Farhia Middle anywea kuendelea kuhoji rushwa kutoka kwa Abdul kwenda kwa Tundu Lissu

Inawezekana wewe siyo raia wa nchi hii! Kwa mujibu wa sheria za nchi hii ukimfumania njemba na mke wako unatakiwa kwenda kulalamikia Jamuhuri ili ichukue hatua ulipwe fidia!

Hilo nalo hulijui?
kwa aina na kiwango cha uoga anachokionyesha huyo muungwana, ni dhahiri pasina shaka yoyote, Lazima atakua ni raia wa ubeligiji tu huyo, ha

hakuna haja ya kujificha kwenye sheria kana kwamba kwenye chama chake hakuna sheria juu ya mambo haya anayoyalalamikia kwa muda mrefu bila kuchukua hatua πŸ’
 
Huna hoja mbwa wewe!
 
binafsi siwezi kubabaika na mambo ya kishirikiana gentleman πŸ’
Hilo utakuwa umshirikina huko uliko maana hakuna coment nilioelezea au kutaja ushirikina. Ukishakuwa mpiga ramli kila kinachozungumzwa unahisi kila mtu na yeye yupo kwenye kundi.
 
Nafikiri unapokuwa mwandishi wa habari hautakiwi kuwa muoga.
Inategemea uko Nchi gani !
Nchi yenye full Clutch demokrasia au ile yenye Half Clutch demokrasia πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚ !
Kwenye Half Clutch huwa hawapendi kukosolewa Wakubwa 🀣🀣😳 !
Kwahiyo kukosoa inakuwa ni Risk kubwa kwa mkosoaji !
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…