Mtoto wa Shule
JF-Expert Member
- Nov 16, 2014
- 15,133
- 11,914
Dogo ujue mie sio nyumbu kama wewe. Najua nilichoandiks.Acha kukurupuka alikwisha sema Samia na mtoto wake Abdul sasa tuone hatua zikichukuliwa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dogo ujue mie sio nyumbu kama wewe. Najua nilichoandiks.Acha kukurupuka alikwisha sema Samia na mtoto wake Abdul sasa tuone hatua zikichukuliwa!
Wewe ni mbwa samahani!Dogo ujue mie sio nyumbu kama wewe. Najua nilichoandiks.
Abdul ni raia wa kawaida ndio!ila kwenye shughuli za kiserikali anahusika kama Nani??Kila siku hoja ni hiyo hiyo ya Abdul 🤣🤣
Ahahahahaha! Mi ni mbwa mwenye akili hadi wewe ukaona ujibizane nami! Ahahahahaha!Wewe ni mbwa samahani!
Aliulizwa na Chief Odemba ila akaleta kona kona nyingi kwa kusema kuwa hataki kuchafua hali ya hewaTundu Lissu amemtahadharisha mtanganzaji wa ITV Farhia Middle katika kipindi cha dakika 45 kuwa kama anataka kufahamu jinsi Abdul alivyomshawishi kwa rushwa alegeze misimamo yake dhidi ya serikali ajiandae. Farhia akala kona kwa kuhofia majibu magumu ambayo Tundu Lissu angeyatoa.
Huyu mama huwa sioni hata maswali ya maana anayouliza, ajifunze kwa OdembaTundu Lissu amemtahadharisha mtanganzaji wa ITV Farhia Middle katika kipindi cha dakika 45 kuwa kama anataka kufahamu jinsi Abdul alivyomshawishi kwa rushwa alegeze misimamo yake dhidi ya serikali ajiandae. Farhia akala kona kwa kuhofia majibu magumu ambayo Tundu Lissu angeyatoa.
Mlopokaji sana. Hana mvuto wa kiuongoziLissu ni muwazi sana.
Labda kwako wenye mvuto ndo hao wezi wa rasilimali za taifaMlopokaji sana. Hana mvuto wa kiuongozi
Nyinyi ndio mlioaminishwa kama mtanunuliwa noha,eti ndio mpinzani huyo🤣
unatahadharisha kusema ukweli? surely?
muoga siku zote ni muongo tru kama hivyo..mtu muoga kama huyo asie jasiri wa kusema Ukweli atamuongoza nani kwa mfano...
sema kweli nayo kweli ikuweka huru 🐒
Abduli vipi mboni ulikosa utulivu ?Lissu lazima abadili mtazamo wa Siasa zake
Nimeongea na Simba wa Kizimkazi hivi pundeHivi yule John Mrema atakosa kwenye orodha aliyopewa Tundu Lissu na Abdul kweli?
epuka kuwaza kishirikina na kua na potofu gentleman,Nyinyi ndio mlioaminishwa kama mtanunuliwa noha,
Yaani uozo wote uko ccm huko kila aina ya dhambi inafanywa na viongozi dhaifu wasioweza kupingwa.
Mvuto unataka akuoe?Mlopokaji sana. Hana mvuto wa kiuongozi
Kishirikina kivipi hapo nilichokiandika kwamba hakifanyiki ccm?epuka kuwaza kishirikina na kua na potofu gentleman,
Amini Mungu Pekee, Anaweza 🐒
hizo za kuamini sijui wapi kinafanyika au hakifanyiki nini ndio ushirikina wenyewe....Kishirikina kivipi hapo nilichokiandika kwamba hakifanyiki ccm?
Alimtahadhalisha muuliza maswali.eti ndio mpinzani huyo🤣
unatahadharisha kusema ukweli? surely?
muoga siku zote ni muongo tru kama hivyo..mtu muoga kama huyo asie jasiri wa kusema Ukweli atamuongoza nani kwa mfano...
sema kweli nayo kweli ikuweka huru 🐒
Namba moja pale alikuwa Mch. Peter Msigwa!😂😂😂Nimeongea na Simba wa Kizimkazi hivi punde
1.
2.
3. John Mrema.
4.
5.
.6.
7.
8.
Nchi hii ukiwa Unasema ukweli sana unakuwa kama adui fulani hivi kwa wale ambao Uwizi na Uongo ndio lifestyle yao ! 😳🙌 !Dada alikuwa analinda ugali wake na ugali wa wengine ndani ya IPP Media.