mtu muoga kama huyo asie jasiri wa kusema Ukweli atamuongoza nani kwa mfano...

sema kweli nayo kweli ikuweka huru 🐒
Nyinyi ndio mlioaminishwa kama mtanunuliwa noha,

Yaani uozo wote uko ccm huko kila aina ya dhambi inafanywa na viongozi dhaifu wasioweza kupingwa.
 
Nyinyi ndio mlioaminishwa kama mtanunuliwa noha,

Yaani uozo wote uko ccm huko kila aina ya dhambi inafanywa na viongozi dhaifu wasioweza kupingwa.
epuka kuwaza kishirikina na kua na potofu gentleman,

Amini Mungu Pekee, Anaweza 🐒
 
Kishirikina kivipi hapo nilichokiandika kwamba hakifanyiki ccm?
hizo za kuamini sijui wapi kinafanyika au hakifanyiki nini ndio ushirikina wenyewe....

Nakushauri kuzingatia Kumuamini Mungu Pekee na utafanikiwa 🐒
 
eti ndio mpinzani huyo🤣

unatahadharisha kusema ukweli? surely?

muoga siku zote ni muongo tru kama hivyo..mtu muoga kama huyo asie jasiri wa kusema Ukweli atamuongoza nani kwa mfano...

sema kweli nayo kweli ikuweka huru 🐒
Alimtahadhalisha muuliza maswali.
Yeye kuwekwa ndani na kuwa na makes ya ajabu ajabu kazoea.
Je kwa binti kama yule anaweza misukosuko.
Jibu la mtangazaji lingekuwa 'nimejiandaa' ili yeye ashushe nyavu.
 
Back
Top Bottom